ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Kigoma ndio madai Yao yanatatowa? Yametatuliwa?Wasingekuwa na madai wasingegoma.Serikali haisikiii bila kugongwa kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoma ndio madai Yao yanatatowa? Yametatuliwa?Wasingekuwa na madai wasingegoma.Serikali haisikiii bila kugongwa kichwani
Nani anafanya arrogance? Kwani lazima Serikali ifanye unachotaka wewe? Itakuwa ni Nchi au kioja?Kuna arrogance katika namna ya kusikiliza na kutatua vikwazo vya wafanyabiashara. Kuna tabia mbaya ya kuona wafanyabishara wote ni wezi na watu wanaojaribu kukwepa kodi.
Tusidanganyane hapa..serikali inahitaji private sector imara ili wakusanye kodi. Ubabe unapoteza sana kwa wote, wafanyabiashara na hata serikali maana mapato yanapungua.
Sio kila kitu kinachodaiwa lazima kitekelezwe. Ila kuendelea kuwadharau kama unavyoandika hapa ni kujidanganya. Muulizie Mwigulu atakueleza vizuri. Mnalipanaje mishahara sasa?
Lazima nikukere maana Huwa napiga kwenye mshono sikopeshagi Mimi Wala kupaka Mafuta 😆😆Choicevariable unakera sana jamaa angu. Bila kukutukana naona km roho inaniuma sana
Wewe ni mtu mdogo sana, huna na wala hujawahi kuwa na ushawishi wowoteWajinga ni wewe mnaewachochea hao wasiojielewa 😂😂
Pia hizo Demokrasia mavi ndio zilidanganya kina Ruto
Kwani una cheo Gani ndani ccm?Lazima nikukere maana Huwa napiga kwenye mshono sikopeshagi Mimi Wala kupaka Mafuta 😆😆
Sihitaji Ushawishi Bali nafikisha ujumbe na ukweli kuntuWewe ni mtu mdogo sana, huna na wala hujawahi kuwa na ushawishi wowote
Sina Cheo chochote Wala mimisio mwana ccm ni raia mwemaKwani una cheo Gani ndani ccm?
Kwan ujui nguvu ya mgomoKigoma ndio madai Yao yanatatowa? Yametatuliwa?
Sawa endeleeni kufungua maduka tuone kama VAT itapunguzwaKwan ujui nguvu ya mgomo
Na ukihoji inawezekana vipi wanasiasa wana ukwasi usioakisi uhalisia wa mshahara jibu ni hawategemei siasa wana biashara zao.Hawa waliosema fani ya kusifia viongozi ili wale huwa wanaishia viongozi wakiishia. They dont live long to see the other side of this struggle which is beneficial to all of us
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C8tpL3liGNy/?igsh=Mm9icHRtMHZpZjJ1
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa 👇👇
View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19
Kuna mahala nimewaomba warudi? Njaa ndio itawarudisha mmja baada ya mwingine kama hivi 👇👇Kama wewe ndie uliewapa mitaji Basi watarudi sokoni
Kwanza wafanyabiashara ndionawahonga Wanasiasa Ili msilipe Kodi ,Sasa wakichukua Kwa watu kadhaa wataacha kuwa na ukwasi? Lipeni Kodi acheni janja janjaNa ukihoji inawezekana vipi wanasiasa wana ukwasi usioakisi uhalisia wa mshahara jibu ni hawategemei siasa wana biashara zao.
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C8tpL3liGNy/?igsh=Mm9icHRtMHZpZjJ1
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa 👇👇
View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19
Kodi kama hailipwi huku kuvunja rekodi kunapotangazwa kunatokana na nini?Kwanza wafanyabiashara ndionawahonga Wanasiasa Ili msilipe Kodi ,Sasa wakichukua Kwa watu kadhaa wataacha kuwa na ukwasi? Lipeni Kodi acheni janja janja
Hata wangepanda LC 600 haiongezi ubinadamu wao.kazi kulamba viatu kwa kusifia mitandaoni huku wenzio sasahivi wanapanda LC 300 wanaenda lunch, akili kama hizi za washinda njaa ndo zinafanya vijana wa hii nchi tuonekane hamnazo
Kwa idadi yetu inatakiwa Kodi iwe walau 30% ya GDP Sasa tuko chini ya 20% Kwa sababu ya ukwepaji Kodi.Kodi kama hailipwi huku kuvunja rekodi kunapotangazwa kunatokana na nini?
Hiyo chini ya 20% inalipwa na kina nani?, mishahara ya private sector inatoka kwenye faida yao na ndipo mnapata kodi ya mishahara private sector, Faida za mabank kupitia Riba zinatoka kwenye faida yao na ndipo mnapopata kodi za mabank, Mtumishi mfano wa TRA ana offer nini? Embu tazama nafasi yao katika uhalisia utawaheshimu.Kwa idadi yetu inatakiwa Kodi iwe walau 30% ya GDP Sasa tuko chini ya 20% Kwa sababu ya ukwepaji Kodi.