liberatormuhewa
Member
- Nov 5, 2019
- 51
- 53
Hiyo hiyo selikali unayoiomba kutoa tamko walimu wake wamelipwa pamoja na kwamba watoto walikua nyumbani.Mkuu umeandika vizuri sana na serikali inabidi kutolea ufafanuzi ,maana watoto hakuna Huduma walizopata why kulipa ada ya mwaka mzima ?Hata hivyo kama serikali itachelewa kutoa tamko basi wazazi tuzikomalie shule maana huu utakua wizi mzazi ajaleta corona ivyo lazima mwaka ugawanywe kwa robo 4 sawa na miezi mitatu mitatu na tunaondoa ada ya robo moja ambayo watoto walikua nyumbani
Hilo unasema wewe, kama hatafanya kama ivo?Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa [emoji817]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Shida ni kwamba tunapenda sana kuisha maisha ya siasa. Ikumbukwe shule binafsi ni biashara elim inayo tolewa pale nj mkataba kati ya mzazi na mmiliki wala[emoji41] hakuna aliye lazimishwa kumpeleka mtt wake pale. Sasa iweje serikali ianze kuinglia kati mikataba yenu si kutafutana uchawi huku[emoji848]
Umekalili sna shahawa! shahawa! Hivi unahisi ww peke yako ndiyo una unasomesha shule binafsi? Na usikute ada ya mwanao haizidi hata 2M
Shule nyingi za private,hawakuwalipa walimu wao mishahara,na wengine hata mshahara wa mwezi mmoja kabla ya kufunga shule hawakulipa walimu wao mpaka sasa...Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa [emoji817]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hivi kuanzia March 17 mpaka June 17 ulipoandika haya maelezo ni week 7 na ikimaanisha ni mwezi mmoja? Kama ni hivyo basi sawa!Kwanza usipotoshe muda ulio potea ni wiki 7 kwahiyo usiseme miezi 3 piga mahesabu vizuri halafu mwez9 kuna likizo ya wik 3 kwahiyo zitakuwa zimepotea wiki 4.
Halafu muda wa masomo naona umeongezwa kutoka saa9 mpaka saa12 so ni mzigo kwa walimu kwahiyo waongezewe muda bila kuongezewa posho? hebu tutumie busara busara kidogo wengine tushalipa ada ya mwaka mzima je turudishiwe ya mwezi mmoja ulio potea?