Serikali mlazimisheni Mtume Mwamposa ajenge Hosteli na Wodi kwani Waumini wake Wanakufa mno Mitaani

πŸ˜„πŸ˜„Mm naelekea beach sa hivi kuvizia warembo kwanza nikigeuka hapo napita njia ya kwa mwamposa napo siwezi kukosa hata mademu wawili pale maana ndo sehemu zangu za kukamata warembo hizo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Religion does three things effectively:divides people controls people and deludes people.
 
πŸ˜„πŸ˜„Mm naelekea beach sa hivi kuvizia warembo kwanza nikigeuka hapo napita njia ya kwa mwamposa napo siwezi kukosa hata mademu wawili pale maana ndo sehemu zangu za kukamata warembo hizo
Acha tuwakaze tu Mkuu hadi Wakome.
 
Huyu dingi mganga wake mzuri aisee. Kakobe alipokuwa kwenye prime hakuweza fika levo za huyu bepari.
 
Huyu dingi mganga wake mzuri aisee. Kakobe alipokuwa kwenye prime hakuweza fika levo za huyu bepari.
Anachanganya Uchawi wa Nigeria, Congo DR na Mozambique lazima awe ni HATARI sana mbele ya Mazuzu wengi alionao na wale anaoendelea tu Kuwaokota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…