Mkuu wewe unayepinga ndiye unayepaswa kuleta hiyo picha kuonesha kuwa kuwa yeye kadanganya.Nadhani angeleta uthibitisho wa picha ya tukio tungemuamini lakini maandishi tunamuona tapeli inabidi ashugulikiwe
Sasa imagine kiumbe kama mleta uzi ashike madaraka hata ya mtendaji wa kata tu, huo moto wake wananchi watakoma.Watu hawatakiwi kuendeshwa na hisia ndio maana kuna mahakama na wanasheria..
Nchi inafaa iongozwe na sheria sio hisia
Wewe ndio unamihemko nithibitishie huo ukweli kwamba saa nane ameuwawa sio porojoMkuu kama unaamini kaongopa tuwekee hapa ukweli unaoujua, punguza mihemuko weka hapa ukweli wako tuende sawa.
Hivi unaejielewa kweli yeye alieleta Hilo swala ndio anapaswa alete picha sio kutuandikia maandishi hata Mimi naweza kuamka na kuandikaMkuu wewe unayepinga ndiye unayepaswa kuleta hiyo picha kuonesha kuwa kuwa yeye kadanganya.
Ukiona vipi kuliko kubwabwaja huku mfungulie mashtaka mahakamani.
Mkuu kama unajua yupo si utoe ushahidi kuwa yupo!! Pili, hujalazimishwa kununua hiko kitabu au kuzuiwa kuandika cha kwako au kufungua mashtaka.Jibu swali wewe umejuaje kama kafa
Wewe unaesema kafa tuthibitishie Kwa picha sio porojo za maandishiMkuu kama unajua yupo si utoe ushahidi kuwa yupo!! Pili, hujalazimishwa kununua hiko kitabu au kuzuia kuandika cha kwako au kufungua mashtaka.
π²π²π²Tuambie we mke wake anaishi wapi now
π²π²π²Sasa we si ndio unajua wapi anaishi maana ni Mke wake
We mjinga fanya kazi naona inakuuma kutumbuliwaAnaandika Usoka
"Kuna watu wanaabudu mzimu mzee Magu.Wanaona alikuwa Mungu japo sikatai kwao anaweza akawa mungu.Ila hili la kumtetea bila kujua udhaifu wake linatia shaka sana juu ya huko tuendako.Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini familia haiongeaji!!.Pia hii ni kufuru kwamba Mungu hana watu wengine zaidi yake.Kama ingekuwa hivyo Mungu angemwacha,na ni vyema kujua akili za Mungu hazichunguziki,yeye ni zaidi ya viumbe vyote"
Lissu anateseka Magufuli akiwa wapi??Muda ndo utamshughulikia hata Lisu alijiona mjanja sana kutumika na vibaraka kumchafua JPM lakini laana inamtafuna na Sasa anashughulikiwa yeye tena baadhi ya wale waliomtuma sijajua na mabeberu wakimtumpa itakuaje
Mkuu kama unaweza kuandika si uandike, unashindwa nini??? Kakuzuia nani???Hivi unaejielewa kweli yeye alieleta Hilo swala ndio anapaswa alete picha sio kutuandikia maandishi hata Mimi naweza kuamka na kuandika
Wewe mbona umerukia kuja kucomenti kwenye Uzi wangu kwani umeuandika wewe kama wewe unavyonipinga hapa kwenye Uzi ambao nimeandika Mimi basi na Mimi nampinga huyo tapeli kabenderaMkuu kama unaweza kuandika si uandike, unashindwa nini??? Kakuzuia nani???
Yeye kabendela ametoa ushahidi upi? Na wewe unskubaliana nae kwa ushahidi upi?Kwa hiyo wewe unajua Ben saanane alikufaje kufaje!? tupe ushahidi basi!
π€οΈπββοΈβοΈππWhy mnapenda kukimbilia kutumia nguvu badala ya akili!yy kaandika kitabu!ww thibitisha kwa kutuletea Ben saa nane
Yeye ni mwandishi.. Acha aongee. Wananchi wenyewe tuchambue mbivu ni ipi na mbichi ni ipi. Unaweweseka??Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Mkuu Gunner Shooter Unamshughulikiaje mtuhumiwa bila kufuata taratibu za kisheria (mahakama)?Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Pasina shaka ungependa uwe mmoja wa watakaopewa kazi ya kumshughulikiaHuyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Ndio wamshughurikie Kwa kumpeleka mahakamaniKwanini wamshughulikie
Kama kuna sheria kavunja si mahakama zipo?
Kumbe hizi abductions zunazotokea ni serikali Huwa inahusika then inadanganya umma kwamba haihusiki?Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere