mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Tulia dudu iingieMbona kwa magufuli mlikuwa kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dudu iingieMbona kwa magufuli mlikuwa kimya?
Kila mtu ana maoni yake kwahiyo jaribu kuheshimu mawazo ya mtuWe jamaa zero kabisa
Mi naona afadhali ng'ombe.We we ni Ng'ombe
Ila hakuzid wewe kila mtu ana uhuru wake wa kutoa maoni mbona kwa magufuli mlikaaa kimya mbona hamkulopoka?Mleta hoja ana kiwango kikubwa cha upumbavu
Ona Punga hili.Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?
Sio mzalendo ni mbeaPole sana kwa maumivu unayopitia. Ila kwa taarifa yako fupi, huo mkataba wa kimangungo haukutangazwa na hiyo serikali yako ya kifisadi kama unavyofikiri.
Kuna Mzalendo mmoja tu aliuvujisha, na mwisho wa siku Watanganyika wakaona watoke usingizini, na kuanza kuupigia kelele.
Kosa lake lipi hapo mkuu?Hata wewe suala lako la kuwa punguani lisifanywe siri
Unatoa matusi kisa kutoa maon yake heshimu mchango wa mtu acha ujuajKwani ni uongo????Subiri uolewe na Waarabu ndiyo uamini.
Kivile ushazoea kuchezea dudu kachezee ya wengineTulia dudu iingie
Kuwa tayari pia kuheshimu maoni ya aliyekuona wewe ni ziro, maama ndio ukweli.Kila mtu ana maoni yake kwahiyo jaribu kuheshimu mawazo ya mtu
Ziro ni wewe ulie soma lakini practice yako ni ya kijinga zaidKuwa tayari pia kuheshimu maoni ya aliyekuona wewe ni ziro, maama ndio ukweli.
Kwa hiyo tuwe tunapokea matokeo ya uozo wa hiyo mikataba ila tusiwe tunaijua toka awaliKosa lake lipi hapo mkuu?
We we ni Ng'ombe
Kwa magufuli alikuwa anawaambia kama amekopa? Alikuwa anasema kama amesahini mkataba wowote? Mbona mlikuwa kimya kulalalmika tweeter ifunguliweKwa hiyo tuwe tunapokea matokeo ya uozo wa hiyo mikataba ila tusiwe tunaijua toka awali
Daaa nimecheka sanaa ujue[emoji30][emoji30][emoji30][emoji16]
Nilikuwa nakamua mtamba hapa huyu ng’ombe huwa tunamuits Cheusi….kifupi Cheuuu
Utamkamua anakuangalia tuu,Yaani utamfanya Utakavyo,Nadhani labda sababu ya Uzee wake au??
hata watoto wanamchezea
sada unemuita jamaa eti Ng’ombe nimemuangalia huyu wa nyumbani hapa nimecheka sanaa[emoji12][emoji16][emoji16][emoji3]
Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?
Anyway ni vema kutofichwaKwa magufuli alikuwa anawaambia kama amekopa? Alikuwa anasema kama amesahini mkataba wowote? Mbona mlikuwa kimya kulalalmika tweeter ifunguliwe
Papai jingine hili.Mimi sioni sababu ya kila mkataba wa kimaendeleo au ubinafsiahaji kuuweka hadharani ,ninani anavujisha hii mikataba ? Sisi tuna watu wa hovyo wanaotafuta umaalufu kwa Kila kitu ..tusirudie kuleta taharuki ,kama hii dp world mngemaliza kimya kimya hakukuwa na sababu ya kuweka wazi ,hata sisi tusioelewa kitu tunavimba nao mitaani..dp world imekuwa ndio story ya kudanganya hata wake zetu majumbani ...watu wanaenda mbali na kudai nchi imeuzwa ,,mtu anaposema serikali imeuza nchi kwa Nini asikamatwe alete ushahidi wa nchi iliyouzwa?
Sasa unhama ziro unaelekea hasi (negative).Ziro ni wewe ulie soma lakini practice yako ni ya kijinga zaid
Kwanini mnapotosha uma?Anyway ni vema kutofichwa