Serikali, mikataba ya DP World haikuwa na ulazima wowote kuitangaza. Msirudie hili kosa kabisa nchi yetu bado ni ya wapiga makelele…

Serikali, mikataba ya DP World haikuwa na ulazima wowote kuitangaza. Msirudie hili kosa kabisa nchi yetu bado ni ya wapiga makelele…

Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?
Ona Punga hili.
Kwani serikali iliutangaza huo mkataba?
Ni kwa kuwa ni mkataba wa hovyo ndiyo maana wwnye akili na uchungu na rasilimali za nchi wakauvujisha kwa wananchi wenye nchi yao.
Mlitaka mfanyie gizani? Haujui kuwa zama hizi hilo kamwe haliwezekaniki?
Kama mnaona kelele ni nyingi kwani kuna aliyewalazimisheni kuendelea kuwepo madarakani? Si ni njaa na tamaa zenu? Kama hamtaki kelele kaeni kando, muwaachie wengine.
Nyamafu
 
Pole sana kwa maumivu unayopitia. Ila kwa taarifa yako fupi, huo mkataba wa kimangungo haukutangazwa na hiyo serikali yako ya kifisadi kama unavyofikiri.

Kuna Mzalendo mmoja tu aliuvujisha, na mwisho wa siku Watanganyika wakaona watoke usingizini, na kuanza kuupigia kelele.
Sio mzalendo ni mbea
 
We we ni Ng'ombe

Daaa nimecheka sanaa ujue[emoji30][emoji30][emoji30][emoji16]
Nilikuwa nakamua mtamba hapa huyu ng’ombe huwa tunamuits Cheusi….kifupi Cheuuu
Utamkamua anakuangalia tuu,Yaani utamfanya Utakavyo,Nadhani labda sababu ya Uzee wake au??
hata watoto wanamchezea
sada unemuita jamaa eti Ng’ombe nimemuangalia huyu wa nyumbani hapa nimecheka sanaa[emoji12][emoji16][emoji16][emoji3]
 
Kwa hiyo tuwe tunapokea matokeo ya uozo wa hiyo mikataba ila tusiwe tunaijua toka awali
Kwa magufuli alikuwa anawaambia kama amekopa? Alikuwa anasema kama amesahini mkataba wowote? Mbona mlikuwa kimya kulalalmika tweeter ifunguliwe
 
Daaa nimecheka sanaa ujue[emoji30][emoji30][emoji30][emoji16]
Nilikuwa nakamua mtamba hapa huyu ng’ombe huwa tunamuits Cheusi….kifupi Cheuuu
Utamkamua anakuangalia tuu,Yaani utamfanya Utakavyo,Nadhani labda sababu ya Uzee wake au??
hata watoto wanamchezea
sada unemuita jamaa eti Ng’ombe nimemuangalia huyu wa nyumbani hapa nimecheka sanaa[emoji12][emoji16][emoji16][emoji3]

Mganguzi[emoji115][emoji30][emoji12]
 
Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?

Mikataba ya nyuma ambayo walifanua siri baadae ilikuja julikana ni ya kifisadi. Siri imeisaidia nn hili taifa?
 
Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?
Papai jingine hili.
 
Back
Top Bottom