Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

Kuprint not mpya me sijaelewa yaani nizilezile ila wanaziongeza nyingine au wanazibadilisha kabisa wanaleta zaaina nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni zile zile ila tutarudisha yale mapana ya zamani na rangi itakuwa kama ile ya zamani ili tuokoe patern na gharama za rangi mpya. Halafu tutaziingiza kwenye system zitembee pamoja na hizi. Ukipeleka saccoss urudishiwe mpya. Usijali mkuu
 
Nilidhani Undertaker anajua kizungu kumbe nilikosea. Yaani "reprint" kwake ni kuchapisha noti aina tofauti. Hajui kwamba hizi noti huwa zinachakaa baada ya muda. Noti chakavu huondolewa kwenye mzunguko na kuwa replaced na mpya ambazo kuzipata ni lazima ufanye reprint.
 
Nilidhani Undertaker anajua kizungu kumbe nilikosea. Yaani "reprint" kwake ni kuchapisha noti aina tofauti. Hajui kwamba hizi noti huwa zinachakaa baada ya muda. Noti chakavu huondolewa kwenye mzunguko na kuwa replaced na mpya ambazo kuzipata ni lazima ufanye reprint.
Mbona imeandikwa BENKUU nini hiyo au mwandishi alimanisha nini?
 
Mkuu kwani notes zikishakuwa printed huwa zinaendelea kubaki idadi hiyo hiyo? Zinapoharibika au kuchakaa n.k huwa zinajitengeneza zenyewe? Wadau humu wamefanfanua vizuri kabisa kwamba yawezekana serikali inaprint notes mpya lakini za muonekano wa sasa ili kuziba pengo la zile notes zilizopotea, kuharibika au kuchakaa na kadhalika. Au inawezekana wanaprint notes mpya ili kuongeza ujazo wa notes kwa maana ya kuprint notes zaidi ili wazipump kwenye mzunguko wa fedha. Na mwisho inawezekana wanaprint notes zenye muonekano mpya kwa ajili ya kubadili tu sura ya notes zetu. Hizo zote ni options lakini usikomalie hiyo option moja tu kana kwamba wewe una uhakika 100% ya sababu za kuprint hizo notes za TZS.
Nashukuru kwa kunielewesha kiongozi. Tupo pamoja.
 
Kuna vitu havikuwa na haraka wala tija Kwa sasa mfano kuhamia Dodoma, passport za kielectronic, marudio ya chaguzi, kununua ndege,vimekausha hela kweli, kweli ambapo hizo hela zingeingizwa kwenye kuwajengea wananchi uwezo wa kuzalisha zingesaidia sana uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau standard goji na baadae stigler goji (sijui tofauti ya hivi viwili) lakini maamuzi ya hawa watu yanatuumiza sana. Inaonekana wenzetu hawajali, wanaishi kwa kodi zetu, acha wapate vitambi maana hata muda wa mazoezi hawana, ni kula tu na kutoa matamko
 
Watu wanachanganya mambo ngoja niseme kidogo kwa taaluma yangu ndogo ya uchumi,

Ku print noti mpya kwa maana ya kubadilisha zilizopo na kuleta nyingine za aina tofauti lakini kwa idadi ile ile hakuna madhara yoyote.Namaanisha kama wakati ule noti ya 10,000/= ilikuwa ya blue ikabadilika kuwa hii ya sasa ni nyekundu. Chakuzingatia zitakazo badilishwa idadi ilingane na za awali.

Njia hii ya ubadilishwaji wa aina ya hela kama nilivyoeleza hapo juu hutumika hasa inapohisiwa ufasadi wa pesa nyingi zinazo hifadhiwa majumbani kwakuhofia zikipelekwa bank ni rahisi hawa mafisadi watabainika.

Kinachofanyika BOT watatoa muda maalumu kwa raia wote kwenda bank kubadili ili kupata pesa za aina mpya na baada ya muda uliopangwa kupita noti za awali zinakuwa hazina kazi.

Ifuatayo ndio njia ambayo kama itatumika hupelekea mfumuko wa bei:
Kama Serikali wataamua ku print not nyingine za aina hii hii iliopo sasa ili kuongeza idadi ya noti hapa ndipo kama hakuja tizamwa vizuri kutapelekea iflation.Namaanisha kuprint mfano noti hizi elfu kumi nyekundu nyingi zaidi na kuziingiza kwenye mzunguko(too much money chasing few people).

Kimsingi Serikali haipaswi kuprint pesa kwani hii hali ya sasa ya tatizo la huu msinyao kwenye uchumi shida ni Sera za serikali kuna mkanganyiko kwenye kodi,ubanajimatumizi serikalini,mdororo kwenye bei za mazao,namna isio faa kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa etc
 
Kwa wasiofahamu mimi ni mtu mkubwa hapa Bongo ndiye niliyeshinikiza noti mpya zitengenezwe sababu nataka ziwe na hii sura yangu
Walalahoi msijali pesa za kuprint ni juu yangu
Nchi yangu, serikali yangu na Mimi ndio najua shida za watu wa chini
Haya maneno ukiwa unayasema ukiwa ktk Maisha ya Air Conditions ni sawa lakini kwy jua ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubaya hawa wamejazwa toka Mlimani walipokuwa wanafundisha NADHARIA za UCHUMI...Walipopelekwa Ofisini kuufanyia kazi uchumi, matokeo yake ni kaa haya....
Hiyo pia Mkuu chuwaalbert inaweza kuwa ni sababu.
Ingawaje naona pia tatizo kwa bosi kubwa, inasemekana hashauriki. Ndiyo maana napendekeza hawa wataalam wenzetu wawe wanashauri kwa maandishi hasa humu maofisini.
 
Back
Top Bottom