Serikali mlazimisheni Mtume Mwamposa ajenge Hosteli na Wodi kwani Waumini wake Wanakufa mno Mitaani

Serikali mlazimisheni Mtume Mwamposa ajenge Hosteli na Wodi kwani Waumini wake Wanakufa mno Mitaani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi GENTAMYCINE naandika huu Uzi napambana na Wakazi wa Mtaa kuutoa Mwili wa Mmoja wa Waumini wa Mtume Mwamposa aliyekuwa Mgonjwa, katotoka Ndugu zake huko Mkoani na kaja Kujiuguza ( kwa Kuishi ) katika Kibanda cha Mkaa Mtaa wa Ukwamani Kawe mita chache tu kutoka ulipo Msikiti maarufu wa kwa Londa.

Na hii ni mara ya Tatu sasa GENTAMYCINE nashuhudia Waumini Wagonjwa wa Mtume Mwamposa ambao Wengi wao huwa hawana mahala kwa Kulala Wakikata Moto Mazima ( Wakifa ) na kutupa Mzigo wa kutafuta Ndugu zao ili Wakazikwe.

Tafadhali Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ( ambaye huwa unamuomba kimya kimya Mtume Mwamposa akuombee ) ili Upendwe na Ukubalike na tusiowataka DP World na Bandari zetu Kuuzwa hebu mlazimisheni haraka Mtume Mwamposa atafute Eneo hapa Kawe jirani na Tanganyika Packers aliko ajenge Hosteli na Wodi za Kuwaweka hawa Waumini Wagonjwa wake waliojazana Kawe.

Huku kushindwa kwa Mtume Mwamposa kujenga Hosteli za Kuwalaza Waumini wake ( hasa Mabinti na Wanawake ) wanaolala Mtini pale Uwanja wa Tanganyika Packers Kawe kumekuwa ni Suluhisho la Kudumu kwa Wanaume tunaopenda 'Mbunye Chap Chap Service' kwani kuanzia Saa 1 Usiku ukiingia mule ndani unaita tu Binti au Mwanamke umtakayw na kumpa ama Tsh 500/= au Tsh 1,000/= tu kisha unatafuta Kichaka cha Jirani unamalizana nae huku Minyoka iliyo pembeni yenu ikishuhudia.

Nina Rafiki yangu Mmoja ni Daktari Hospitali moja Jirani kasema walifanya Upimaji wa Jumla wa Madereva Dala Dala, Makondakta, Madereva Bodaboda na Bajaji wa Eneo jirani na kusema ambao hawajaathirika na HIV ( VVU ) wakibahatika sana watakuwa ni Wawili au Watatu tu.

Mtume Mwamposa kama kila Jumapili unapata Sadaka za Mazuzu kuanzia Tsh Milioni 80 hadi hata Tsh Milioni 100 unashindwa nini tu hata Kuzungumza na wenye Hostels na Guests za jirani na uwe unawalipa Tsh Milioni 1 kwa Wiki ili hawa Waumini wako uliowakataza Wasilale Kanisani Kwako ndani, ila Sadaka zao unazitaka kweli kweli na Unazikwangua bila Huruma waweze Kulala humo ila Kula na Kunya wajitegemee Wenyewe?

Serikali lifanyieni Kazi hili upesi.
 
Mmh umeandika uharoo mtupu

Mwanmke wa miatano unampata wapi acha kumuaribia mwposa biashara zake hunaga ishu za kufanya Kaz kumzagia kunguni mwamposa na Simba tu
 
Hivi GENTAMYCINE naandika huu Uzi napambana na Wakazi wa Mtaa kuutoa Mwili wa Mmoja wa Waumini wa Mtume Mwamposa aliyekuwa Mgonjwa, katotoka Ndugu zake huko Mkoani na kaja Kujiuguza ( kwa Kuishi ) katika Kibanda cha Mkaa Mtaa wa Ukwamani Kawe mita chache tu kutoka ulipo Msikiti maarufu wa kwa Londa.
Mkuu wodi zinakuwaga hospitalini
pili huyo jamaa anakula na wakubwa ndo maana watu walivyokufa moshi hakufanywa chochote
 
Shauri yao wànaonà hàkuna pa kulala halafu wanataka kulala, mbona makanisa mengine hàwalali wanasali na kurudi.
 
Nyakati nyingine huyu GENTAMYCINE anakuwaga na hoja za kweli na fikirishi Japo wakati anatiririka, hukoleza kidogo chumvi ili kuweka Mvuto kwenye Mada zake, sio mbaya kwani kila mtu ana aina yake ya Uandishi especially kama hujasomea fani ya Uandishi.

Kwa hili jambo/mada Tajwa hapo juu, vyombo husika, kwa Maana ya Regulators wa hizi taasisi za Dini, hazitakiwi kulifumbia Macho, isije ikawa too late yakatukuta yaliyowakuta Wenzetu kule Kenya.

Ni kweli usiopingika kuwa Mtume Mwamposa anahudumia waumini wengi wanaotoka Nje ya Mkoa wa Dar Es Salaam. Kwa kigezo cha kuja kuombewa kutokana na matatizo mbali mbali yanayowakabili hawa waumini, Je! sio sahihi kuwasaidia wale wasiokuwa na Makazi Permanent hapa Dar kama ilivyohuduma kubwa ya Scoan-Prophety T.B. Joshua Nchini Nigeria!?
Kitendo cha hao waumini kulala nje ya Kanisa au mitaani, sio sahihi. Najaribu kuwaza.

Kwa hii hoja ya Gentamycine, siwezi kuipinga, kwani Huduma zilizo nyingi zinafanya haya haya aliyoainisha hapa Mleta Mada.
Tusisubirie hadi yatufike Maji ya shingo.
 
Hivi GENTAMYCINE naandika huu Uzi napambana na Wakazi wa Mtaa kuutoa Mwili wa Mmoja wa Waumini wa Mtume Mwamposa aliyekuwa Mgonjwa, katotoka Ndugu zake huko Mkoani na kaja Kujiuguza ( kwa Kuishi ) katika Kibanda cha Mkaa Mtaa wa Ukwamani Kawe mita chache tu kutoka ulipo Msikiti maarufu wa kwa Londa.
Yaan kwmb kwa jero unapata utelezi?!!
 
Back
Top Bottom