Serikali na CCM walivyo na sikio la kufa lisilosikia dawa, tayari wanataka kuanzisha vita nyingine kubwa na hatari zaidi na Kanisa la Mungu

Huu mnyukano kati ya watetezi na wanaopinga mkataba wa DPW utaishia na kundi moja kushindwa kwa aibu kubwa. Wataoshindwa adhabu yao itatoka kwa wananchi na itawaumimiza maisha yao yote.
Samia anaweza kusinama kati na kutoa msimamo ambao utazingatia wananchi na matarajio yao. Short of that ...
 
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana!

Wachache wataafikiana na wewe kwasababu wengi wapo kwenye orodha ya malipo.
Wengine wanajitoa ufahamu badala ya kuangalia kwa upana.
Watu wameingiza kila kitu containers za kila aina kwa jina la Misamaha
Mirija inakatwa wametoka mashimoni ooh nchi inauzwa 😄 🤣
Ukisimamishwa mahakamani ulete ushahidi kwa haya unayoyasema utatoa huo ushahidi au una jisemesha humu na wewe uonekane umesema.
Haya maneno huwa mnasema kuwa ooh ukipelekwa mahakamani utasema
Umeyasahau ya ESCROW mlivyopewa mgao bila aibu nyie watu wa mungu

Magu aliwasitiri sana maana angeyasema yote asingekanyaga kanisani basi tu
Mpaka leo tule tu ambulance 100 hakusema nani au taasisi gani au mtu gani alihusika hapo napo niende mahakamani nikajibu?

Alifunika kombe tu ila wamepiga sana nchi kwa mgongo wa misamaha

Hakuna ubishi katika hili ila unafiki wa kujaribu kutafuta njia ya kuingiza vitu bure lazima liishe wote ni nchi yetu na tunataka tufike juu kiuchumi sio kila leo mlo mmoja kwa sababu ya wachache washibe

Naomba nijue ambulances
 
Vita ishaanza.
Mwarabu kanyimwa tonge sasa wapo wanaoona kana kwamba dini imenyimwa tonge
 
Kwa nature ya watu wa serikali hii walivyo wajinga na wapumbavu, ni wazi wanaelekea uelekeo huo..!

Halafu mijitu hii hii (majoka yenye vichwa viwili mbele na nyuma) itatoka huko ikimulikwa na makamera ya TV kujifanya kukemea wengine kwa kauli za udini...

Tuwakemee na wakati huohuo tukiwaombea tukisema;

Eee Mungu Baba muumba wa mbingu na nchi, tunaomba warehemu viongozi wetu hawa uliowapa wewe dhamana ya kuongoza watu wako (Tanzania) watambue makosa yao na kutubu na kisha warudi kwenye mstari wa haki.. AMINA 🙏🙏🙏
 
Unafikiri kila mtu ana imani ya kikatoliki?
Huu upumbavu wakufikiri na kujiaminisha kwamba wana sole rights ndio unawafanya wadhani kwamba wanaweza kuamua kwa niaba ya watanzania wote. Mmechaguliwa na nani kupewa hiyo power of attorney ya kuwasemea watanzania wote.TEC ni chombo cha wakatoliki bakieni hivyo.

Eti kanisa la Mungu wakati hamna hata huo ucha Mungu wa kudhihirisha hilo.Mna wasiwasi kwamba free ride haitakuwepo. Mnajivika uwakilishi wa watanzania wote.Mna haki ya kushauri kama madhehebu mengine yalivyo na haki hiyo.Kushauri nothing more.
 
Mungu hana kanisa. Tengua hio kauli yako ya kipuuzi
Kwa imani yako, Mungu hana kanisa, kwa wengine Mungu ana kanisa. Waislamu behave as if Mungu ni wa kwao pekee. Na wana haki ya kuamini hivyo.

Mimi naamini Mungu isnot universal, kila mtu ana Mungu wake. Ikitokea Mungu wenu wakafanana, then mnakuwa na Imani moja
 
Exactly Mkuu,, mbona hata hili Mkatoliki alisema Kuwa Remote ipo Msoga.
Kwa kweli Inasikitisha sanaa Tz tutajuta kwa makosa makubwa kama haya aisee.....
Mungu atusaidie
 
Mkishamaliza lugha zote, mkojowe, mjambe, mkalale.

Mama ndiyo kwanza kawaamshia lingine Arusha leo, mtakoma ubishi.

Serikali haiendeshwi kwa mihemko.
 
Mkishamaliza lugha zote, mkojowe, mjambe, mkalale.

Mama ndiyo kwanza kawaamshia lingine Arusha leo, mtakoma ubishi.

Serikali haiendeshwi kwa mihemko.
Umenifanya nicheke wewe umeshajamba tayari?
 
Kanisa la Mungu litakuwa hilo bana mbona walihusika kwenye mgao wa Escrow Mungu gani huyo unayemzungumzia?
 
Yaaan Ujinga hauwezi kuisha duniani,
Hivi hiyo mikataba mingine iliyoingia SEREKALI NA TEC wewe unaijua au unaropoka ropoka tu,
Hawa TEC unakumbuka waliganya nn kwenye vita ya RWANDA,
Alafu unaongea pumba zako hapa za habari ya wawakilishi wa mungu,Kwanza nani kakwambia mungu ana wawakilishi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…