The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 390
- 670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁Sanamu ile haifanani na Nyerere.Na Madaraka anafanana na mama Maria Nyerere.
Kwa hiyo serikali ya ccm imelidhika kuwa nyerere ni gay maana mdomo wa sanamu imetengenezwa kwa mtindo wa upinde signal domo la kunyonya mkunyenge ....ni mpumbavu tu anaye weza kukubali ile sanamu....Nyerere hajawai kuunga mkono vitendo vya ushoga popote.
Balozi Said Shaibu Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akijibu swali kuhusu sintofahamu ya sanamu la Mwl. Nyerere amesema;
Kwenye sintofahamu hiyo kuna waokubali kuwa sanamu lile linafafa na Nyeyrere na wengine wanaokataa.
Akisema kuwa Serikali imefuata maelezo ya kitaalamu yaliyotolewa na kamati maalum ya wataalamu ambayo ilishirikia kuanzia kwenye mjadala mpaka kupatikana kwa sanamu hiyo na, sanamu hiyo imefadhiliwa na SADC, lengo likiwa kutambua mchango wa Nyerere katika Ukombozi wa Bara la Afrika hususan Kusini mwa Afrika.
Kamati hiyo ilihusisha watu mbalimbali ikiwemo; familia ya Nyerere akiwemo Madaraka Nyerere, wizara ya mambo ya nje, wizara ya utamaduni sanaa na michezo, Wataalamu kutoka UDSM, pamoja na watu wengine.
Kuanzia hatua ya awali mpaka sananu linakamilika Kamati ililidhika.
Vigezo vilivyotumika kupatikana sanamu ile ni:
1. Kumlenga Nyerere wa miaka 60 na miaka 80, wakati Nyerere akiwa 'active' katika mapambano ya kusaidia kupatikana kwa uhuru na maendeleo katika nchi za Kusini mwa Afrika.
2. Kaiuli ya mtoto wa Nyerere, Madaraka Nyerere mara kadhaa na siku ya uzinduzi ameongea kwa kusisitiza kwamba yule ni baba yake, kama kuna mtu anabisha amuulize yeye.
3. Taratibu za kitaalamu zinasema unapotengeneza sanamu unatakiwa uipatie angalau kufikia 75%, lakini sanamu la Nyerere Addis Ababa kwa matokeo yake ni 92%, na Waziri wa Utamaduni na Michezo alitoa ufafanuzi wa kina juu ya hili.
Hivyo mapokeo ya wizara ya Utamaduni ndio mapokeo ya Serikali, ile ni sanamu ya Nyerere
Aacha utoto basi tsh milioni 650 ni hela ndogo sana? Lazima hiyo hela ijadiliwe.Mnapenda sana Watamzania kujadili offpoints.
Mbona issue ya kufanana au kutokufanana ni issue ndogo sana!!. Nilitarajia vijana na wasomi wa Kutanzania wajikite kwenye mchango wa Nyerere kwa ukombozi wa nchi za southern Africa, kwanini iwekwe mwaka 2024 na siyo mwaka 1990 baada ya Uhuru wa Namibia iliyokuwa nchi ya mwisho kupata uhuru?.
Sanamu kama haigananiyaweza kubadilishwa wakati wowote. Lakini akili za watanzania zimejikita katika mambo peanut au mediocre. Yaani mnapenda udaku udaku tu
Hata mimi nikikuwapo!! Je uliwahi kukutana naye ana kwa ana?Hamna haja ya kubishana...
Kwa kifupi nikuambie tu hicho kipindi wanachosema nilikuwepo.
Ila hii Sanamu sio...
Jadili kula yako na wanao, achana na fedha ya SADCAacha utoto basi tsh milioni 650 ni hela ndogo sana? Lazima hiyo hela ijadiliwe.
Hiyo sanamu haimfanani Mwalim.
Balozi Said Shaibu Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akijibu swali kuhusu sintofahamu ya sanamu la Mwl. Nyerere amesema;
Kwenye sintofahamu hiyo kuna waokubali kuwa sanamu lile linafafa na Nyeyrere na wengine wanaokataa.
Akisema kuwa Serikali imefuata maelezo ya kitaalamu yaliyotolewa na kamati maalum ya wataalamu ambayo ilishirikia kuanzia kwenye mjadala mpaka kupatikana kwa sanamu hiyo na, sanamu hiyo imefadhiliwa na SADC, lengo likiwa kutambua mchango wa Nyerere katika Ukombozi wa Bara la Afrika hususan Kusini mwa Afrika.
Kamati hiyo ilihusisha watu mbalimbali ikiwemo; familia ya Nyerere akiwemo Madaraka Nyerere, wizara ya mambo ya nje, wizara ya utamaduni sanaa na michezo, Wataalamu kutoka UDSM, pamoja na watu wengine.
Kuanzia hatua ya awali mpaka sananu linakamilika Kamati ililidhika.
Vigezo vilivyotumika kupatikana sanamu ile ni:
1. Kumlenga Nyerere wa miaka 60 na miaka 80, wakati Nyerere akiwa 'active' katika mapambano ya kusaidia kupatikana kwa uhuru na maendeleo katika nchi za Kusini mwa Afrika.
2. Kaiuli ya mtoto wa Nyerere, Madaraka Nyerere mara kadhaa na siku ya uzinduzi ameongea kwa kusisitiza kwamba yule ni baba yake, kama kuna mtu anabisha amuulize yeye.
3. Taratibu za kitaalamu zinasema unapotengeneza sanamu unatakiwa uipatie angalau kufikia 75%, lakini sanamu la Nyerere Addis Ababa kwa matokeo yake ni 92%, na Waziri wa Utamaduni na Michezo alitoa ufafanuzi wa kina juu ya hili.
Hivyo mapokeo ya wizara ya Utamaduni ndio mapokeo ya Serikali, ile ni sanamu ya Nyerere
Hiyo siyo sura ya Mwalimu!
Balozi Said Shaibu Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akijibu swali kuhusu sintofahamu ya sanamu la Mwl. Nyerere amesema;
Kwenye sintofahamu hiyo kuna waokubali kuwa sanamu lile linafafa na Nyeyrere na wengine wanaokataa.
Akisema kuwa Serikali imefuata maelezo ya kitaalamu yaliyotolewa na kamati maalum ya wataalamu ambayo ilishirikia kuanzia kwenye mjadala mpaka kupatikana kwa sanamu hiyo na, sanamu hiyo imefadhiliwa na SADC, lengo likiwa kutambua mchango wa Nyerere katika Ukombozi wa Bara la Afrika hususan Kusini mwa Afrika.
Kamati hiyo ilihusisha watu mbalimbali ikiwemo; familia ya Nyerere akiwemo Madaraka Nyerere, wizara ya mambo ya nje, wizara ya utamaduni sanaa na michezo, Wataalamu kutoka UDSM, pamoja na watu wengine.
Kuanzia hatua ya awali mpaka sananu linakamilika Kamati ililidhika.
Vigezo vilivyotumika kupatikana sanamu ile ni:
1. Kumlenga Nyerere wa miaka 60 na miaka 80, wakati Nyerere akiwa 'active' katika mapambano ya kusaidia kupatikana kwa uhuru na maendeleo katika nchi za Kusini mwa Afrika.
2. Kaiuli ya mtoto wa Nyerere, Madaraka Nyerere mara kadhaa na siku ya uzinduzi ameongea kwa kusisitiza kwamba yule ni baba yake, kama kuna mtu anabisha amuulize yeye.
3. Taratibu za kitaalamu zinasema unapotengeneza sanamu unatakiwa uipatie angalau kufikia 75%, lakini sanamu la Nyerere Addis Ababa kwa matokeo yake ni 92%, na Waziri wa Utamaduni na Michezo alitoa ufafanuzi wa kina juu ya hili.
Hivyo mapokeo ya wizara ya Utamaduni ndio mapokeo ya Serikali, ile ni sanamu ya Nyerere
Kwa hiyo alizeeka kwanza (1960-80) halafu ndio akawa kijana?
Balozi Said Shaibu Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akijibu swali kuhusu sintofahamu ya sanamu la Mwl. Nyerere amesema;
Kwenye sintofahamu hiyo kuna waokubali kuwa sanamu lile linafafa na Nyeyrere na wengine wanaokataa.
Akisema kuwa Serikali imefuata maelezo ya kitaalamu yaliyotolewa na kamati maalum ya wataalamu ambayo ilishirikia kuanzia kwenye mjadala mpaka kupatikana kwa sanamu hiyo na, sanamu hiyo imefadhiliwa na SADC, lengo likiwa kutambua mchango wa Nyerere katika Ukombozi wa Bara la Afrika hususan Kusini mwa Afrika.
Kamati hiyo ilihusisha watu mbalimbali ikiwemo; familia ya Nyerere akiwemo Madaraka Nyerere, wizara ya mambo ya nje, wizara ya utamaduni sanaa na michezo, Wataalamu kutoka UDSM, pamoja na watu wengine.
Kuanzia hatua ya awali mpaka sananu linakamilika Kamati ililidhika.
Vigezo vilivyotumika kupatikana sanamu ile ni:
1. Kumlenga Nyerere wa miaka 60 na miaka 80, wakati Nyerere akiwa 'active' katika mapambano ya kusaidia kupatikana kwa uhuru na maendeleo katika nchi za Kusini mwa Afrika.
2. Kaiuli ya mtoto wa Nyerere, Madaraka Nyerere mara kadhaa na siku ya uzinduzi ameongea kwa kusisitiza kwamba yule ni baba yake, kama kuna mtu anabisha amuulize yeye.
3. Taratibu za kitaalamu zinasema unapotengeneza sanamu unatakiwa uipatie angalau kufikia 75%, lakini sanamu la Nyerere Addis Ababa kwa matokeo yake ni 92%, na Waziri wa Utamaduni na Michezo alitoa ufafanuzi wa kina juu ya hili.
Hivyo mapokeo ya wizara ya Utamaduni ndio mapokeo ya Serikali, ile ni sanamu ya Nyerere