polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Hiii nchi na serikali kuu mnaziamini bado halimashauri hizi kwenye maswala ya fedha lakini bado zina misingi ya hovyo tangu kuumbwa kwake, wamejaa mchwa na wezi huko.
Mnahabari Hadi sasa kuna halmashauri hazijawalipa makarani wao zaidi ya kulipwa pesa ya awali ya siku 5 tu za semina na bado haieleweki hadi sasa wanalipwaje na uswahili mwingi sana.
Mnahabari Hadi sasa kuna halmashauri hazijawalipa makarani wao zaidi ya kulipwa pesa ya awali ya siku 5 tu za semina na bado haieleweki hadi sasa wanalipwaje na uswahili mwingi sana.