KERO Serikali, mna mpango gani na Usafiri wa Treni? Mnatuwekea siku maalum ya kukata tiketi, halafu tukifika kukata, mnasema nafasi zimeisha?

KERO Serikali, mna mpango gani na Usafiri wa Treni? Mnatuwekea siku maalum ya kukata tiketi, halafu tukifika kukata, mnasema nafasi zimeisha?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

MeVSMe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
270
Reaction score
425
Wana JF mmelala?

Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa.

Hii Train inaelekea mkoani kutoka dares salaam, mara Moja Kwa week, ambayo ni Alhamis. Na nauli Huwa ni elfu 36 third class na elfu 48 second class ila sasahivi nauli zimebadilika third class ni 48 na second class ni 65😟😟. Je hii ni Kwa maelekezo ya TRC?

Hii Train zimewekwa siku maalumu ya abiria kwenda kukata tiketi, nayo ni J.Nne na J Tano Tu, ukienda tofauti na hapo haupati tiketi.

Sasa tuseme hii ni sheria imewekwa, mbaya na ya kusikitisha zaidi ni kwamba ukienda J.nne ambayo ndio siku ya kukata tiketi unaambiwa train imejaa!

Mi hii nilihisi ni uongo, ila Leo Nimeenda Jana nilienda kukata tiketi ya kuelekea mwanza nikaambiwa siku ya kukata tiketi ni J nne na J.tano, Leo Nimeenda saa3 naambiwa train imejaa😟😟😟.

How comes??? Yaani siku ya Leo ndio ya kukata tiketi halafu saa3 tayari imejaa? Halafu nikataka kukata tiketi ili nisafiri Alhamis ijayo naambiwa siruhusiwi kukata mpaka J.nne ya week ijayo,

hivi jamani, mnajaribu kuelewa hili suala?? Hii inamaanisha nini?

Kama Serikali inaweka huduma halafu inahudumia inavyotaka maana yake Nini?

Hii inaumiza watu wengi wanaotumia usafiri WA Train, hizi tiketi tunazoambiwa zimeisha zinaenda wapi?

Serikali Ina mpango Gani na hizi huduma za Train za ajabu?
 
Siku zote kwenye maisha yetu unachokitamani/kukitaka huwezi kukipata kirahisi..

🙋🏻‍♂️
 
Siku zote kwenye maisha yetu unachokitamani/kukitaka huwezi kukipata kirahisi..

🙋🏻‍♂️
Kuna mtu aliwaambia walete hizo train zao? Kwanini wameleta hizi huduma halafu wanaziminya wenyewe?
 
Wana JF mmelala?

Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa...
Nchi ina mambo hii,subiri mamlaka itakujibu unapotosha uma, ni sababu ya msimu wa siku kuu ndio wanapandisha bei au? Halafu baadae abiria wakihamua kususia na kupanda mabasi watasema wanahujumiwa
 
Hata express kuna siku nakagua mabehewa yamejaa busines clas, hee kuingia muda safar yapo matupu kbs. Nikajiuliza wanatukomoa kuonesha demand ama?
 
Hata express kuna siku nakagua mabehewa yamejaa busines clas, hee kuingia muda safar yapo matupu kbs. Nikajiuliza wanatukomoa kuonesha demand ama?
Huu ni upuuzi, Sasa mi Baada ya walichonifanyia unahisi naweza kutaka kusafiri na train Tena siwezi Abadan😟
 
Wana JF mmelala?

Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa.

Hii Train inaelekea mkoani kutoka dares salaam, mara Moja Kwa week, ambayo ni Alhamis. Na nauli Huwa ni elfu 36 third class na elfu 48 second class ila sasahivi nauli zimebadilika third class ni 48 na second class ni 65😟😟. Je hii ni Kwa maelekezo ya TRC?

Hii Train zimewekwa siku maalumu ya abiria kwenda kukata tiketi, nayo ni J.Nne na J Tano Tu, ukienda tofauti na hapo haupati tiketi.

Sasa tuseme hii ni sheria imewekwa, mbaya na ya kusikitisha zaidi ni kwamba ukienda J.nne ambayo ndio siku ya kukata tiketi unaambiwa train imejaa!

Mi hii nilihisi ni uongo, ila Leo Nimeenda Jana nilienda kukata tiketi ya kuelekea mwanza nikaambiwa siku ya kukata tiketi ni J nne na J.tano, Leo Nimeenda saa3 naambiwa train imejaa😟😟😟.

How comes??? Yaani siku ya Leo ndio ya kukata tiketi halafu saa3 tayari imejaa? Halafu nikataka kukata tiketi ili nisafiri Alhamis ijayo naambiwa siruhusiwi kukata mpaka J.nne ya week ijayo,

hivi jamani, mnajaribu kuelewa hili suala?? Hii inamaanisha nini?

Kama Serikali inaweka huduma halafu inahudumia inavyotaka maana yake Nini?

Hii inaumiza watu wengi wanaotumia usafiri WA Train, hizi tiketi tunazoambiwa zimeisha zinaenda wapi?

Serikali Ina mpango Gani na hizi huduma za Train za ajabu?
Kuendelea kutumia Mashirika ya Umma kuendesha biashara ni ujinga, na Watawala wanapenda sana hii kwa sababu ta teuzi, yaani hawako tiyali kuona mfani treni inasimamiwa na Private sector make watashindwa kuwa wanafanya zile teuzi za mchongo
 
Mi hii nilihisi ni uongo, ila Leo Nimeenda Jana nilienda kukata tiketi ya kuelekea mwanza nikaambiwa siku ya kukata tiketi ni J nne na J.tano, Leo Nimeenda saa3 naambiwa train imejaa😟😟😟.

How comes??? Yaani siku ya Leo ndio ya kukata tiketi halafu saa3 tayari imejaa? Halafu nikataka kukata tiketi ili nisafiri Alhamis ijayo naambiwa siruhusiwi kukata mpaka J.nne ya week ijayo,
Mambo mawili makuu
  1. Rushwa
  2. Hujuma
Kwanini hawataki kudigitize hiyo huduma ya ticketing
 
Hapo wanataka rushwaaa kama unabisha mpe 3000 uwone kama hujpewa tiketi.
 
Back
Top Bottom