ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #61
Kwa hiyo unagoma kumkomoa nani?Hiyo chini ya 20% inalipwa na kina nani?, mishahara ya private sector inatoka kwenye faida yao na ndipo mnapata kodi ya mishahara private sector, Faida za mabank kupitia Riba zinatoka kwenye faida yao na ndipo mnapopata kodi za mabank, Mtumishi mfano wa TRA ana offer nini? Embu tazama nafasi yao katika uhalisia utawaheshimu.
Ndo maana nimekuuliza unadhani kufunga duka likiwa na mzigo wenye mkopo ni rahisi? Ukitambua nafasi ya wafanyabiashara kwenye uchumi na mzigo wanaoubeba hutafikiri mambo ya kukomoana utayaona mambo katika uhalisia.Kwa hiyo unagoma kumkomoa nani?
Hii ni kuvunja sheria. Ni hatari. Kufunga huvunji sheria ila unaumia sana.Wafungue maduka lakini hakuna kulipa kodi, TRA wakija kimbiza na fimbo.
Mazungumzo yachukue mkondo wake ,ukigoma unaachwa ugome.njaa itakurudisha sokoniNdo maana nimekuuliza unadhani kufunga duka likiwa na mzigo wenye mkopo ni rahisi? Ukitambua nafasi ya wafanyabiashara kwenye uchumi na mzigo wanaoubeba hutafikiri mambo ya kukomoana utayaona mambo katika uhalisia.
Serikali inavunja sheria mara ngapi?Hii ni kuvunja sheria. Ni hatari. Kufunga huvunji sheria ila unaumia sana.
Ndo maana jamaa akakupiga radi kali nzito utosini.Mazungumzo yachukue mkondo wake ,ukigoma unaachwa ugome.njaa itakurudisha sokoni
Radi gani? Hivi hanapigwa ban Kwa matusi tuu?Ndo maana jamaa akakupiga radi kali nzito utosini.
Kakupiga radi akijua kuna Ban na hajajali sababu matamshi yako yanapandisha hasira kwa mtu anayehisika moja kwa moja na biashara.Radi gani? Hivi hanapigwa ban Kwa matusi tuu?
Sasa weww tangu lini matusi ya mjinga yakabadili maturity ya mtu makini kama Mimi?Kakupiga radi akijua kuna Ban na hajajali sababu matamshi yako yanapandisha hasira kwa mtu anayehisika moja kwa moja na biashara.
Afu badae atakuwa CostChoice atakuwa Fallacy muda si mrefu
Kashushiwa Kitu kizito chenye ncha kali πΌ
Ukitukanwa, umetukanwa boss.Sasa weww tangu lini matusi ya mjinga yakabadili maturity ya mtu makini kama Mimi?
π€£π€£π€£Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara,tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C8tpL3liGNy/?igsh=Mm9icHRtMHZpZjJ1
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806231274631147731?t=xe57O4fA2GeN03a1CLlBWg&s=19
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa,kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Hawa hapa ππ
View: https://twitter.com/ChademaTz/status/1806069527270289757?t=ltZHDbuyhUFKlSM1eRwbuA&s=19
Haaahaaaa...wewe kama ni muajiriwa wa serikali au mpambe wa walioko leo serikalini, sio serikali. Serikali ina maslahi ya watanzania wote.Nani anafanya arrogance? Kwani lazima Serikali ifanye unachotaka wewe? Itakuwa ni Nchi au kioja?
Wewe ni mpuuzi mwingine umeshawahi kuuza hata karanga kweli weweNitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa.
Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu.
Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT na service levy Sasa Leo hii ushindani umeongezeka wanataka kuifanya Serikali kana kwamba imeleta pendekekezo jipya wakati hizo ni Kodi za miaka yote.
Serikali isije ingia kwenye mtego wa kuburuzwa na wafanyabiashara, tujifuka hapo watapanga na kuamua nani awe Kiongozi na kuhatatisha maisha ya watu wa chini.ππ
===
Leo June 27,2024 ikiwa ni siku ya nne ya mgomo wa Wafanyabiashara katika baadhi ya Mikoa Nchini ikiwemo Dar es salaam, AyoTV imepita katika soko la Kariakoo na kukuta baadhi ya maduka yakiwa yamefunguliwa huku wengine wakiendelea kugoma kufungua maduka yao.
Baadhi ya Wafanyabiashara wameendelea kugoma licha ya matamko kadhaa kutoka kwa Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Wafanyabiashara wakiwataka wasitishe mgomo na kufungua maduka yao kwani kero zao sasa zinatatuliwa na Serikali baada ya kukaa nao chini kuwasikiliza.
Ayo TV imeshuhudia idadi ndogo ya Wanunuzi wa bidhaa tofauti na inavyokuwa siku za kawaida zisizo na mgomo huku magari ya matangazo yakipita kuwasihi Wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea na biashara.
====
My Take
Nchi hii ni ya kijamaa, kamwe wafanyabiashara hawatakuja kuiweka Serikali mfukoni.
Naomba Serikali iache kuwachekea hao watu wanakwepa Kodi na wanapanda mbegu mbaya za vurugu wakichochewa na Wakenya.
=====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024