Uchaguzi 2020 Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kikao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kikao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa na Rais Magufuli

LISU kawashika sehemu.....................na anaziminya kweli
 
Ninaanza kupata mashaka na utendaji kazi wa idara ya mawasiliano ya serikali.
Hivi kwanini inapoteza Muda kujibu pumba ambazo hata under18 anaweza kuzitambua?

Nikweli Wamekosa Mambo mhimu ya kulisemea taifa?

Je hawajui yakuwa dawa ya maneno ya mpuuzi nikuya mpuuza?

Ushauri wangu kwa serikali: Msitumie nguvu nyingi kujibu hoja za wanasiasa wapuuzi puuzi hasa kipindi hiki Cha Kampeni kilichojaa uzwa uzwa na uongo badala yake wapuuzeni na mjikite kwenye Mambo mhimu ya taifa.
Yeyote anae puuza haki no miongoni mwa wapuuzi wa kiwango Cha juu kabisa na wanapoteza hats utu wao
 
Rafiki atakapofikia hapo kwako muulize huko Dodoma wamekubaliana watatumia mbinu gani katika kupata kura za maruhani then uje uandike hapa halafu tumfikishie taarifa Mheshimiwa Rais wetu Tundu Lissu

Rafiki nakupendaa buree
 
Back
Top Bottom