T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hivi umeelewa hoja ya mtoa mada?Kama hufamu kitu unauliza ndugu yangu..
Sheria/miongozo ipo inayotaka ukienda hospt ukahudumiwa na Dkt wa Kiume na wewe ni jinsia ya kike basi inabidi awepo nesi wa kike wakati wote ukiwa chumba cha daktari na huwa hivo hivo hata kwa wagonjwa wa jinsia ya kiume endapo watakutana na Dkt wa Kike. Na hii inatokea ili kuepusha malalamiko hususani ya wagonjwa wa kike kufanyiwa vitendo visivyo vya kiungwana na madaktar wa kiume.
mkuu,Naunga mkono hoja yaaan niende pumbu znauma nmwoneshe mwanamke ww uliskia waaaaaap ..hiii si sawaa kabsaa na ndo mana kuna kesi madokta wa kiume kubaka wagonjwaaa
Wewe ndio umenena mkuuUnapotetea uhai unajali Mambo ya aibu?
Huu NI ujinga kabisa
Mbele ya kifo unasema naona aibu!!!!
Madaktari NI wachache kwanza lazima muelewe
Hapo sio kwamba wameweza kwa sababu ni wanaume ati na wale wameshindwa kwa sababu ni wanawake no no.Mkuu habari ya tiba ni kitu kingine kabisa, wanawake sio wazuri na kujali sana kwenye huduma,
Mwaka 2013 Temeke hospital mke wangu alienda kujifungulia pale akiwa na mimba ya mapacha, mmoja akatoka vizuri tu mwingine akagoma tena kaenda kujificha juu madr wa4 wa kike waliokua wanamhudumia wakawa wanashauri afanyiwe operesheni lkn kabla hawajafikiwa maamuzi wakaenda kuita madr wawili wa kiume walianza kumpushi yule mtoto wanavyojua wao hadi akajifungua kawaida.
Mkuu kama umekereka tusamehe bure.Unapotetea uhai unajali Mambo ya aibu?
Huu NI ujinga kabisa
Mbele ya kifo unasema naona aibu!!!!
Madaktari NI wachache kwanza lazima muelewe
Mkuu ili haya yasiwe madai tuwekee ushahidi hapa wa hayo uliyoyasema ili tupate faida isiwe inaishia kwemye kudai tu mkuuKama hufahamu kitu unauliza ndugu yangu..
Sheria/miongozo ipo inayotaka ukienda hospt ukahudumiwa na Dkt wa Kiume na wewe ni jinsia ya kike basi inabidi awepo nesi wa kike wakati wote ukiwa chumba cha daktari na huwa hivo hivo hata kwa wagonjwa wa jinsia ya kiume endapo watakutana na Dkt wa Kike. Na hii inatokea ili kuepusha malalamiko hususani ya wagonjwa wa kike kufanyiwa vitendo visivyo vya kiungwana na madaktar wa kiume.
Ilikuwaje hapo awali ambapo ma Dr wa kike hawakuwepo, mambo siku hizi wamebadilika, unaweza kukuta mama yako kazaa midume tu na uzee umemfika na siku hizi kupata wahudumu au wasaidizi wa kazi ni kazi .Kinachouma mama mzazi anaenda hospitali anakutana na daktari ambaye ana umri kama wa mimi mwanae alafu madaktari wa kike wapo kabisa.
Kuna mama wa kipemba wakati anajifungua alitaka kuja daktari wa kiume, basi mama mpemba akamuuliza "uko radhi kuchungulia tv ya mamayo wee "?
Daktari akaenda mbio
Kwa nini polisi katika upekuzi kumpekua mtuhumiwa hutumiwa wanawake,mbona hata polisi mwanaume asitumike kumpekua mhalifu wa kike ?Kwanza kabisa nakusihi uache wivu.
Tanzania Kuna madaktari wa kiume wengi kuliko wanawake. Lakini pia Tanzania wanao attend hospital wengi Ni wanawake.
Pia Kuna manesi wengi to wakiume waliosomea kuzalisha pale labour.
Vumilia tu Kaka, kuona si kuchukua Wala kutumia.
Mkuu hata polisi anapotetea usalama akitumia hoja hii kwamba usalama kwanza manake polisi wa kiume ana haki ya kumpekua mpaka mtuhumiwa wa kike kwa maslahi mapana ya taifa pengine kaficha mabomu hata sehemu za siri.Unapotetea uhai unajali Mambo ya aibu?
Manake tuhalalishe polisi mwanaume akitaka kumpapasa mtuhumiwa mwanamke kwa kumkagua,mtuhumiwa akikataa na kusema hiyo ni udhalilishaji huyu polisi anaweza kumuambia "mbele ya usalama unaona aibu ?".Mbele ya kifo unasema naona aibu!!
Kwa hiyo hata wanawake ambao wangesomeshwa udaktari wakaja kupunguza wimbi hili hawakuwepo hao wanawake ?Ilikuwaje hapo awali ambapo ma Dr wa kike hawakuwepo
Umeongea ovyo uonekane unalogic kumbe hewa tu kama hujui miongozo ya udaktari uliza ndo uje jukwaaniWakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.
Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.
Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.
Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.
Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?
Kwa nini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?
Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?
Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.
Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.
Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Kumbuka tuMkuu kama umekereka tusamehe bure.
Ila hapa tunakubali kuwa madaktari ni wachache na ndio maana haya yote yanatokea.
Ndio maana tukatoa suluhisho kuwa wanawake wasomeshwe ili kusudi sasa hao madaktari wawe wengi,usipanick mkuu haya ni mambo ya kawaida
Ulikuwa wap kumuelekeza ndugu yetu mpka anakurupuka ivoooMimi hupenda kuhudumiwa na dr mwanaume hayo ya utu uzima sijali, pia ukiwa na dr wakiume nurse wa kike lazima awepo same applies na kukiwa na Dr wa kike lazima nurse mwanaume awepo, so uoga kwenye kuumwa hauna mashiko
Ina maana una wake wangapi?Hili ni ambalo linafanywa hata na wanaume mm wake zangu wanazalishwa na madaktari wa kike na hiki unachokisema hakija tokea,kukosa umakini hakuzingatii jinsia ya dokta.
Wanawake tunapenda ma Dr na na nurse wa kiume, ukikutana na mwanamke ni roho mbaya tu hawajui kupet petMbona kuna hospitali flani wamama wanaojifungua wanapendelea manesi wanaume kuliko wanawake. Tena asiwe mwanamke aliyefunga uzazi tiyari, "panuaa unajifanya kuumia kama vile sisi hatujazaa bhana".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu,
unaongelea pumb* zipi? kama ni hizi hizi za kwetu omba zisikuume..maana maumivu yake hatari... hutojali jinsi wala umri wa doctor...
Hii unayo ongelea au kutamani ni optionKwa hiyo hata wanawake ambao wangesomeshwa udaktari wakaja kupunguza wimbi hili hawakuwepo hao wanawake ?
Hao madaktari wa kiume kumbuka wamwtengenezwa,basi na hawa wa kike tuwatengeneze pia.