Incredible men
Senior Member
- Jun 14, 2020
- 130
- 298
Shida ni kwamba tunapenda sana kuisha maisha ya siasa. Ikumbukwe shule binafsi ni biashara elim inayo tolewa pale nj mkataba kati ya mzazi na mmiliki wala[emoji41] hakuna aliye lazimishwa kumpeleka mtt wake pale. Sasa iweje serikali ianze kuinglia kati mikataba yenu si kutafutana uchawi huku[emoji848]Ile n huduma inalipwa huduma
Ukizaa(KAMA MBEGU ZA UZALISHAJI ZIPO)
ukapata kanafasi kukupeleka mtoto private utajua hayaa siohilo wengine tunatoaa hadi 250k kwendahapo Mikumi n huduma
Likewise wanalipa wazazi kwa huduma watoto wanayopata samahani kama wewe n mwl...... Msikilize NDALICHAKO PROF utaelewa... Kwabahatimbaya sikusema magazeti mwongozo umeshatokaa utekelezaji umebakia