BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Wenzako ndio wanafurahi.Yaan sana..WANAUME NI VIUMBE WA AJABU SANA YAAN MWANAUME MZIMA UNAMUINAMISHA MWANAUME MWENZIO NA UNAONA SAWA KABISA[emoji3064]Aisee inatisha
Anayeumia ni wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako ndio wanafurahi.Yaan sana..WANAUME NI VIUMBE WA AJABU SANA YAAN MWANAUME MZIMA UNAMUINAMISHA MWANAUME MWENZIO NA UNAONA SAWA KABISA[emoji3064]Aisee inatisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume kila napowatafakari siwapatii majibu inakuaje MWANAUME mzima unamuinamisha MWANAUME mwenzio??????
WANAUME MNA MLAANA ZA AINA YENU
WELL SAID.Kama magharibi kubaya na watu wake wapenda haki za kila kiumbe mbona kila kukicha mnakimbilia huko??hata dawa za ukimwi mnaomba huko hakuna kitu mnachoweza kufanya ili muendelee mnachojua ni chuki tu zisizo na maana kama mtu ni shoga inawahusu nini
Jukumu lako ni kuelewa kuwa Hamruhusiwi na ni marufuku kabisa.
Muache mwenzako, acha kumsakama.Wewe ni shoga siyo mbona povu jingi pumbavu.
Eeeeeeh ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo misaada munayoomba ulaya isije na masharti ya kukubali mila na sheria za wazungu, Kama vipi muikatae
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Mkuu lile tamko la Papa wa RC ilikuwa niniDini ya Roma Catholic, RC nailaumu sana sana, imekaa kimya, haikemei kwa ukali hata kidogo, nikitegemea RC wawe wakali sana makanisani na kupinga ushoga kwa nguvu zote, hii ni vita yetu sote, sio kwa serikali tu, maknisa na misikiti wawe wakali sana.
Serikali yetu ikitaka kuwashinda USA kwa hii vita ya ushoga, itaumie viongozi wa dini, kupinga na kusema kwenye vyombo vya habari kwa nguvu kubwa na ukali kuwa hawataki kusikia ushoga. Viongozi wa dini watumike sana ktk hii vita ya ushoga
Dini ya Roma Catholic, RC nailaumu sana sana, imekaa kimya, haikemei kwa ukali hata kidogo, nilitegemea RC wawe wakali sana makanisani na kupinga ushoga kwa nguvu zote, hii ni vita yetu sote, sio kwa serikali tu, makanisa na misikiti wawe wakali sana.
Serikali yetu ikitaka kuwashinda USA kwa hii vita ya ushoga, itaumie viongozi wa dini, kupinga na kusema kwenye vyombo vya habari kwa nguvu kubwa na ukali kuwa hawataki kusikia ushoga. Viongozi wa dini watumike sana ktk hii vita ya ushoga
Mkuu lile tamko la Papa wa RC ilikuwa nini
Tatizo sugu la ushoga Ulaya ni kutokana na Serikali zao kuingilia malezi ya familia mfano ukimchapa viboko mtoto wako unachukuliwa hatua mwisho wake nyemelezi la upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume linawakamata kwa kasi.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Hongera SANA kwa kuyasema hayoMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Lea mwanao kwa maadaili hili sio jukumu la serikali wala dini. Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level.
wapeleke muswada wa sheria bungeni kama M7 ili mama aweke saini, hizi kelele za chochoroni hazitoshiMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.
Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.
“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”
Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Na una uhakika gani kwamba kila mtu anataka huo mfumo unaotaka wewe wa baba mama na watoto?Tukiruhusu tutaharibu mfumo wa familia wa asili ambao ni baba, mama na watoto.
Family level hiyo ni primary level, madhehebu ya dini na serikali ina wajibu mkubwa sana kama hujui ktk vita hii, familia ni sehemu tu ya vita hii..
Ulijua huko USA, EU nchi zilizo na ushoga rasmi kwani hawana familia bora kuliko sisi Tz? Kwa taarifa yako wana familia na maadili tena maadili ya jamii yao ilikuwa ushoga hakuna zamani, ila sasa imekuwa rasmi baada ya serikali zao na madhehebu yao kuwa wameruhusu rasmi, kuwa ushoga kwao ni haki ya msingi kwa atakaye taka, ila maadili walikuwa nayo, sasa family level pekee haitoshi hata kidogo, ni collective action ya familia, serikali na madhehebu ya dini zote..
So familia ni sehemu tu ya vita hii, pekee haitoshi, serikali na madhehebu ya dini yasikwepe vita hii hata kidogo inawahusu
TUNAANGALIA WAPI KUNA TATIZO KUBWAJamii yoyote ilianzia chini na maadili ya jamii yoyote huanzia chini hasa hasa vijijini na mara nyingi miji hujengwa na wanavijiji.