Serikali msihangaike na madai ya wafanyabiashara ambayo hayatekelezeki. Njaa itawarudisha sokoni

Serikali msihangaike na madai ya wafanyabiashara ambayo hayatekelezeki. Njaa itawarudisha sokoni

Hiyo chini ya 20% inalipwa na kina nani?, mishahara ya private sector inatoka kwenye faida yao na ndipo mnapata kodi ya mishahara private sector, Faida za mabank kupitia Riba zinatoka kwenye faida yao na ndipo mnapopata kodi za mabank, Mtumishi mfano wa TRA ana offer nini? Embu tazama nafasi yao katika uhalisia utawaheshimu.
Kwa hiyo unagoma kumkomoa nani?
 
Wafungue maduka lakini hakuna kulipa kodi, TRA wakija kimbiza na fimbo, pia hakuna cha kutumia EFD machine, na wawe na umoja.
 
Kwa hiyo unagoma kumkomoa nani?
Ndo maana nimekuuliza unadhani kufunga duka likiwa na mzigo wenye mkopo ni rahisi? Ukitambua nafasi ya wafanyabiashara kwenye uchumi na mzigo wanaoubeba hutafikiri mambo ya kukomoana utayaona mambo katika uhalisia.
 
Ndo maana nimekuuliza unadhani kufunga duka likiwa na mzigo wenye mkopo ni rahisi? Ukitambua nafasi ya wafanyabiashara kwenye uchumi na mzigo wanaoubeba hutafikiri mambo ya kukomoana utayaona mambo katika uhalisia.
Mazungumzo yachukue mkondo wake ,ukigoma unaachwa ugome.njaa itakurudisha sokoni
 
Kakupiga radi akijua kuna Ban na hajajali sababu matamshi yako yanapandisha hasira kwa mtu anayehisika moja kwa moja na biashara.
Sasa weww tangu lini matusi ya mjinga yakabadili maturity ya mtu makini kama Mimi?
 
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.

Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.

Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.

Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8tpL3liGNy/?igsh=Mm9icHRtMHZpZjJ1

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19

My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.

Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa 👇👇

View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19

🤣🤣🤣
 
Na Mimi nimesema Waendelee kufungua na Serikali isiwabugudhi njaa itawarudisha sokoni ,si unaona wanarudi wenyewe kwani wamelazimishwa? Serikali imetekwlwza waliyotaka?
 
Tatizo wa Tz janja janja nyingi sn. Hawa wafanyabiashara wanaokataa kufungua maduka wana hoja, ila ukweli wengi wao ni janja janja nyingi sana. Hawatoi risti na ukidai anakuambia acha bidhaa au anakuambia wewe chukua uende. Hata ukilazimisha hakupi na kibaya zaidi akishapewa pesa harudishi, atasisitiza tu uondoke pengine atasema machine mbovu. Wanakaraa nyingi sn.

Issue ni moja tu, km ilivyobandalini ukiagiza gari jiandae na kodi lukuki tena nusu au mara mbili ya bei ya gari. Sasa ni wewe kuamua kuagiza hilo gari au uache. Na ukiacha wenye pesa wanaendelea kununua. Hivyo hivyo km mfanyabiashara anaona hapati faida sababu ya kodi aache afanye kitu kingine ili wanaoweza kuendana na kadhia za kodi waendelea. Narudia wana hoja ila isiwe km wanashinikiza badala ya kushauriana na serikali.
 
Nani anafanya arrogance? Kwani lazima Serikali ifanye unachotaka wewe? Itakuwa ni Nchi au kioja?
Haaahaaaa...wewe kama ni muajiriwa wa serikali au mpambe wa walioko leo serikalini, sio serikali. Serikali ina maslahi ya watanzania wote.
Acha kutunisha misuli kama vile uko kwa mkeo au watoto wako. Serikali ina namna yake ya kufanya kazi. Hata kama leo hii unaondoka hapo ulipo, hakuna lityakalo simama. Acha maslahi mapana ya watanzania yathaminiwe na kuendelezwa.
Nilichojifunza kwenye maisha ni kuwa losers are just losers. Kuna wakati wanajitutumua na kujipa hadhi ambayo kamwe hawata kuwa nayo
 
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.

Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.

Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.

Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara, tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.👇👇

===
Leo June 27,2024 ikiwa ni siku ya nne ya mgomo wa Wafanyabiashara katika baadhi ya Mikoa Nchini ikiwemo Dar es salaam, AyoTV imepita katika soko la Kariakoo na kukuta baadhi ya maduka yakiwa yamefunguliwa huku wengine wakiendelea kugoma kufungua maduka yao.

Baadhi ya Wafanyabiashara wameendelea kugoma licha ya matamko kadhaa kutoka kwa Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Wafanyabiashara wakiwataka wasitishe mgomo na kufungua maduka yao kwani kero zao sasa zinatatuliwa na Serikali baada ya kukaa nao chini kuwasikiliza.

Ayo TV imeshuhudia idadi ndogo ya Wanunuzi wa bidhaa tofauti na inavyokuwa siku za kawaida zisizo na mgomo huku magari ya matangazo yakipita kuwasihi Wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea na biashara.


====
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa, kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.

Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Wakenya.

=====

Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Wewe ni mpuuzi mwingine umeshawahi kuuza hata karanga kweli wewe
 
Back
Top Bottom