Wana JF mmelala?
Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa.
Hii Train inaelekea mkoani kutoka dares salaam, mara Moja Kwa week, ambayo ni Alhamis. Na nauli Huwa ni elfu 36 third class na elfu 48 second class ila sasahivi nauli zimebadilika third class ni 48 na second class ni 65😟😟. Je hii ni Kwa maelekezo ya TRC?
Hii Train zimewekwa siku maalumu ya abiria kwenda kukata tiketi, nayo ni J.Nne na J Tano Tu, ukienda tofauti na hapo haupati tiketi.
Sasa tuseme hii ni sheria imewekwa, mbaya na ya kusikitisha zaidi ni kwamba ukienda J.nne ambayo ndio siku ya kukata tiketi unaambiwa train imejaa!
Mi hii nilihisi ni uongo, ila Leo Nimeenda Jana nilienda kukata tiketi ya kuelekea mwanza nikaambiwa siku ya kukata tiketi ni J nne na J.tano, Leo Nimeenda saa3 naambiwa train imejaa😟😟😟.
How comes??? Yaani siku ya Leo ndio ya kukata tiketi halafu saa3 tayari imejaa? Halafu nikataka kukata tiketi ili nisafiri Alhamis ijayo naambiwa siruhusiwi kukata mpaka J.nne ya week ijayo,
hivi jamani, mnajaribu kuelewa hili suala?? Hii inamaanisha nini?
Kama Serikali inaweka huduma halafu inahudumia inavyotaka maana yake Nini?
Hii inaumiza watu wengi wanaotumia usafiri WA Train, hizi tiketi tunazoambiwa zimeisha zinaenda wapi?
Serikali Ina mpango Gani na hizi huduma za Train za ajabu?
Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa.
Hii Train inaelekea mkoani kutoka dares salaam, mara Moja Kwa week, ambayo ni Alhamis. Na nauli Huwa ni elfu 36 third class na elfu 48 second class ila sasahivi nauli zimebadilika third class ni 48 na second class ni 65😟😟. Je hii ni Kwa maelekezo ya TRC?
Hii Train zimewekwa siku maalumu ya abiria kwenda kukata tiketi, nayo ni J.Nne na J Tano Tu, ukienda tofauti na hapo haupati tiketi.
Sasa tuseme hii ni sheria imewekwa, mbaya na ya kusikitisha zaidi ni kwamba ukienda J.nne ambayo ndio siku ya kukata tiketi unaambiwa train imejaa!
Mi hii nilihisi ni uongo, ila Leo Nimeenda Jana nilienda kukata tiketi ya kuelekea mwanza nikaambiwa siku ya kukata tiketi ni J nne na J.tano, Leo Nimeenda saa3 naambiwa train imejaa😟😟😟.
How comes??? Yaani siku ya Leo ndio ya kukata tiketi halafu saa3 tayari imejaa? Halafu nikataka kukata tiketi ili nisafiri Alhamis ijayo naambiwa siruhusiwi kukata mpaka J.nne ya week ijayo,
hivi jamani, mnajaribu kuelewa hili suala?? Hii inamaanisha nini?
Kama Serikali inaweka huduma halafu inahudumia inavyotaka maana yake Nini?
Hii inaumiza watu wengi wanaotumia usafiri WA Train, hizi tiketi tunazoambiwa zimeisha zinaenda wapi?
Serikali Ina mpango Gani na hizi huduma za Train za ajabu?