Serikali mlazimisheni Mtume Mwamposa ajenge Hosteli na Wodi kwani Waumini wake Wanakufa mno Mitaani

Nakuunga mkono, nipo pale Kawe kwa kibiashara changu, nashuhudia unachosema, kwa hili nitazidi kuunga mkono kwa hoja zako. Big up! Mimi natamani huyu jamaa aondoke kwani anatupa sana shida ya usafiri jioni.
 
Sadaka ni nyingi kiasi gani cha kutosha kuhudumia wagonjwa wanaolala hapo? Wagonjwa wenyewe wamekata tamaa na matumaini ya kupona maradhi yao, wanaona bora wakafie kwa mwamposa
 
Acha wafe,wajinga wapungue maana hawajifunxi
 
Uume wangu ulikuwa kama Bamia, ila nimeumwagilia Maji ya Upako na umekuwa Mkubwa kama Bomba Kuu la DAWASCO.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„ dah noma ngoja nitoke huku udoweni nije uko nije apo pakers na mm nipokee muujiza wangu kwa mtume bulldozer
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„ dah noma ngoja nitoke huku udoweni nije uko nije apo pakers na mm nipokee muujiza wangu kwa mtume bulldozer
Najiandaa nina Muumini Mmoja wa Mtume Mwamposa leo baada ya Ibada yake Maalum nataka Nikamkande kule Vichakani ( kama Nyoka Vifutu hawatakuwepo ) kama unaelekea kwa Kavishe ili niiokoe Hela yangu ya Guest Tsh 7,000/= inisaidie katika Kubeti niweze Kumla Mhindi ( Panjuani ) baadae.
 
Mmh umeandika uharoo mtupu

Mwanmke wa miatano unampata wapi acha kumuaribia mwposa biashara zake hunaga ishu za kufanya Kaz kumzagia kunguni mwamposa na Simba tu
Usiwe mbishi pale wanawake wengi wanaliwa had buree, mwanzoni nilikua nakataa, nilikuja kuamini siku nimeenda, yanayofanyika pale ni zaidi ya haya ya kuliwa kwa mia 5.
 
Ni sahihi na wanafanya hivi kwa makusudi ili kama mgonjwa atafariki, afariki nje ya mikono yao na kukwepa vyombo vya dola.
 
Hakuna anaelazimishwa kwenda ,,,,Kila mtu anafanya kwa uhuru wake,,,,Hata hapo Muhimili kila saa Israel anapita na roho za watu
 
Usiwe mbishi pale wanawake wengi wanaliwa had buree, mwanzoni nilikua nakataa, nilikuja kuamini siku nimeenda, yanayofanyika pale ni zaidi ya haya ya kuliwa kwa mia 5.
Mwambie huyo Mpuuzi kuwa akiona GENTAMYCINE nimekuja na Taarifa hapa aipokee na aiamini kwa 100% kwani nimepikwa na kupikika kwa kupata Habari za Kawaida, Ngumu na za Hatari.

Na mwambie kwa Ushuhuda wangu kuwa kama kuna Mtu anawala ( anawatia ) tena bila Huruma na mara nyingi kwa Mali Kauli ( Ahadi Hewa ) ni Mimi na hata leo Usiku baada ya Tamasha kuna Mwingine naenda Kumtia ( Kumbatua ) Vichakani kwenye Mahandaki ya Asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…