Uchaguzi 2020 Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kikao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kikao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa na Rais Magufuli

Rafiki atakapofikia hapo kwako muulize huko Dodoma wamekubaliana watatumia mbinu gani katika kupata kura za maruhani then uje uandike hapa halafu tumfikishie taarifa Mheshimiwa Rais wetu Tundu Lissu
Lazima aniambie maana nae ni kamanda, sema tu ameajiriwa na serikali dhalimu
 
Mwaka huuu kila mjuzi utatoka pangoni, lisu akikohoa tu wanajitokeza kujieleza Kwa Rais
 
Nimecheka sana wizara kuingilia kati kazi ipo jamaa anawakimbiza mnajifanya mnamjua Mungu kipindi hiki wakati watu wakipokua wanaokotwa baharini mlisema ni maiti kutoka SA...
 
Vipi kuhusu maelekezo kwa wakurugenzi na tume ya Taifa ya uchaguzi kuhakikisha ushindi wa Pombe usipungue asilimia 90? Kama mnabisha namwita kigogo atupie clip
 
Mbona hamkujibu tuhuma za mkubwa kula Rambirambi za kule Kagera? inamaana hilo ni la kweli?
 
Tamisemi wanawakilisha barua kwa njia ya mipasho,wanasahau kuwa zile ni ofisi za umma.

Vipi Safari hii mtakataa kuwapa Mawakala viapo vyao.

Eti wakurugenzi wapo kazini kutimiza wajibu wao, mnapofunga ofisi za umma wapinzani wanapokuja kupata huduma ,maswali ni mengi kwenu enyi wakurugenzi.

Vipi mpo tayari kuwatangaza wapinzani kuwa washindi ,maana mlishaonywa ,nikupe Mshahara nikupe na gari kisha umtangaze mgombea wa upinzani kashinda.

Mmeharibu sana taswira yenu mbele ya jamii kwa kujinasibisha na CCM.
 

Mtakanusha kila kitu Mwaka huu
Mpumbavu huamini kila kitu. Lissu ni mnafiki Sana, wote wanaomwamini hufanana naye. Saccos kwa style mnayotumia, sahauni uongozi wowote kwenye nchi hii. Watanzania watawapa jeuri yenu, kwenye box la kura.
 
Mpumbavu huamini kila kitu. Lissu ni mnafiki Sana, wote wanaomwamini hufanana naye. Saccos kwa style mnayotumia, sahauni uongozi wowote kwenye nchi hii. Watanzania watawapa jeuri yenu, kwenye box la kura.
Hilo gubu lako jaribu tu kulitafutia dawa. Lissu ndio anaenda kuwa rais wa Tanzania, hutaki jinyonge.
 
Magufuli bado hajawa raisi iweje mnaanza kutetea ishu ambayo haimwuhusu? Subiri baada ya October 28 ndipo mnaweza kuja na kauli
Tuhuma za kwenye kampeni za Mgombea mmoja zinatakiwa kujibiwa hukohuko kwenye kampeni na Mgombea anayeshutumiwa kwani mgombea wao wa nafasi ya juu kama mshutumiwa angeshindwa kujibu hoja ya mpinzani wake? Kama hawezi kujibu basi hafai kugombea nafasi hiyo na Serikali iache kumbeba maana itaonekana inamsaidia mgombea ashinde madhara yake yatajitokeza baada ya kutangazwa matokeo ya Uchaguzi. Kiongozi mzuri anatakiwa aonyeshe uongozi popote wakati wowote!
 
Wakiwaletea picha mtakuja kukanusha nyie haya
Maji hayamezeki
Miti yote inateleza
Fanyeni kampeni bwuaana acheni haya maandiko
 
Lazima kukanusha maana wakikaa kimya uongo unaweza kuaminika kuwa ukweli kwa watanzania
 
Back
Top Bottom