Serikali msitutoe kwenye reli kwa hukumu ya kifungo cha maisha kwa maafande wahuni, bado tunawaza utekaji wa kutumia silaha za kivita mchana

Serikali msitutoe kwenye reli kwa hukumu ya kifungo cha maisha kwa maafande wahuni, bado tunawaza utekaji wa kutumia silaha za kivita mchana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mimi binafsi kila jambo nalipa nafasi yake, sehemu yake na muda wake. Sio mjinga kwamba jambo B linaweza kunisahaulisha jambo A.

Wewe ukinitukana leo halafu kesho unipe elfu 10 ya chai ninaweza kuipokea lakini haitanitoa kwenye case ya matusi uliyonitukana jana.

Serikali bado tunasubiri majibu.

Ally Kibao alitekwa mchana baada ya basi lenye abiria takribani 60 kuzuiwa na watu wenye mitutu ya kivita na magari ya gharama (land cruisers) . Tukio lilitukia mchana.

Je, nchi hii kuna kikosi cha jeshi kilichoasi na kilichokomaa mpaka kuweza kumiliki magari ya kijeshi?

Bunduki wamepora majeshi yetu au wametoka nazo nje ya Tanzania?

Tunataka majibu please.

Muwakamate hao magaidi wapelekwe Mahakamani wahukumiwe kifo na wanyongwe , zoezi la kuwanyonga lirushwe live kwenye television ya Taifa.

Mkishindwa kuwapata magaidi watekaji msilete maigizo ya aina yoyote.
 
Mimi binafsi kila jambo nalipa nafasi yake, sehemu yake na muda wake. Sio mjinga kwamba jambo B linaweza kunisahaulisha jambo A.
Wewe ukinitukana leo halafu kesho unipe elfu 10 ya chai ninaweza kuipokea lakini haitanitoa kwenye case ya matusi uliyonitukana jana.
Serikali bado tunasubiri majibu.
Ally Kibao alitekwa mchana baada ya basi lenye abiria takribani 60 kuzuiwa na watu wenye mitutu ya kivita na magari ya gharama (land cruisers) . Tukio lilitukia mchana.
Je, nchi hii kuna kikosi cha jeshi kilichoasi na kilichokomaa mpaka kuweza kumiliki magari ya kijeshi?
Bunduki wamepora majeshi yetu au wametoka nazo nje ya Tanzania?
Tunataka majibu please.
Muwakamate hao magaidi wapelekwe Mahakamani wahukumiwe kifo na wanyongwe , zoezi la kuwanyonga lirushwe live kwenye television ya Taifa.
Mkishindwa kuwapata magaidi watekaji msilete maigizo ya aina yoyote.
Wanafam msioridhika mnataka mahakama. ifanyaje?
 
Kwanini hii case imeendeshwa kwa muda mfupi hivi na wakati kuna kesi zina miaka zaidi ya 6?
ni kweli hii inaonesha mahakama zetu zina uwezo wa kusikiliza kesi na hukumu fasta tu kumbuka mahakama haindeshi kesi bali inasikiliza na kufanya uamuzi..shida kubwa ipo kwa waendesha mashtaka jamhuri hawa ndio wenye kesi na mashahidi hawa wakiwa shapu kuimaliza kesi mbona mahakama utaipenda hadi raha ila hizo mambo kusota segerea miaka 6 kisa upelelezi haujakamilika ni kukomoana tu na kufanyiana roho mbaya.!
 
Mtu mwenyewe anaesema asitolewe kwenye reli
163ac347-37af-4340-9379-182b1b50defd.jpeg
 
Spana zitaendelea tu hatoki mtu kwenye reli Kwa sababu tunataka kuona utekaji ukikomeshwa na pia uwajibikaji Kwa viongozi walioshindwa waachie nafasi izo waje wengine wenye kulinda raia na Mali zao
 
Back
Top Bottom