Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ushawai ona mambo ya makanisa yanatoa matamko China?Ccm imejaa majizi kwa china hayawezi kusurvive hata wiki moja itanyongwa yoote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawai ona mambo ya makanisa yanatoa matamko China?Ccm imejaa majizi kwa china hayawezi kusurvive hata wiki moja itanyongwa yoote.
We endelea na ufisadi wako Ccm.Ushawai ona mambo ya makanisa yanatoa matamko China?
Wewe ndiyo kaishi China ambako hakuna makanisa..Nenda China uone kama kuna huo upuuzi wa makanisa
Soma mmaandiko uelewee ndipo uje useme kanisa la Mungu nilipiiNi hatari sana..
Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu..
Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?
Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania...!!
Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna nyingine ya ubia wa uboreshaji wa bandari zetu badala ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii..
Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya kumshawishi Rais na Kwa baraka zake kinakwenda kuanzisha vita na kanisa la Mungu..
Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk..
Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu...
Hili suala limewagusa watu kwa maslahi yaoKwa hiyo unataka kusema nini?
Je, una maana kuwa hii ni sababu ya uhalali wa IGA au mkataba huu wa waarabu wa Dubai kupitia kampuni yao ya DP World..??
Yaani ili kudhibiti mifumo ya kutakatisha pesa haramu bandarini, mipakani, vuwanja vya ndege au ukwepaji Kodi unahitaji kuleta mwekezaji toka Ulaya au Uarabuni..?
Unajua unasema nini kweli wewe?
Kama tunahitaji uwekezaji wa wazungu wa Ulaya au waarabu wa Dubai kudhibiti utakatishaji wa pesa na ukwepaji kodi kwenye bandari zetu au viwanja vyetu vya ndege, na mipaka ya nchi yetu nk, basi mahali sahihi pa kuweka mwekezaji wa Ulaya au Dubai ni ikulu yetu, bunge letu na mahakama zetu na idara ya polisi na TISS...!
Ukiona taasisi zinashindwa kutekeleza wajibu wao ili kuleta ustawi wa wananchi wote kiuchumi na kijamii, tambua kuwa serikali iliyopo ime - compromise na uovu na yeye kuwa uovu halisi na hivyo itakuwa imeshindwa na inapaswa kuondolewa Kwa hiari au Kwa nguvu..!
Kama kina nani? Maaskofu wa TEC? How exactly?Hili suala limewagusa watu kwa maslahi yao
Ya akina nani? Ya maaskofu wa TEC? Au ya viongozi wa CCM na serikali yao?Kama mkataba ni mbovu hayo yanajadiliwa sana ila sasa tunajua bandari yanapita madudu mengi sana tena bure bila kulipa kodi
Mimi nilidhani unasema watu wanakwepa kodi kumbe ni exemption by the law? Shida ni nini sasa hapo?Na wengi wwnaingiza kwa jina la Tax exempt
Unauliza swali gani hili wewe?Asante kwa kujibu bila jazba ila nauliza kwa nini wawe wanatoa matamko vipindi kadhaa tu na wanapogusa maslahi?
Hujaeleweka..Tunajua yanayoendelea na yajayo yatakuwa mazuri zaidi
Tatizo hatuambiani ukweli nao waseme tu mmegusa mlo
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana!Maslahi yakiguswa mahali kuna tonge na unawapokonya basi tegemea kelele za aina zote
Goods exempt from tax zilianza miaka yaani kabla hata ya Uhuru
Ila kuna watu wanaitumia vibaya wanaingiza kila kitu kupitia bandari wakisingizia msamaha wa Kodi
Humo humo wanatakatisha na hela haramu
Kila mmoja alipe kodi na tuache wizi na kujiita wapenda nchi na rasilimali zake huku kuna maslahi binafsi
Asubuhi BAKWATA watatoa walaka wa kuunga mkono uwekezaji bandarini.Ni hatari sana..
Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu..
Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?
Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania...!!
Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna nyingine ya ubia wa uboreshaji wa bandari zetu badala ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii..
Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya kumshawishi Rais na Kwa baraka zake kinakwenda kuanzisha vita na kanisa la Mungu..
Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk..
Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu...
Tax exempt inatumika sivyo na linaelewekaKama kina nani? Maaskofu wa TEC? How exactly?
Ya akina nani? Ya maaskofu wa TEC? Au ya viongozi wa CCM na serikali yao?
Usizunguke mbuyu. Fafanua hoja zako ueleweke...!
Mimi nilidhani unasema watu wanakwepa kodi kumbe ni exemption by the law? Shida ni nini sasa hapo?
By the way, hiyo tax exemption wanajipa wao hao ambao wako exmpted au ndiyo sheria iliyopitishwa na bunge?
Unauliza swali gani hili wewe?
Utakwendaje kupigana vita pasipo kuwa na vita?
Hujaeleweka..
Yaani unakunywa sumu ya kufisha halafu unasema yajayo yatakuwa mazuri!!??
na udin anautaka Samia maana hoja zipo wazi kwann hatak kuboresha mkataba ? je hi sio dalili ya rushwa? waarab wapo kimya , yeye badala apiganie maoni ya raia wake anapigania mkataba wa waarabu HUSTUKII TUKinachotafutwa hapa ni vita ya udini baada ya kuonekana ya uzanzibari vs utanganyika umeshindikana,, Mungu bado anaipenda Tanzania tuendelee kuiombea,,
kwamba kwa akili yako unafikir kila mtu humu jf hajafika china mpaka utuambie twende chini, wewe ni mpumbavu maana unaonekana hata huko china hupajui ila unapasikia tu, haya hebu tuambie huko china kunamadhehebu gani na ya dini zipi?Nenda China uone kama kuna huo upuuzi wa makanisa
Kwa Bakwata ipi?Sasa tunasubiria na Bakwata watoe Tamko hawa huku wale kule Tukutane kati kati
Mkataba ulitakiwa kurekebishwa vipengele tu.Asubuhi BAKWATA watatoa walaka wa kuunga mkono uwekezaji bandarini.
Aingie mara ngapi?Ni hatari sana..
Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu.
Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?
Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania.
Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna nyingine ya ubia wa uboreshaji wa bandari zetu badala ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii.
Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya kumshawishi Rais na Kwa baraka zake kinakwenda kuanzisha vita na kanisa la Mungu.
Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk.
Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu.
Unafikiri kila mtu ana imani ya kikatoliki?Ni hatari sana..
Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu.
Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?
Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania.
Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna nyingine ya ubia wa uboreshaji wa bandari zetu badala ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii.
Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya kumshawishi Rais na Kwa baraka zake kinakwenda kuanzisha vita na kanisa la Mungu.
Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk.
Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu.