Serikali na Waziri Nape tupeni ufafanuzi kuhusu kuchangia Anwani za Makazi

Serikali na Waziri Nape tupeni ufafanuzi kuhusu kuchangia Anwani za Makazi

Acholile

Member
Joined
May 30, 2022
Posts
90
Reaction score
59
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Swali kwa faida ya watanzania ๐Ÿ™

Mh Nape Moses Nnauye/ Serikali kuna jambo linanitatiza hapa nadhani utanisaidia .

Kuna hili zoezi la kuweka anuani za makazi Sasa na Wananchi wanachangishwa kwa viwango tofauti ili tuweze kupata anuani za makazi. Tena tumeambiwa zinakusanywa na wajumbe wa nyumba 10.
Mfano: Ukonga Dar Es Salaam
โ€ขMtaa wa M /Madafu 10,000
โ€ข Mtaa wa Mazizini sh. 6000
โ€ขMtaa wa Kipunguni sh. 8000

1) Je, hiyo pesa tunayo ambiwa wananchi tutoe imeratibiwa na Wizara ya ardhi , Wizara ya Habari au na nani ? Au kuna maelekezo gani yoyote ya Serikali yamenipita?

2) Na kwanini iko katika viwango tofauti tofauti ?

3) Kama sijasahau wakati akizunguka kwa helicopter Mh Nape alisemq Zoezi hili ni bure Serikali imekopa kwa jambo hili; alitulaghai wananchi ?

4) Hii michango ya anuwani za makazi ni kwa nchi nzima ?

5) Kwanini isikusanywe kwa kihalali kama malipo mengine ya Serikali kama ni muongozo wake ?

Tunaomba ufafanuzi tu Viongozi na Serikali ya samia Suluhu Hassan.

KAZI IENDELEE
(Tusaidieni sisi Ukonga Mbunge wetu alifariki kwa corona)!
 
Omba upewe Control no ukalipie mkuu mana pesa ya Serikali inalipwa kwa mfumo wa GePG. TARURA ile 500 tu ya parking unapewa control no Na hii pesa ya vibao unatakiwa upate control no
 
Usha haribu, hapo penye "KAZIIENDELE, nami nasema, Nappe, kaza buti, hasa kwa watu kama huyu mleta mada hapa.
Hawa ndio wanaotakiwa kutoa michango kwa kila jambo utakaloamua kulifanya.
Hovyo Kabisa!
 
Sasa walivyowalipa ghali wale waliokua wanazunguka si wangepunguza bajeti ili walipie kabisa hivyo vibao?
 
Wambie wakupe control no kama utawaona Tena. Mimi walikuja nikamwambia nahitaji control no hawaharud tena. Yaani ccm wote ni wezi yaani wote ni wezi.
 
Omba upewe Control no ukalipie mkuu mana pesa ya Serikali inalipwa kwa mfumo wa GePG. TARURA ile 500 tu ya parking unapewa control no Na hii pesa ya vibao unatakiwa upate control no
Mjumbe ana kidaftari unatoa anaandika jina
 
Usha haribu, hapo penye "KAZIIENDELE, nami nasema, Nappe, kaza buti, hasa kwa watu kama huyu mleta mada hapa.
Hawa ndio wanaotakiwa kutoa michango kwa kila jambo utakaloamua kulifanya.

Hovyo Kabisa!
Mkuu usipowasifu hawajibu wala kuyafanyia kazi malalamiko !
 
Back
Top Bottom