sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel bado kinatumika a level, always literature reflects what is happening in our societyMkuu,umenikumbusha kitabu fulani kinaitwa 'His Excellence The Head Of The State' humo ndani humo mwanamama kwa jina la Nelly Takida
Kuna mtawala alitaka kuchapisha fedha Nelly Takida akagoma kwa kumshauri asichapishe tena alimpa formula za kiuchumi mwishowe mwanamama Nelly Takida alipuuzwa na kiongozi wa nchi yake (Kilitania) ali-print noti nyingi sana na kuwapa tenda rafiki zake bila kufuata taratibu za zabuni za ununuzi...gues what happened then!!!!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ni rais wa hovyo kabisa na mikononi mwake hii nchi inaenda kutumbukia shimoni,acha wajjnga kama magonjwa mtambuka,jingalao,Barbarosa,mudawote na wengineo wamshangilie huyu Dikteta lakini ukweli itafika mahali kila mtu atalia.BAADA ya uchumi wa nchi kuyumba na maisha ya wananchi kuwa magumu, Rais John Magufuli anahaha kufyatua noti mpya.
SAUTI KUBWA inatambua kwamba tayari serikali imeshaanza mradi wa ufyatuaji wa noti hizo.
Hata hivyo, mradi huo umekwama kwa muda kwa sababu ya kugubikwa na sintofahamu kati ya rais na washauri wake; na miongoni mwa kampuni zilizoingia katika mchakato huo.
Kampuni za kimataifa ambazo zimetambulika kuingia katika mzozo huo ni De la Rue International, Oberthur Fiduciare, na M/s Crane Currency.
Vyanzo vinataja ufisadi katika mchakato kama sababu mojawapo iliyosababisha mzozo huo. SAUTI KUBWA inafuatilia habari za kina kuhusu mzozo huo.
Baadhi ya washauri wa serikali wanapinga ufyatuaji wa noti mpya wakidai utaongeza mfumuko wa bei, utashusha zaidi thamani ya shilingi ya Tanzania; na utafanya maisha ya wananchi yawe magumu zaidi.
Baadhi ya wachambuzi na wachumi waliozungumza na SAUTI KUBWA wanasema iwapo serikali itachapisha noti hizo nchi inaweza kukumbwa na mdororo wa kiuchumi kama uliokumba Zimbabwe katika utawala wa Robert Mugabe.
Mchambuzi mmoja amesema: “Itasababisha mfumuko wa bei za kila kitu kwa namna itakayoifanya shilingi yetu isiwe na thamani kabisa. Hiki ndicho alichokifanya Mugabe miaka ya nyuma baada ya kunyang’anya wazungu mashamba yao na vitega uchumi kutoka nje kukauka.
“Matokeo yake ni kwamba Zimdollar ilipoteza thamani hadi ikabidi ifutwe kabisa. Leo Zimbabwe haina sarafu yake yenyewe, na wananchi wanalazimika kutumia dola ya Marekani na rand ya Afrika Kusini kwa ajili ya manunuzi ya kila aina. Huko ndiko Magufuli anapotaka kupeleka Tanzania. Ataharibu kila kitu kilichobaki.”
Mchumi mmoja anayeheshimika nchini, ambaye SAUTI KUBWA haitataja jina lake, amezungumzia mfumuko wa bei na mzunguko wa fedha. Anasema:
“Mfumuko wa bei uko chini ya asilimia nne (4%). Si mbaya sana. Mzunguko wa hela ni kidogo. Hii ni mbaya. Kuchapisha hela ni uamuzi mbaya kiuchumi. Ujazo wa fedha katika uchumi lazima uendane na kiwango cha shughuli za uzalishaji katika uchumi. Kuchapisha hela ni njia ya ‘kiswahili’ ya kukabiliana na changamoto ya kiuchumi.”
Uamuzi wa Magufuli kuagiza ufyatuaji wa noti mpya, unaakisi kituko cha Idi Amini (dikteta wa Uganda 1971-1979) ambaye alipoelezwa juu ya upungufu wa fedha katika mzunguko, aliamuru benki kuu: “fyatua nyingi zaidi.”
Akijadili hali hii, mhadhiri wa uchumi anayeishi Marekani, anasema kwa kirefu:
Kwanza, tuanze na kujua sababu za lazima za kuchapa pesa. Hii ni kweli kuwa serikali haina fedha za kuendesha shughuli zake na kulipa madeni.
Pili, ni kwa nini serikali haina fedha? Kwa kawaida, ukiacha misaada, serikali ina vyanzo vikubwa viwili vya mapato: (1) Kodi, (2) kuuza dhamana au bonds.
Kwa hiyo, yawezekana ukusanyaji wa mapato ya kodi umepungua Ila serikali haisemi ukweli ili kijipatia sifa za kijinga.
Pia dhamana za serikali huenda haziuziki kama ilivyokuwa awali.
Mambo yote mawili, kupungua kwa mapato ya kodi na dhamana hutokea iwapo uchumi umesinyaa: hakuna uzalishaji wa kutosha kutokana na kudorora kwa uzalishaji kiuchumi.
Nini hufanyika? Serikali ingeweza kukopa zaidi. Huenda wakopeshaki hawapo tayari kwa kuwa kiwango cha uaminifu wa serikali kimeshuka. Utakupunga credit rating ya Tanzania imeshuka sana kwa sasa.
Pia, serikali ingeweza kubana zaidi matumizi yake. Lakini hili nalo Ni gumu sana kwa sasa kwa kuwa tayari imebana hadi ukomo wake. Kumbuka pia kubana matumizi ya serikali hupunguza ukuaji wa uchumi. Kudorora kwa sekta binafsi ni matokeo ya serikali kupana matumizi.
Nini matokeo ya kuchapa pesa? Uchapaji fedha huwa na madhara hasi kiuchumi iwapo uzalishaji haukui. Yaani, kutakuwa na fedha zaidi kwenye mzunguko zisizo na thamani. Matokeo yake ni mfumuko mkubwa wa bei. Kumbuka kilichotokea Zimbabwe kwa utawala wa Mugabe.
Mfumo wa bei usioendana na kipato halisi cha watu, utapunguza uwezo wa kutumia (purchasing power) na matumizi (consumption). Hapo uchumi utaendelea kuelekea shimoni zaidi.View attachment 853999View attachment 854386
Naomba day and night afanye haraka Ku print hizi note ili tuone hayo mapaka yatasemajeHehe, nacheka kama mazuri vile.
Kumbe magufuli ashafikwa na maji ya shingo? Haya ni matunda ya kiburi na ujuaje wake mwingi usio na faida.
Anyway, tutembee vifua mbere tuko kwenye laiti tlaki.
Mapaka ya lumumba hoyeee (cocochanel, thetallest, nyani ngabu, pohamba, kibst, magonjwa mtambuka, stroke & co.)
Sent using Mikoyan MiG-29
Mkuu huyu ni rais pumbavu kuwahi kutokea,wakiongea mbele ya camera watatekwa ,wataitwa wasaliti wasioitakia mema nchi,wanajua Dikteta hatari yupo ikulu,Magufuli hana tofauti na Idd Amin,tofauti zao ni kidogo mno.Kuna tatizo moja ambalo tunashindwa hapa
Kuna wasomi wa uchumi ambao wapo wengi mpaka mawaziri wastaafu lakini wanashindwa hata kulizungumzia au kutoa rai mbele ya camera au kwa simu.
Wanaoongea nao wanaogopa kutajwa that's a shame
Bado tuko nyuma sana likifika suala la kuelezea mambo makubwa na ya msingi katika taifa.
Huku wenzetu waandishi wa habari watawatafuta wahusika au mpaka wastaafu na kuwauliza kuhusu chochote kinachotokea na huwezi kukuta hata mmoja anajibu eti mimi sio msemaji wa serikali
Watu wanajibu wanachoelewa na ni rai tu na uelewa wao kutokana na wanachokijua.
Hela zipo ila zinaelekezwa kwenye miradi mikubwa lakini mradi unaweza ukaenda polepole na huku hela zingine zinatumika kwa kulipa mishahara nk huku tukitafuta zingine kwa kuendeleza miradi
Kuchapisha hela sio suluhu ila kuzalisha zaidi na kupeleka bidhaa nje kwa wingi ndio sehemu nzuri ya kupambana
Kama livestock wanapelekwa kwa wingi nje ni kuongeza maradufu na tujifunze pia kusafirisha matunda yetu na mboga kwa wingi nchi za maghribi na middle East
Hilo tumefeli sana siwasifii Kenya ila wako vizuri kwa hili na May kilichompeleka huko ni mambo kama haya akifikiria brexit itakuwaje anaanza kujiandaa
Ifike mahali tuwe aggressive likifika suala la kujitanua kibiashara na tuache uswahili mwingi
Sent from my SM using Tapatalk
Mimi si Mchumi ila nitakusaidia hili kulingana na Wataalamu wa Uchumi wa Jf walivyojibu.Kwan Tulipobadilisha Elfu Kumi ya Blue kuingia Elfu kumi nyekundu Uchumi ulidodora.
Hizo Ramli Chonganishi zimekaa kijuha-Juha
Acha nikatoe ya moyoni kwenye kahawaMkuu huyu ni rais pumbavu kuwahi kutokea,wakiongea mbele ya camera watatekwa ,wataitwa wasaliti wasioitakia mema nchi,wanajua Dikteta hatari yupo ikulu,Magufuli hana tofauti na Idd Amin,tofauti zao ni kidogo mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndo uliloambulia kwenye hiyo habari? Kweli kazi ipo.Kwan Tulipobadilisha Elfu Kumi ya Blue kuingia Elfu kumi nyekundu Uchumi ulidodora.
Hizo Ramli Chonganishi zimekaa kijuha-Juha
[emoji16][emoji16]Mkuu,umenikumbusha kitabu fulani kinaitwa 'His Excellence The Head Of The State' humo ndani humo mwanamama kwa jina la Nelly Takida
Kuna mtawala alitaka kuchapisha fedha Nelly Takida akagoma kwa kumshauri asichapishe tena alimpa formula za kiuchumi mwishowe mwanamama Nelly Takida alipuuzwa na kiongozi wa nchi yake (Kilitania) ali-print noti nyingi sana na kuwapa tenda rafiki zake bila kufuata taratibu za zabuni za ununuzi...gues what happened then!!!!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha haDah kudadeki walahi, alafu zikishajazwa sasa nani atakuwa wakwanza kupewa hayo mahela
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kweli kabisa mkuuItabidi nirudi kwenye bata tredi..sitaweza kutembea na jiwe