Serikali na Wadau wa afya sikieni kilio hiki cha NHIF

Serikali na Wadau wa afya sikieni kilio hiki cha NHIF

NHIF inathulumiwa sana, hapa ninapoishi kuna jamaa alikuwa na dispensary ila Sasa hivi kaibadilisha kuwa polyclinic anaibia mfuko balaa, hakuna huduma yyte ya kibingwa inayotolewa hapo Zaid ya ma specialist kuja na ku sign form tu inasikitisha kwakweli.
Wakikusikia wamiliki wa hizo polyclinic watakuchukia sana hahahaa
 
NHIF inathulumiwa sana, hapa ninapoishi kuna jamaa alikuwa na dispensary ila Sasa hivi kaibadilisha kuwa polyclinic anaibia mfuko balaa, hakuna huduma yyte ya kibingwa inayotolewa hapo Zaid ya ma specialist kuja na ku sign form tu inasikitisha kwakweli.
Hapa ndo tunaanzia, waliwezaje kukubali kuisajili kama Polyclinic.
Maana kabla ya kupitisha lazima wakague na kuona uwepo wa vitengo, mikataba ya wafanyakazi na wanaendelea ku-monitor utendaji wa kituo/day to day activities. Kama unabaki kulala ofisini ndo hapa tunarudia kijulacho ki nguoni mwako.

Kwenye fomu kuna namba ya simu ya mgonjwa na ya daktari wa mgonjwa. Mgonjwa anatakiwa kuondoka na signed copy na kituo kibaki na signed copy.
Kuna mfumo unaweza kuona daktari yuleyule ameona wagonjwa at the same time and same date hospitali C, Y and Z. Huyo unamchukua ili kuwakirisha wenzie. Unashindwa ku-check hivi vitu??

Pia hand-writing haziwezi kuwa sawa. Ukipata fomu za aina hiyo nyingi si unajiongea?? Kisheria, hakuna entry inatakiwa kufanywa na mtu tofauti zaidi ya mhusika wa fomu/daktari.
 
Hapa ndo tunaanzia, waliwezaje kukubali kuisajili kama Polyclinic.
Maana kabla ya kupitisha lazima wakague na kuona uwepo wa vitengo, mikataba ya wafanyakazi na wanaendelea ku-monitor utendaji wa kituo/day to day activities. Kama unabaki kulala ofisini ndo hapa tunarudia kijulacho ki nguoni mwako.

Kwenye fomu kuna namba ya simu ya mgonjwa na ya daktari wa mgonjwa.
Kuna mfumo unaweza kuona daktari yuleyule ameona wagonjwa at the same time and same date hospitali C, Y and Z. Huyo unamchukua ili kuwakirisha wenzie. Unashindwa ku-check hivi vitu??

Pia hand-writing haziwezi kuwa sawa. Ukipata fomu za aina hiyo nyingi si unajiongea?? Kisheria, hakuna entry inatakiwa kufanywa na mtu tofauti zaidi ya mhusika wa fomu/daktari.
Nadhani Ummy yuko sahihi kuna Haja ya kijiridhisha Upya
 
Hapa ndo tunaanzia, waliwezaje kukubali kuisajili kama Polyclinic.
Maana kabla ya kupitisha lazima wakague na kuona uwepo wa vitengo, mikataba ya wafanyakazi na wanaendelea ku-monitor utendaji wa kituo/day to day activities. Kama unabaki kulala ofisini ndo hapa tunarudia kijulacho ki nguoni mwako.

Kwenye fomu kuna namba ya simu ya mgonjwa na ya daktari wa mgonjwa.
Kuna mfumo unaweza kuona daktari yuleyule ameona wagonjwa at the same time and same date hospitali C, Y and Z. Huyo unamchukua ili kuwakirisha wenzie. Unashindwa ku-check hivi vitu??

Pia hand-writing haziwezi kuwa sawa. Ukipata fomu za aina hiyo nyingi si unajiongea?? Kisheria, hakuna entry inatakiwa kufanywa na mtu tofauti zaidi ya mhusika wa fomu/daktari.
Bongo kuongeza chumvi kwingi. Kwanza polyclinic nyingi zipo mjini sehemu ambazoo uelewa ni mkubwa na specialist wanajulikana sana. Yaani mgonjwa aje kutibiwa kwa gyno specialist x halafu amkute MD na akubali tu kirahisi tu kupata huduma. Halafu kwenye Polyclinic si specialist tu wapo kuna MD pia. Kwa sehemu kubwa makubaliano huwa ni kuwa kwa kila specialist anapewa sehemu ya fedha kwa kila mgonjwa anayemuona. Sasa itakuwaje umlipe MD halafu kwa mgonjwa huyohuyo umlipe specialist anayekuja ku-sign fomu! Kwa sababu consultation inayolipwa na NHIF ni Tshs.15,000 kwa mgonjwa.
 
Mostly, kikulacho. Kama wakitekeleza ipasavyo, mambo yatakuwa tofauti.
Utapata wapi ushujaa wa kuandika mwanaume kujifungua?? Au FBP x20??
Nadhani Ummy yuko sahihi kuna Haja ya kijiridhisha.
 
Bongo kuongeza chumvi kwingi. Kwanza polyclinic nyingi zipo mjini sehemu ambazoo uelewa ni mkubwa na specialist wanajulikana sana. Yaani mgonjwa aje kutibiwa kwa gyno specialist x halafu amkute MD na akubali tu kirahisi tu kupata huduma. Halafu kwenye Polyclinic si specialist tu wapo kuna MD pia. Kwa sehemu kubwa makubaliano huwa ni kuwa kwa kila specialist anapewa sehemu ya fedha kwa kila mgonjwa anayemuona. Sasa itakuwaje umlipe MD halafu kwa mgonjwa huyohuyo umlipe specialist anayekuja ku-sign fomu! Kwa sababu consultation inayolipwa na NHIF ni Tshs.15,000 kwa mgonjwa.
Kama yapo, ni uzembe.
Vidole vyote vitarudi kwao, watimize wajibu ipasavyo kwa taasisi. Na kwa kuwa wanalalamika ndo uzito unaanzia hapo.

Kwani anti-fraud kama kitengo kazi yao kwa mfuko??
 
NHIF inathulumiwa sana, hapa ninapoishi kuna jamaa alikuwa na dispensary ila Sasa hivi kaibadilisha kuwa polyclinic anaibia mfuko balaa, hakuna huduma yyte ya kibingwa inayotolewa hapo Zaid ya ma specialist kuja na ku sign form tu inasikitisha kwakweli.
... NHIF itoe huduma zake kupitia hospitali za serikali peke yake! Huko private ni vijiwe vya kuibia mfuko and for sure hauna maisha marefu; wataufilisi soon.
 
... NHIF itoe huduma zake kupitia hospitali za serikali peke yake! Huko private ni vijiwe vya kuibia mfuko and for sure hauna maisha marefu; wataufilisi soon.
Yaani kwa sasa tu wanachama wa NHIF wengi wanakimbilia hospitali binafsi, halafu ufute bima hospitali binafsi uende kuweka msongamano hospitali za Serikali. Huu ushauri wako utaturudisha 90kweusi
 
Yaani kwa sasa tu wanachama wa NHIF wengi wanakimbilia hospitali binafsi, halafu ufute bima hospitali binafsi uende kuweka msongamano hospitali za Serikali. Huu ushauri wako utaturudisha 90kweusi
Hawa watu wanaweza, 2C imeondoka kwa kushindwa kudhibiti wizi.

Kwa uelewa wangu, vituo vya serikali vinaongoza kwa kutokuwa na dawa au vitendea kazi. Lakini, mtu anasema tutaenda kuongeza upatikanaji wa dawa, huku 2C ametoa. Kama vile dunia itasimama.

Badala ya kuongeza upatikanaji wa dawa ili hata huko kujaza 2C kusiwe na haja au nafasi huku uki-deal na wakaidi ndo uiondoe baadaye.

Kuna watu wataumia, Tanzania si Dar-es-salaam tu. Ukizingatia procurement and distribution process yetu.
 
Bongo kuongeza chumvi kwingi. Kwanza polyclinic nyingi zipo mjini sehemu ambazoo uelewa ni mkubwa na specialist wanajulikana sana. Yaani mgonjwa aje kutibiwa kwa gyno specialist x halafu amkute MD na akubali tu kirahisi tu kupata huduma. Halafu kwenye Polyclinic si specialist tu wapo kuna MD pia. Kwa sehemu kubwa makubaliano huwa ni kuwa kwa kila specialist anapewa sehemu ya fedha kwa kila mgonjwa anayemuona. Sasa itakuwaje umlipe MD halafu kwa mgonjwa huyohuyo umlipe specialist anayekuja ku-sign fomu! Kwa sababu consultation inayolipwa na NHIF ni Tshs.15,000 kwa mgonjwa.
Kwa Bongo kila kitu kinawezekana
 
Hawa watu wanaweza, 2C imeondoka kwa kushindwa kudhibiti wizi.

Kwa uelewa wangu, vituo vya serikali vinaongoza kwa kutokuwa na daw au vitendea kazi. Lakini, mty anasema tutaenda kuongeza upatikanaji wa dawa, huku 2C ametoa. Kama vile dunia itasimama.

Badala ya kuongeza upatikanaji wa dawa ili hata huko kujaza 2C kusiwe na haja au nafasi huku uki-deal na wakaidi ndo uiondoe.

Kuna watu wataumia, Tanzanu si Dar-es-salaam tu.
Trust the process 😂😂😂
 
... NHIF itoe huduma zake kupitia hospitali za serikali peke yake! Huko private ni vijiwe vya kuibia mfuko and for sure hauna maisha marefu; wataufilisi soon.
Huu ushauri ka Nguvu za Giza
 
Bongo kuongeza chumvi kwingi. Kwanza polyclinic nyingi zipo mjini sehemu ambazoo uelewa ni mkubwa na specialist wanajulikana sana. Yaani mgonjwa aje kutibiwa kwa gyno specialist x halafu amkute MD na akubali tu kirahisi tu kupata huduma. Halafu kwenye Polyclinic si specialist tu wapo kuna MD pia. Kwa sehemu kubwa makubaliano huwa ni kuwa kwa kila specialist anapewa sehemu ya fedha kwa kila mgonjwa anayemuona. Sasa itakuwaje umlipe MD halafu kwa mgonjwa huyohuyo umlipe specialist anayekuja ku-sign fomu! Kwa sababu consultation inayolipwa na NHIF ni Tshs.15,000 kwa mgonjwa.
Mkuu, wewe ni daktar
Umeongea vizuri
Watanzania ujuaji ni mwingi, tunajikuta wataalam Kwenye Kila sekta.
Consultation fee ya G. P ni 7000/=
Consultation fee ya specialized M. O ni 15000/=
Hawafanyi double consultation for the same pt at the same day, kwenye hizi polyclinic.
NHIF ndio wanaongoza kureject claims za Malipo zinazowasilishwa kwao, yaani huwezi kwenda kudai million 10 halafu ulipwe zote, ni lazima wazipunguze
Mimi nadhani NHIF ndio wezi kuliko hao watoa hudumq
 
Namna pekee ya kuunusuru huu mfuko usife, nikuongeza wanachama wapya ambao hawaumwi. Mfuko upambane kusajili watoto karibu wote kwenye shule za msingi na sekondari wawe na NHIF, vyuo vikuu vyote na vyuo vya Kati NHIF iwe lazima. Lakini pia mfuko uongeze siku za kuwa mwanachama Kwa watu wazima kutoka siku 30 hadi 120 (Wekeza,Najali, na Timiza Afya) hii itasaidia kuwepo Kwa uelewa wa pamoja kujiunga na NHIF bila kusubiri uumwe.

Pamoja na mambo yote niliyoshauri hapo juu, mfuko usiruhusu usajili mpya kwenye polyclinic zilizo karibu karibu Kwa sababu unachochea fraud kutokana na kwamba, wagonjwa wanakuwa wachache kwenye vituo vyao na kuwalazimu kupika madai ili waweze kumuda kuendesha. Lakini vituo vikiwa mbalimbali, Dr akawa anapata wagonjwa Kwa wastani wa 20 Kwa wakatimoja anakuwa busy na kupunguza ujanjaujanja wa + or - ambazo pengine wanafanya Kwa lengo la adjustment ili makato yakifanyika wasiweze kuingia hasara kubwa Kwa sababu NHIF na wenyewe wanawakata Sana na wakati mwingine sababu za msingi wanakuwa hawana. Naomba niishie hapo Kwa sasa niweze kuendelea na majukumu mengine asante.
 
NHIF inathulumiwa sana, hapa ninapoishi kuna jamaa alikuwa na dispensary ila Sasa hivi kaibadilisha kuwa polyclinic anaibia mfuko balaa, hakuna huduma yyte ya kibingwa inayotolewa hapo Zaid ya ma specialist kuja na ku sign form tu inasikitisha kwakweli.
Kwa uzalendo uliotukika ni vyema tukazitaja kwa majina hizi polyclinic
 
Back
Top Bottom