Serikali na Wadau wa afya sikieni kilio hiki cha NHIF

Serikali na Wadau wa afya sikieni kilio hiki cha NHIF

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae .

Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another day nkamsalimia nikamuuliza mbona Unahuzuni na masikitiko makubwa ? Alinijibu yafuatayo :-

1.Pesa za Watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa huduma ambazo hazipo kwenye makubaliano kama Watu wanachukua Maji ya kunywa,Mafuta ,Vipodozi na vingine vingi kupitia bima kunyume na Taaribu .

2.Pesa za watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa Wateja feki

3.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinakwendakulipa vipimo na upasuaji ambao haujafanyi mfano mtu Anapusuaji Jipu anaandika katoa Uvimbe mkubwa .

4.Pesa za watu wangu zinachuliwa kwenda kulipa Dawa za Bei kubwa huku dawa iliyotolewa ni ya Bei Ndogo sana .

5.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinapelekwa kulipa malipo ya matibabu kwa watu ambao sio Hata wanachama .

6.Kibaya zaidi Serikali na Bodi ya Wakurugenzi NHIF wamefanya pesa hizi kama mali yao wanatumia kwa starehe zao na matumizi yao binafsi .

Alilia sana akasema sio muda nitaishiwa pesa ,watu hawatanielewa watakosa huduma Bora watapata BORA HUDUMA na hawatanipenda tena .Nikamuacha nikamuahidi ntafikisha kilio Chake .

Hivyo Serikali na Watoa huduma za Afya sikieni kilio cha NHIF .​
 
Nchi ni ya walamba asali hii..watakao umia ni wananchi wa kawaida..walamba asali wao wapo kwenye ma v8 wakipiga deals za kifisadi.

Huku wakisindikizwa na nyimbo za kusifu na kuabudu kutoka kwa chawa wao wenye njaa kali na uchu wa teuzi wakiwa na matumaini tele nao one day watailamba asali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae .

Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another day nkamsalimia nikamuuliza mbona Unahuzuni na masikitiko makubwa ? Alinijibu yafuatayo :-

1.Pesa za Watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa huduma ambazo hazipo kwenye makubaliano kama Watu wanachukua Maji ya kunywa,Mafuta ,Vipodozi na vingine vingi kupitia bima kunyume na Taaribu .

2.Pesa za watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa Wateja feki

3.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinakwendakulipa vipimo na upasuaji ambao haujafanyi mfano mtu Anapusuaji Jipu anaandika katoa Uvimbe mkubwa .

4.Pesa za watu wangu zinachuliwa kwenda kulipa Dawa za Bei kubwa huku dawa iliyotolewa ni ya Bei Ndogo sana .


5.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinapelekwa kulipa malipo ya matibabu kwa watu ambao sio Hata wanachama .

6.Kibaya zaidi Serikali na Bodi ya Wakurugenzi NHIF wamefanya pesa hizi kama mali yao wanatumia kwa starehe zao na matumizi yao binafsi .

Alilia sana akasema sio muda nitaishiwa pesa ,watu hawatanielewa watakosa huduma Bora watapata BORA HUDUMA na hawatanipenda tena .Nikamuacha nikamuahidi ntafikisha kilio Chake .

Hivyo Serikali na Watoa huduma za Afya sikieni kilio cha NHIF .​
Nadhani kuna Haja ya kuwa na Chombo/Bodi huru ya kusimamia hii mifuko ya kijamii .
 
Hili taifa malalamiko yamezidi kwanini msichukue hatua, hao wahuni wako mnawaona kwanini msiamue liwalo na liwe tu. Nchi hii bila kukinukisha hakutakaa kuwe na nafuu ya maisha hata siku 1 yani. Lazima tusimame kama taifa kupinga ushenzi tunaofanyiwa na viongozi walafi wasio na huruma na mtanzania maskini. ~~Alisikika mlevi mmoja toka jamhuri ya twitter 😀😀😀
 
Hili taifa malalamiko yamezidi kwanini msichukue hatua, hao wahuni wako mnawaona kwanini msiamue liwalo na liwe tu. Nchi hii bila kukinukisha hakutakaa kuwe na nafuu ya maisha hata siku 1 yani. Lazima tusimame kama taifa kupinga ushenzi tunaofanyiwa na viongozi walafi wasio na huruma na mtanzania maskini. ~~Alisikika mlevi mmoja toka jamhuri ya twitter 😀😀😀
Hatua ni kama hii mijadala guru ya jf.

Tz huwezi andamana ukijaribu umekwisha, tukiongea humu wa
 
Hili taifa malalamiko yamezidi kwanini msichukue hatua, hao wahuni wako mnawaona kwanini msiamue liwalo na liwe tu. Nchi hii bila kukinukisha hakutakaa kuwe na nafuu ya maisha hata siku 1 yani. Lazima tusimame kama taifa kupinga ushenzi tunaofanyiwa na viongozi walafi wasio na huruma na mtanzania maskini. ~~Alisikika mlevi mmoja toka jamhuri ya twitter 😀😀😀
Watu wako Bize kuchati Whatsapp
 
Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae .

Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another day nkamsalimia nikamuuliza mbona Unahuzuni na masikitiko makubwa ? Alinijibu yafuatayo :-

1.Pesa za Watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa huduma ambazo hazipo kwenye makubaliano kama Watu wanachukua Maji ya kunywa,Mafuta ,Vipodozi na vingine vingi kupitia bima kunyume na Taaribu .

2.Pesa za watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa Wateja feki

3.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinakwendakulipa vipimo na upasuaji ambao haujafanyi mfano mtu Anapusuaji Jipu anaandika katoa Uvimbe mkubwa .

4.Pesa za watu wangu zinachuliwa kwenda kulipa Dawa za Bei kubwa huku dawa iliyotolewa ni ya Bei Ndogo sana .


5.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinapelekwa kulipa malipo ya matibabu kwa watu ambao sio Hata wanachama .

6.Kibaya zaidi Serikali na Bodi ya Wakurugenzi NHIF wamefanya pesa hizi kama mali yao wanatumia kwa starehe zao na matumizi yao binafsi .

Alilia sana akasema sio muda nitaishiwa pesa ,watu hawatanielewa watakosa huduma Bora watapata BORA HUDUMA na hawatanipenda tena .Nikamuacha nikamuahidi ntafikisha kilio Chake .

Hivyo Serikali na Watoa huduma za Afya sikieni kilio cha NHIF .​
Labda ndiyo sababu huduma zinapunguzwa sana hasa kwa wanaojilipiya. Vifurushi vya najali, wekeza na timiza vimepunguziwa mambo mengi
 
Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae .

Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another day nkamsalimia nikamuuliza mbona Unahuzuni na masikitiko makubwa ? Alinijibu yafuatayo :-

1.Pesa za Watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa huduma ambazo hazipo kwenye makubaliano kama Watu wanachukua Maji ya kunywa,Mafuta ,Vipodozi na vingine vingi kupitia bima kunyume na Taaribu .

2.Pesa za watu wangu zinachukuliwa na kwenda kulipa Wateja feki

3.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinakwendakulipa vipimo na upasuaji ambao haujafanyi mfano mtu Anapusuaji Jipu anaandika katoa Uvimbe mkubwa .

4.Pesa za watu wangu zinachuliwa kwenda kulipa Dawa za Bei kubwa huku dawa iliyotolewa ni ya Bei Ndogo sana .


5.Pesa za watu wangu zinachukuliwa zinapelekwa kulipa malipo ya matibabu kwa watu ambao sio Hata wanachama .

6.Kibaya zaidi Serikali na Bodi ya Wakurugenzi NHIF wamefanya pesa hizi kama mali yao wanatumia kwa starehe zao na matumizi yao binafsi .

Alilia sana akasema sio muda nitaishiwa pesa ,watu hawatanielewa watakosa huduma Bora watapata BORA HUDUMA na hawatanipenda tena .Nikamuacha nikamuahidi ntafikisha kilio Chake .

Hivyo Serikali na Watoa huduma za Afya sikieni kilio cha NHIF .​

Nadhani huyu mdau inabidi ajiangalie mwenyewe kwanza:

1: Utaratibu wa kupata na kutumia kwa kiasi gani uko ndani ya mifumo yake.

2: Yeye ndiye anaehakiki kila anachokitoa kwa mtoa huduma, hivyo kama hana uhakika na anacholipa basi ajitafakari kwa nini analipa watu ili kuhakiki anacholipa huko.

3: Ukipewa advance, ukaona una hela nyingi na kuongeza matumizi ya ndani ya himaya yako kabla ya yule alitekupa advace, ujue kuna siku utakwama tu.

4: Ukipewa advance nawe ukaona una hela nyingi, ukamkopesha jirani ambaye huna uhakika wa kurudisha kwake ujue unatwanga maji kwenye kinu kuna siku utatafuta mchawi tu.

5: Ukianzisha miradi bila upembuzi yakinifu, kwa kufuata sauti za jirani, ujue kuna siku utatafuta mchawi tu, mahitaji yanatofautiana siyo kila ukiambiwa unawekeza hata kwa wenye mahitaji makubwa ili umridhishe jirani tu.

Simamia mifumo yako vizuri kabla ya kutoka nje, kwani haya yote ya watoa huduma yanaanzia kwako mwenyewe kushindwa kuwasimamia ndo shimo lake. Wasimamie vyema kwa mjibu wa sheria na taratibu, hatakuja mwingine kusimamia kazi zako.
 
Labda ndiyo sababu huduma zinapunguzwa sana hasa kwa wanaojilipiya. Vifurushi vya najali, wekeza na timiza vimepunguziwa mambo mengi
Vifurushi vimesaidia sana hasa katika Suala la Dawa ila kwingine ni pasua kichwa .
 
Hii nchi ina watu sugu sana.Hawa wafanyakazi wa NHIF wao tu wanaingoza kwa kupanga wizi wa pesa hizi.Wameshaiba vya kutosha wanajidai sasa eti mfuko utafilisika.

Hivi hakuna ukaguzi wa kiintelijensia ukawabaini hawa watu wa NHIF na washirika wao katika dili za kuhujumu mfuko?
 
Hii nchi ina watu sugu sana.Hawa wafanyakazi wa NHIF wao tu wanaingoza kwa kupanga wizi wa pesa hizi.Wameshaiba vya kutosha wanajidai sasa eti mfuko utafilisika.

Hivi hakuna ukaguzi wa kiintelijensia ukawabaini hawa watu wa NHIF na washirika wao katika dili za kuhujumu mfuko?
Au tulete sheria za kupigana risasi ukiiba ?
 
Nchi ni ya walamba asali hii..watakao umia ni wananchi wa kawaida..walamba asali wao wapo kwenye ma v8 wakipiga deals za kifisadi.

Huku wakisindikizwa na nyimbo za kusifu na kuabudu kutoka kwa chawa wao wenye njaa kali na uchu wa teuzi wakiwa na matumaini tele nao one day watailamba asali.

#MaendeleoHayanaChama
Kila mtu anapiga kwa urefu wake
 
Hii nchi ina watu sugu sana.Hawa wafanyakazi wa NHIF wao tu wanaingoza kwa kupanga wizi wa pesa hizi.Wameshaiba vya kutosha wanajidai sasa eti mfuko utafilisika.

Hivi hakuna ukaguzi wa kiintelijensia ukawabaini hawa watu wa NHIF na washirika wao katika dili za kuhujumu mfuko?
Hakika
 
Nadhani huyu mdau inabidi ajiangalie mwenyewe kwanza:

1: Utaratibu wa kupata na kutumia kwa kiasi gani uko ndani ya mifumo yake.

2: Yeye ndiye anaehakiki kila anachokitoa kwa mtoa huduma, hivyo kama hana uhakika na anacholipa basi ajitafakari kwa nini analipa watu ili kuhakiki anacholipa huko.

3: Ukipewa advance, ukaona una hela nyingi na kuongeza matumizi ya ndani ya himaya yako kabla ya yule alitekupa advace, ujue kuna siku utakwama tu.

4: Ukipewa advance nawe ukaona una hela nyingi, ukamkopesha jirani ambaye huna uhakika wa kurudisha kwake ujue unatwanga maji kwenye kinu kuna siku utatafuta mchawi tu.

5: Ukianzisha miradi bila upembuzi yakinifu, kwa kufuata sauti za jirani, ujue kuna siku utatafuta mchawi tu, mahitaji yanatofautiana siyo kila ukiambiwa unawekeza hata kwa wenye mahitaji makubwa ili umridhishe jirani tu.

Simamia mifumo yako vizuri kabla ya kutoka nje, kwani haya yote ya watoa huduma yanaanzia kwako mwenyewe kushindwa kuwasimamia ndo shimo lake. Wasimamie vyema kwa mjibu wa sheria na taratibu, hatakuja mwingine kusimamia kazi zako.
Kweli tupu
 
NHIF inathulumiwa sana, hapa ninapoishi kuna jamaa alikuwa na dispensary ila Sasa hivi kaibadilisha kuwa polyclinic anaibia mfuko balaa, hakuna huduma yyte ya kibingwa inayotolewa hapo Zaid ya ma specialist kuja na ku sign form tu inasikitisha kwakweli.
 
Back
Top Bottom