Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Kwaio hapa unawaeleza waliosoma hicho kitabu au tukuelewe vipi?Mkuu,umenikumbusha kitabu fulani kinaitwa 'His Excellence The Head Of The State' humo ndani humo mwanamama kwa jina la Nelly Takida
Kuna mtawala alitaka kuchapisha fedha Nelly Takida akagoma kwa kumshauri asichapishe tena alimpa formula za kiuchumi mwishowe mwanamama Nelly Takida alipuuzwa na kiongozi wa nchi yake (Kilitania) ali-print noti nyingi sana na kuwapa tenda rafiki zake bila kufuata taratibu za zabuni za ununuzi...gues what happened then!!!!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app