msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Hahahahah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuwashawishi wageni wengi kuifahamu Tanzania na kwalo HADI BABA YAKE RIHANNA AMEKUBALI KUJA KUISHI TANZANIA!
Hayo yamesemwa na Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa.
Asante mama Samia kwa kufanikiwa kumshawishi BABA Rihanna kuja kuishi Tanzania.
View attachment 2203803
Anaupiga mwingi