Unataka nani akujibu..Ili tuamini tuambiyeni ni nani alichomoa zile CCTV camera pale Dodoma Tundu Lissu alipo pigwa risasi na nani aliwaondoa wale walinzi?
Dr Hassan Abbas in his capacity kama Msemaji wa Serikali au
Eng.Joseph Nyamhanga in his capacity kama Katibu mkuu wa Tamisemi