Ninaanza kupata mashaka na utendaji kazi wa idara ya mawasiliano ya serikali.
Hivi kwanini inapoteza Muda kujibu pumba ambazo hata under18 anaweza kuzitambua?
Nikweli Wamekosa Mambo mhimu ya kulisemea taifa?
Je hawajui yakuwa dawa ya maneno ya mpuuzi nikuya mpuuza?
Ushauri wangu kwa serikali: Msitumie nguvu nyingi kujibu hoja za wanasiasa wapuuzi puuzi hasa kipindi hiki Cha Kampeni kilichojaa uzwa uzwa na uongo badala yake wapuuzeni na mjikite kwenye Mambo mhimu ya taifa.