Atoe msimamo kwa familia yake na imani yake lakini sio kudictate maisha ya watu ambayo hayamuhusu wala hawalishi na hajui wana misimamo gani na wana imani gani ni haki ya mtu kuishi kwa amani na haki zake zikopale pale awe shoga au la kwa hiyo tusileteane uhanithiDr. Mpango kama kiongozi wa nchi anapaswa kutoa tamko ambalo litataeleza msimamo wa nchi na siyo kuishia kutoa ushauri
Tangu lini ukakopa bila masharti mnajidanganya tu ili msiaibike tuanze kuishi kwa kuheshimiana kwani tutaendelea kwani ubaguzi ni kitu kibaya sana na hurudisha nyuma jamiiHiyo misaada munayoomba ulaya isije na masharti ya kukubali mila na sheria za wazungu, Kama vipi muikatae
Sad indeed!!!Yaan unakunjwa mbuzi kagoma na mwanaume mwenzio? Aisee,mna moyo kweli! Yaan unamwagiwa manii huku unaona hivihivi😳 aiseee....am speechless 😶
😥Very badSad indeed!!!
Haba na haba hujaza kibaba.TUNAANGALIA WAPI KUNA TATIZO KUBWA
Mwendawazimu nice mama yakoAcha ujinga, we mwendawazimu
Kwa hiyo wewe unataka kuolewa na mwanaume mwenzako?!Na una uhakika gani kwamba kila mtu anataka huo mfumo unaotaka wewe wa baba mama na watoto?
Aiseee [emoji15][emoji15]Atoe msimamo kwa familia yake na imani yake lakini sio kudictate maisha ya watu ambayo hayamuhusu wala hawalishi na hajui wana misimamo gani na wana imani gani ni haki ya mtu kuishi kwa amani na haki zake zikopale pale awe shoga au la kwa hiyo tusileteane uhanithi
Hujajibu swali, una uhakika gani kila mtu anataka huo mfumo unaoutaka wewe wa baba mama na watoto?Kwa hiyo wewe unataka kuolewa na mwanaume mwenzako?!
Wewe Vp unataka kuolewa?! Mbona kama unatetea ushoga mjomba?!Hujajibu swali, una uhakika gani kila mtu anataka huo mfumo unaoutaka wewe wa baba mama na watoto?
Sasa mimi ndio nimegeuka mada?Wewe Vp unataka kuolewa?! Mbona kama unatetea ushoga mjomba?!
Wemwenyewe mama tu , unabweka nini kama jibwa kokoMwendawazimu nice mama yako
Kasoro kuku pekee huyo ni ana excuse maana tundu moja hilo hiloMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Mshenzi wewe mbwa koko ni mama yako huna adabu mlete mama yako nimfire alafu uniheshimu kama baba yako malaya mkumbwa wewe mbona unafirwa kila siku alafu unaficha na una ukimwi huambii unaolala nao unaambukiza watu makusudi muuaji mkuu weweWemwenyewe mama tu , unabweka nini kama jibwa koko
Hivi una bando ya kutosha kusagana na mimi malaya mkumbwa weweWemwenyewe mama tu , unabweka nini kama jibwa koko
Human have 2 one for recreational and one for procreation go figureKasoro kuku pekee huyo ni ana excuse maana tundu moja hilo hilo
Mapenzi
Haja kubwa
Haha ndogo
Uzazi
Romance
Hewa chafu
Boya mmoja , kaa kwa kutuliaHivi una bando ya kutosha kusagana na mimi malaya mkumbwa wewe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Shoga katika ubora wako!!Katika tafiti za kisayani jamii nyingi za wanyama ushoga umeonekana. Yeye aseme anapinga ushoga tu ila asitafute sababu zisizo na mashiko