Serikali msihangaike na madai ya wafanyabiashara ambayo hayatekelezeki. Njaa itawarudisha sokoni

Serikali msihangaike na madai ya wafanyabiashara ambayo hayatekelezeki. Njaa itawarudisha sokoni

Wacha kujaa gesi,Kodi utalipa na huna Cha kufanya na mwisho wa siku utafungua duka Kwa sababu za njaa zako
Na kingine mkuu nataka kuskia maoni yako, hivi yale mabilioni ambayo kila mwaka CAG anadai yamepotelea hewani na serikali haiwajibi unahc n haki? Na unashauri wananchi tufanyaje? Maana zile pesa ni kodi zetu, just imagine wanakomaa kukusanya kodi halafu kwenye mahesbu utaskia kias flan kimepotelea hewan, unahc wananch wanajiskiaje?
 
Na kingine mkuu nataka kuskia maoni yako, hivi yale mabilioni ambayo kila mwaka CAG anadai yamepotelea hewani na serikali haiwajibi unahc n haki? Na unashauri wananchi tufanyaje? Maana zile pesa ni kodi zetu, just imagine wanakomaa kukusanya kodi halafu kwenye mahesbu utaskia kias flan kimepotelea hewan, unahc wananch wanajiskiaje?
Mimi na nyie Huwa tunashindana kwenye logic.

Una uhakika Serikali haichukui hatua? Harafu kwani kila hela anayotaja CAG Huwa anasema imeibwa? Zingine ni hasara na zingine ni zile hazijakusanywa wafanyabiashara wamekwepa kodi
 
Wafanyabiashara ni mawakala wa kodi unasemaje hawakuheshimu? Trilion zinazokusanywa na kuvunja rekodi kila unadhani zimepitia njia gani?
Kwanza naelipa Kodi ni Mimi sio wao,wao ni mawakala wanachukua hela yangu na hawafikishi Serikalini.
 
Ndio mbona wamefunga?
Nataka uvae viatu vya mtu anayeamua kwamba afunge biashara aliyolipia frem na mzigo upo ndani pengine wa mkopo, mzigo ambao pengine ni fashion ukizubaa unakudodea, mzigo ambao pengine unaexpire. Kwanini mtu aamue maamuzi magumu hivyo?
 
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.

Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.

Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.

Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19

My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.

Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa 👇👇

View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19


Serikali imefeli kuendesha mashirika yote ya umma wakati wa ujamaa. Niambie hata shirika moja lililokuwa na afadhali.
Mpaka leo ATCL, TTCL, etc zinasuasua sababu ya ujuaji wa watu kama nyinyi, ambao hamuelwi lolote kuhusu biashara, na bado ndio mko mbele kutoa ushauri.
Hivi kwanini mwendokasi imekuwa hoi bin taabani? Kizazi hiki cha kudhani kuwa mfanyakazi wa serikali na taasisi zake ni kuwa prevelaged lazima kiangukie pua.
Dunia inakwenda kasi kuliko wao wanavyokwenda na kamwe hawataweza kuisimamisha dunia ili iwasubiri. It will be a loss to all of us.

Kwa wale wajuaji sana, wasiotaka kujipa muda wa kufikiri na kuelewa, wala sio wa kwanza. Dunia imesheni mifano kadhaa ya watu wa aina hiyo na wapi waliishia.

Mfano mmoja ni huu


View: https://www.youtube.com/watch?v=gNGT8YSVNdw
 
Serikali imefeli kuendesha mashirika yote ya umma wakati wa ujamaa. Niambie hata shirika moja lililokuwa na afadhali.
Mpaka leo ATCL, TTCL, etc zinasuasua sababu ya ujuaji wa watu kama nyinyi, ambao hamuelwi lolote kuhusu biashara, na bado ndio mko mbele kutoa ushauri.
Hivi kwanini mwendokasi imekuwa hoi bin taabani? Kizazi hiki cha kudhani kuwa mfanyakazi wa serikali na taasisi zake ni kuwa prevelaged lazima kiangukie pua.
Dunia inakwenda kasi kuliko wao wanavyokwenda na kamwe hawataweza kuisimamisha dunia ili iwasubiri. It will be a loss to all of us.

Kwa wale wajuaji sana, wasiotaka kujipa muda wa kufikiri na kuelewa, wala sio wa kwanza. Dunia imesheni mifano kadhaa ya watu wa aina hiyo na wapi waliishia.

Mfano mmoja ni huu


View: https://www.youtube.com/watch?v=gNGT8YSVNdw

Kwa hiyo nini hoja Yako? Madai ya Wafanyabiashara hayatekelezeki na hayawezekani maana hamuwezi ipangia Serikali
 
Nataka uvae viatu vya mtu anayeamua kwamba afunge biashara aliyolipia frem na mzigo upo ndani pengine wa mkopo, mzigo ambao pengine ni fashion ukizubaa unakudodea, mzigo ambao pengine unaexpire. Kwanini mtu aamue maamuzi magumu hivyo?

Hawa waliosema fani ya kusifia viongozi ili wale huwa wanaishia viongozi wakiishia. They dont live long to see the other side of this struggle which is beneficial to all of us
 
Wana madai yao wasikilizwe bila wao serikali haipati kodi
Kuna siku walikuwa hawasikilizwi? Mbona wanatumia Nguvu ? Wana umoja wao Wana chember zao why kutumia Nguvu? Mfanyabiashara na Serikali nani ana Nguvu?

Mwisho Nchi haitegemei Kodi Kwa wafanyabiashara pekee hasa Hawa wachuuzi Wanaogoma.
 
Hawa waliosema fani ya kusifia viongozi ili wale huwa wanaishia viongozi wakiishia. They dont live long to see the other side of this struggle which is beneficial to all of us
Kuna mahala Serikali imekataa ?
 
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.

Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.

Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.

Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19

My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.

Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa 👇👇

View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19

Ruto alidanganywa na watu wajinga kama wewe
 
mjerumani aliyekuwa agawa viwanja pale berlin conference alijipendelea akahakikisha nchi za rwanda burundi congo zambia uganda malawi zimbabwe hazina bandari ili watumie bandari ya dar, sie tumnashindwa kutumia hii fursa tutakuwa na masaburi madogo, kkoo haihudumii wananchi wa tegeta wala wa gongo la mboto. halafu mjinga mmoja anasema tungeni mwone kama tutawabembeleza, hajuzi trickle down effect ya kuua kongo,

Tukumbuke wazungu wa DA wamerudi madarakani msishangae wazimbabwe wazambia congo malawi na hata rwanda na burundi wakatumia bandari za africa ya kusini
 
Kuna siku walikuwa hawasikilizwi? Mbona wanatumia Nguvu ? Wana umoja wao Wana chember zao why kutumia Nguvu? Mfanyabiashara na Serikali nani ana Nguvu?

Mwisho Nchi haitegemei Kodi Kwa wafanyabiashara pekee hasa Hawa wachuuzi Wanaogoma.
Wasingekuwa na madai wasingegoma.Serikali haisikiii bila kugongwa kichwani
 
Kwa hiyo nini hoja Yako? Madai ya Wafanyabiashara hayatekelezeki na hayawezekani maana hamuwezi ipangia Serikali

Kuna arrogance katika namna ya kusikiliza na kutatua vikwazo vya wafanyabiashara. Kuna tabia mbaya ya kuona wafanyabishara wote ni wezi na watu wanaojaribu kukwepa kodi.
Tusidanganyane hapa..serikali inahitaji private sector imara ili wakusanye kodi. Ubabe unapoteza sana kwa wote, wafanyabiashara na hata serikali maana mapato yanapungua.
Sio kila kitu kinachodaiwa lazima kitekelezwe. Ila kuendelea kuwadharau kama unavyoandika hapa ni kujidanganya. Muulizie Mwigulu atakueleza vizuri. Mnalipanaje mishahara sasa?
 
Back
Top Bottom