Serikali msitutoe kwenye reli kwa hukumu ya kifungo cha maisha kwa maafande wahuni, bado tunawaza utekaji wa kutumia silaha za kivita mchana

Kwa hiyo ulitaka wawafanyeje mkuu?
 
SASA ULITAKA WASIHUKUMIWE TENA USEME MENGINE?
 
Kesi ya COVID 19 VS CHADEMA inahitaji upelelezi gani? mpelekezi ana ahirisha kesi na kupanga tarehe? ni mahakama za hovyo sn zinaendeshwa kwa hisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…