ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara, tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇
===
Leo June 27,2024 ikiwa ni siku ya nne ya mgomo wa Wafanyabiashara katika baadhi ya Mikoa Nchini ikiwemo Dar es salaam, AyoTV imepita katika soko la Kariakoo na kukuta baadhi ya maduka yakiwa yamefunguliwa huku wengine wakiendelea kugoma kufungua maduka yao.
Baadhi ya Wafanyabiashara wameendelea kugoma licha ya matamko kadhaa kutoka kwa Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Wafanyabiashara wakiwataka wasitishe mgomo na kufungua maduka yao kwani kero zao sasa zinatatuliwa na Serikali baada ya kukaa nao chini kuwasikiliza.
Ayo TV imeshuhudia idadi ndogo ya Wanunuzi wa bidhaa tofauti na inavyokuwa siku za kawaida zisizo na mgomo huku magari ya matangazo yakipita kuwasihi Wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea na biashara.
====
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa, kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Wakenya.
=====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara, tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇
===
Leo June 27,2024 ikiwa ni siku ya nne ya mgomo wa Wafanyabiashara katika baadhi ya Mikoa Nchini ikiwemo Dar es salaam, AyoTV imepita katika soko la Kariakoo na kukuta baadhi ya maduka yakiwa yamefunguliwa huku wengine wakiendelea kugoma kufungua maduka yao.
Baadhi ya Wafanyabiashara wameendelea kugoma licha ya matamko kadhaa kutoka kwa Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Wafanyabiashara wakiwataka wasitishe mgomo na kufungua maduka yao kwani kero zao sasa zinatatuliwa na Serikali baada ya kukaa nao chini kuwasikiliza.
Ayo TV imeshuhudia idadi ndogo ya Wanunuzi wa bidhaa tofauti na inavyokuwa siku za kawaida zisizo na mgomo huku magari ya matangazo yakipita kuwasihi Wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea na biashara.
====
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa, kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Wakenya.
=====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024