Serikali ni wakati wa kutoa mwongozo kuhusiana kuhusu ulipaji wa ada shuleni baada ya tamko la Rais shule kufunguliwa

Serikali ni wakati wa kutoa mwongozo kuhusiana kuhusu ulipaji wa ada shuleni baada ya tamko la Rais shule kufunguliwa

Mkuu umeandika vizuri sana na serikali inabidi kutolea ufafanuzi ,maana watoto hakuna Huduma walizopata why kulipa ada ya mwaka mzima ?Hata hivyo kama serikali itachelewa kutoa tamko basi wazazi tuzikomalie shule maana huu utakua wizi mzazi ajaleta corona ivyo lazima mwaka ugawanywe kwa robo 4 sawa na miezi mitatu mitatu na tunaondoa ada ya robo moja ambayo watoto walikua nyumbani
Hiyo hiyo selikali unayoiomba kutoa tamko walimu wake wamelipwa pamoja na kwamba watoto walikua nyumbani.
 
Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa [emoji817]

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hilo unasema wewe, kama hatafanya kama ivo?
 
If that is the case basi hata wakati wa corona wangejiamulia utaratibu wao maana wana mkataba na mzazi. Lakini pia wangekuwa hata na syllabus yao.bado kuna mambo serikali haiwezi yaacha moja kwa moja kwa watu binafsi. Siku zote serikali inasimama somewhere kulinda watu wengi dhidi ya wachache katka haki.

Shida ni kwamba tunapenda sana kuisha maisha ya siasa. Ikumbukwe shule binafsi ni biashara elim inayo tolewa pale nj mkataba kati ya mzazi na mmiliki wala[emoji41] hakuna aliye lazimishwa kumpeleka mtt wake pale. Sasa iweje serikali ianze kuinglia kati mikataba yenu si kutafutana uchawi huku[emoji848]
 
Haya ingekuwa 50,000 ni yake.wenye kutoa pesa nyingi ndo wanaelewa kinachosemwa.wale wengine wanajitutumua tu kuonesha its ok maana it doesnt cost them much. Wanaume hawakadiliani hata kidogo.wanaheshimiana mawazo.

Umekalili sna shahawa! shahawa! Hivi unahisi ww peke yako ndiyo una unasomesha shule binafsi? Na usikute ada ya mwanao haizidi hata 2M
 
NAJUA MAMA ANASOMA HUMU KILA SIKU

MPENDWA PROF HON WAZAZI WAMEANZA KUTANA NA VICHEKESHO

UWEZI LIPA ADA MTOTO AKIWA NYUMBA HUU N UFADHAIINA

KAMA MZAZI MWENYEMTOTO UNAESOMESHA PIA AMA ULISOMESHA

MADA MUAFAKA KUTIA TAMKO WAZAZI WANALIPAJE ADA

ZILE BUSARA ULIZOSEMA NAHISI BADO ZIKO MTOWAMI AZIJAFIKIA HIIF BODI ZA SHULE

AHSANTE KAMA MZAZI TUNAAMINI UTALIFANYIA KAZI
 
Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa [emoji817]

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Shule nyingi za private,hawakuwalipa walimu wao mishahara,na wengine hata mshahara wa mwezi mmoja kabla ya kufunga shule hawakulipa walimu wao mpaka sasa...

Mfano, DYNAMIC NURSERY AND PRIMARY SCHOOL,ilyopo CHAMAZI DSM TANGU MWEZI WA TATU MPAKA SASA HAWAJALIPA MISHAHARA,na wadai full ada kwa sisi wazazi????
 
Je wajua kuwa kuna baadhi ya shule zilisitisha mishahara kwa walimu. Shuke ambazo zilisitisha mishara ni vyema ada ikagawanywa kwa nne ili robo moja isilipwe kwani shule haikuwajibika kumlipa mwalimu wala kumfundisha mwanafunzi
 
Kwanza usipotoshe muda ulio potea ni wiki 7 kwahiyo usiseme miezi 3 piga mahesabu vizuri halafu mwez9 kuna likizo ya wik 3 kwahiyo zitakuwa zimepotea wiki 4.

Halafu muda wa masomo naona umeongezwa kutoka saa9 mpaka saa12 so ni mzigo kwa walimu kwahiyo waongezewe muda bila kuongezewa posho? hebu tutumie busara busara kidogo wengine tushalipa ada ya mwaka mzima je turudishiwe ya mwezi mmoja ulio potea?
Hivi kuanzia March 17 mpaka June 17 ulipoandika haya maelezo ni week 7 na ikimaanisha ni mwezi mmoja? Kama ni hivyo basi sawa!
 
Back
Top Bottom