Serikali: Ndoa za jinsia moja hata wanyama hawana

Serikali: Ndoa za jinsia moja hata wanyama hawana

Wanaume kila napowatafakari siwapatii majibu inakuaje MWANAUME mzima unamuinamisha MWANAUME mwenzio??????

WANAUME MNA MLAANA ZA AINA YENU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sijui kwanini nimecheka
 
Kama magharibi kubaya na watu wake wapenda haki za kila kiumbe mbona kila kukicha mnakimbilia huko??hata dawa za ukimwi mnaomba huko hakuna kitu mnachoweza kufanya ili muendelee mnachojua ni chuki tu zisizo na maana kama mtu ni shoga inawahusu nini
WELL SAID.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.

Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.

“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”

Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.

Dini ya Roma Catholic, RC nailaumu sana sana, imekaa kimya, haikemei kwa ukali hata kidogo, nilitegemea RC wawe wakali sana makanisani na kupinga ushoga kwa nguvu zote, hii ni vita yetu sote, sio kwa serikali tu, makanisa na misikiti wawe wakali sana.

Serikali yetu ikitaka kuwashinda USA kwa hii vita ya ushoga, itaumie viongozi wa dini, kupinga na kusema kwenye vyombo vya habari kwa nguvu kubwa na ukali kuwa hawataki kusikia ushoga. Viongozi wa dini watumike sana ktk hii vita ya ushoga
 
Kuna siku mtasema tuache kuvaa nguo sababu wanyama hawavai. Whataboutism is a mental disorder. Huyo Mpango nae chenga tu.

Kuendelea kuujadili ushoga ni kuupa free promo, kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili yanayogusa jamii nzima sio mambo watu wafanyayo faragha.

Ushoga unaanza kupingwa at a family-level. Msipowalea watoto kwa maadili usitegemee tamko la serikali kumuokoa, jiulize watoto wangapi wanaenda shule wakati serikali imesema kila mtoto ana haki ya kupata elimu?
 
Dini ya Roma Catholic, RC nailaumu sana sana, imekaa kimya, haikemei kwa ukali hata kidogo, nikitegemea RC wawe wakali sana makanisani na kupinga ushoga kwa nguvu zote, hii ni vita yetu sote, sio kwa serikali tu, maknisa na misikiti wawe wakali sana.

Serikali yetu ikitaka kuwashinda USA kwa hii vita ya ushoga, itaumie viongozi wa dini, kupinga na kusema kwenye vyombo vya habari kwa nguvu kubwa na ukali kuwa hawataki kusikia ushoga. Viongozi wa dini watumike sana ktk hii vita ya ushoga
Mkuu lile tamko la Papa wa RC ilikuwa nini
 
Dini ya Roma Catholic, RC nailaumu sana sana, imekaa kimya, haikemei kwa ukali hata kidogo, nilitegemea RC wawe wakali sana makanisani na kupinga ushoga kwa nguvu zote, hii ni vita yetu sote, sio kwa serikali tu, makanisa na misikiti wawe wakali sana.

Serikali yetu ikitaka kuwashinda USA kwa hii vita ya ushoga, itaumie viongozi wa dini, kupinga na kusema kwenye vyombo vya habari kwa nguvu kubwa na ukali kuwa hawataki kusikia ushoga. Viongozi wa dini watumike sana ktk hii vita ya ushoga

Lea mwanao kwa maadaili hili sio jukumu la serikali wala dini. Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level.
 
Mkuu lile tamko la Papa wa RC ilikuwa nini

Achana na Papa, naona nae amekuwa mchele mchele, ujue Angalican TZ walikataa kabisa kuwafuata kanisa Mama Anglican UK kuhusu ushoga, na Anglican TZ wakashinda, walikataa kabisa so walikosana kabisa na Anglican UK kuhusu Ushoga..

In the same sense, nilitegemea RC TZ wakatae kabisa kuhusu ushoga tena waseme kabisa sisi RC TZ ushoga mwiko kabisa, dini inakataza kabisa, vitabu vitakatifu vinakataza kabisa, sasa Papa kwani ni mkubwa kuliko Mungu au vitabu vya Mungu? RC wako silent kuhusu hili, tena afadhali masheikh wa kiislam wanapiga kelele na kupinga, ila kuna baadhi hawaeleweki misimamo yao pia
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.

Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.

“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”

Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Tatizo sugu la ushoga Ulaya ni kutokana na Serikali zao kuingilia malezi ya familia mfano ukimchapa viboko mtoto wako unachukuliwa hatua mwisho wake nyemelezi la upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume linawakamata kwa kasi.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.

Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.

“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”

Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
Hongera SANA kwa kuyasema hayo
 
Lea mwanao kwa maadaili hili sio jukumu la serikali wala dini. Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level.

Family level hiyo ni primary level, madhehebu ya dini na serikali ina wajibu mkubwa sana kama hujui ktk vita hii, familia ni sehemu tu ya vita hii..

Ulijua huko USA, EU nchi zilizo na ushoga rasmi kwani hawana familia bora kuliko sisi Tz? Kwa taarifa yako wana familia na maadili tena maadili ya jamii yao ilikuwa ushoga hakuna zamani, ila sasa imekuwa rasmi baada ya serikali zao na madhehebu yao kuwa wameruhusu rasmi, kuwa ushoga kwao ni haki ya msingi kwa atakaye taka, ila maadili walikuwa nayo, sasa family level pekee haitoshi hata kidogo, ni collective action ya familia, serikali na madhehebu ya dini zote..

So familia ni sehemu tu ya vita hii, pekee haitoshi, serikali na madhehebu ya dini yasikwepe vita hii hata kidogo inawahusu
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni.

Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Kijiji hapo ambapo
amesema kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili ikiwemo ndoa za jinsia moja ambazo hazipo hata kwa Wanyama hivyo Wazazi waangalie Watoto na Vijana wanaangalia nini ili kuondokana na kuwa na Taifa la ajabu.

“Hili ni gumu kweli, maadili ya Nchi yetu yameporomoka sana, yaani na mengine hata kuyasema ni ngumu, ndoa za Wanaume wawili?, ndoa za Wanawake wawili? mliziona wapi? hata Wanyama hawafanyi hivi”

Kwa upande mwingine, Dr. Mpango amewaasa Wananchi wa Kasumo na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kutoa ushirikiano wakati huu ambapo Serikali inafanya ujenzi wa miundombinu ya Barabara katika Mkoa huo ambao ni nyenzo muhimu kwa biashara na urahisi wa kufikia huduma za jamii kama vile Hospitali na Shule na kuzingatia pia kuwapa Wawekezaji ushirikiano ikiwemo kuzingatia bei halisi za ardhi katika maeneo yao ili kutowapoteza.
wapeleke muswada wa sheria bungeni kama M7 ili mama aweke saini, hizi kelele za chochoroni hazitoshi
 
Family level hiyo ni primary level, madhehebu ya dini na serikali ina wajibu mkubwa sana kama hujui ktk vita hii, familia ni sehemu tu ya vita hii..

Ulijua huko USA, EU nchi zilizo na ushoga rasmi kwani hawana familia bora kuliko sisi Tz? Kwa taarifa yako wana familia na maadili tena maadili ya jamii yao ilikuwa ushoga hakuna zamani, ila sasa imekuwa rasmi baada ya serikali zao na madhehebu yao kuwa wameruhusu rasmi, kuwa ushoga kwao ni haki ya msingi kwa atakaye taka, ila maadili walikuwa nayo, sasa family level pekee haitoshi hata kidogo, ni collective action ya familia, serikali na madhehebu ya dini zote..

So familia ni sehemu tu ya vita hii, pekee haitoshi, serikali na madhehebu ya dini yasikwepe vita hii hata kidogo inawahusu

Family structure Ulaya/US na Afrika ni tofauti sana. Nje mtoto anaweza mtukana baba na baba ndo akaomba msamaha. Bongo huwezi hata ongea tusi mbele ya mzazi wako let alone kumtukana.

Serikali/dini zinaweza toa matamko yote mwisho wa siku hili ni jukumu la familia na mtu mwenyewe binafsi. Mathalani, sera ya serikali kila mtoto apate elimu, unadhani watoto wote wanaenda shule? Sioni sababu ya kuweka nguvu kubwa kwenye hili zaidi mnaupa ushoga free promo tu.
 
Mapunga ni wengi sana hapa tz, wengine hata huwadhanii.
Kuna mwanajf alifichuliwa na mwanajf mwenzie kua ni mfukunyuliwaji ila anapretend kwa nyuzi kibao za mizagamuo.

Unaweza kua uko na machizi mnamdisi punga fulani kumbe hapohapo pana punga au wafukunyuaji.
 
Back
Top Bottom