Serikali mwangalieni kwa jicho kubwa meneja TRA wa Masasi

Serikali mwangalieni kwa jicho kubwa meneja TRA wa Masasi

Nimepata bahati ya kuja masasi kula sikukuu ya xmass na nimepata bahati ya kuongea na watu tofauti tofauti hasa wafanyabiashara

Asilimia kubwa ya wafanyabiashara ambao tumekaa na kuongea nao malalamiko yao makubwa ni kutoka kwa Meneja wa TRA Masasi

Huyu jamaa anazorotesha sana biashara kwa kuwafungia watu maduka yao, yani yale mambo ambayo Rais huwa anaagiza kuwa watu wa TRA waongee vizuri na wafanyabiashara ni gumu sana kwa huyu jamaa.

Nilishangaa kusikia mpaka waendesha bajaji na wao wanamchukia sana, anafunga bajaji zao na kuzivuta kwa gari.

Wafanyabiashara wengi wameanza kuondoka Masasi na kwenda mikoa mingine kutokana na usumbufu wa huyu meneja.

Najua Serikali inapita kwenye hili jukwaa basi fanyieni kazi malalamiko ya wafanyabiashara hawa wa Masasi.
serikali gani unayoiambia,hii inchi imejaa vilaza,umeshasikia meneja wa TRA katumbuliwa kwa mambo kama hayo ,hujui kuwa hao unaowasema wanapangiwa kiasi cha kukusanya na hiyo serikali yako,wasipotimiza lengo imekula kwao,NI LAZIMA ATUMIE NGUVU KUKUSANYA MAPATO,NAMPONGEZA SANA ,TENA AZIBURUTE BAJAJI HATA KWA KIFARU ZILIPE KODI

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
CCM ya leo haipendi wafanyabiashara. Nyie wafanyabiashara ni wapiga dili, na mkiendelea kupiga vuvuzela zenu hapa JF, tutawapeleka kwa DPP tukagawane Kati kwa Kati kile chote mlichonacho
lipeni kodi ,ccm imeshinda nchi nzima na nyie mmekubali ushindi wake ,LIPENI KODI

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Nimepata bahati ya kuja masasi kula sikukuu ya xmass na nimepata bahati ya kuongea na watu tofauti tofauti hasa wafanyabiashara

Asilimia kubwa ya wafanyabiashara ambao tumekaa na kuongea nao malalamiko yao makubwa ni kutoka kwa Meneja wa TRA Masasi

Huyu jamaa anazorotesha sana biashara kwa kuwafungia watu maduka yao, yani yale mambo ambayo Rais huwa anaagiza kuwa watu wa TRA waongee vizuri na wafanyabiashara ni gumu sana kwa huyu jamaa.

Nilishangaa kusikia mpaka waendesha bajaji na wao wanamchukia sana, anafunga bajaji zao na kuzivuta kwa gari.

Wafanyabiashara wengi wameanza kuondoka Masasi na kwenda mikoa mingine kutokana na usumbufu wa huyu meneja.

Najua Serikali inapita kwenye hili jukwaa basi fanyieni kazi malalamiko ya wafanyabiashara hawa wa Masasi.
Hiyo asilimia kubwa umeipata kwa kuhoji watu wangapi ?
 
Nani alikwambia watu hawataki kulipa kodi.? Nani kakwambia watu wanakwepa kodi? Serikal lazima i consider ukusanyaji kodi bila kuumiza source ambayo ndio wafanya biashara. Wakifunga biashara hizo kodi zinatoka wapi? Shut your hole dumb niga. Think twice
Kunywa bia kwa bili yangu
 
Back
Top Bottom