Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Inaendelea kutoka kwenye heading.....
Tofauti na hapo mnakuja kuleta maada. Haiwezekani Hawa vijana wamemaliza chuo fani moja mfano mwalimu wa masomo ya Chemistry na biology ama history na literature amemaliza 2016 lakini hamjamuajiri unakuja kumuajiri mwalimu wa masomo hayo hayo aliyehitimu chuo mwaka 2021 je Kuna usawa hapo?
Hamtaki wekeni utaratibu wa usaili ili wakapambane kwenye jopo kama fani za kada zingine. Lazima Sasa tuelezane ukweli mambo ya kuonea vijana wetu hatuwezi kuyavumilia.
Toa ajira kwa mazingira yaliyo sawa na yenye uwazi acheni kuwapa msongo vijana wetu.
Tofauti na hapo mnakuja kuleta maada. Haiwezekani Hawa vijana wamemaliza chuo fani moja mfano mwalimu wa masomo ya Chemistry na biology ama history na literature amemaliza 2016 lakini hamjamuajiri unakuja kumuajiri mwalimu wa masomo hayo hayo aliyehitimu chuo mwaka 2021 je Kuna usawa hapo?
Hamtaki wekeni utaratibu wa usaili ili wakapambane kwenye jopo kama fani za kada zingine. Lazima Sasa tuelezane ukweli mambo ya kuonea vijana wetu hatuwezi kuyavumilia.
Toa ajira kwa mazingira yaliyo sawa na yenye uwazi acheni kuwapa msongo vijana wetu.