yaani mambo ya maendeleo yapo kwenye utekelezaji wewe ndio unakurupuka kuuliza bageti ? kweli?🤣🤣Wewe uliyefuatilia bunge si utuwekee hapa kifungu cha bajeti kilichopitisha matumizi ya kugharimia huo uhamishaji. Kupiga porojo tu bila kuweka vithibitisho haisaidii ukanushaji wako.
Hadi waTanzania tutakapoamka na kuyajua haya pamoja na magoli yanayonunuliwa kwa Mil. 5 kwenye mrchi zinazoendelea ndio itajulikana kuwa Kuna kiongozi ameuza nchi kwa gharama anayoitaka yeye na wala sio bajeti ya Bunge hili la chama moja!Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Unapata ugumu gani kutuwekea hapa hilo fungu la bajeti? Mbona barabara na hospitali zinazojengwa zinaainishwa wazi? Ni wizara gani iliyotengewa hiyo bajeti?yaani mambo ya maendeleo yapo kwenye utekelezaji wewe ndio unakurupuka kuuliza bageti ? kweli?🤣🤣
kuna watu wako primitive sana inchi tatata 🤣🤣
Hilo liko wazi kabisa lakini watu wameingiwa na woga wa kulisemea.. Ni nani anafadhili huu mradi? Most likely ni kutoka jangwaniNisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
'Kwa mfano' zako hazisaidii kujibu hoja iliyopo mezani.ulifuatilia bunge kweli wewe?🐒
ulichokisoma ni nini hasa kwa mfano...
na jambo hili linasimamiwa na wizara zipi kwa mfano 🐒
Haya, huyu utadhani ni mtu aliye na akili timamu kweli?yaani mambo ya maendeleo yapo kwenye utekelezaji wewe ndio unakurupuka kuuliza bageti ? kweli?🤣🤣
kuna watu wako primitive sana inchi tatata 🤣🤣
🤣 hii dunia kweli mviringo 🤣Haya, huyu utadhani ni mtu aliye na akili timamu kweli?
Serikali iendeshwe tu kiholela kama mali ya mtu binafsi?
Ndiyo maana sasa kila linalo fanyika tunaambiwa pesa katoa 'Chura Kiziwi' Kapewa pesa za kuwanunua waTanzania?
Kuna mtu duniani kote anayeweza kuwanunua waTanzania?
Wewe na uarabu wako tutawakomesha tu.
Unapata ugumu gani kutuwekea hapa hilo fungu la bajeti? Mbona barabara na hospitali zinazojengwa zinaainishwa wazi? Ni wizara gani iliyotengewa hiyo bajeti?
utaelewa nini akati una majibu yako ya hisia mfukoni, yakiambatana na kiburi na mihememko? 🐒'Kwa mfano' zako hazisaidii kujibu hoja iliyopo mezani.
Weka unachokifahamu na unachokitetea kwa uwazi ili tunaofuatilia jambo hili tuelewe wewe chawa.
Kukubali kuhongwa ili uhamishe watu wako ni kujidhalilishaNisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Mwana wa Mafarume wa UAE, ametoa USD milion 150 kwa ajili ya zoezi hiloNisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Mkuu pesa anatoa Mwana mfarume wa UAE ndio anaye fadhili zoezi, sio Serikali wala nini, jamaa kamwaga pesa za kununua hadi Magari ya kuwasafirishia, Mamlaka ya Hifadhu ya Ngorongoro imeisha agiza mabasi mengibe mapya kama 7 kwa ajili hio ya kuwasafirishia wamasai.Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Wanaofadhili Wamasai kuondoka Ngorongoro ni wale wawekezaji wa Kiarab walioshinikiza serikali ya Tanzania kuwatimua Wamasai ili wao wafanye biashara pale.Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Hawatasema mpaka aje Rais kama MwendazakeNisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Nia ya ho Waarabu ni kusimika nchi ya kiarabu ndani ya Tanganyika. Halafu Tanzania ibakie tu nchi jina, huku wao wakishikilia na kumiliki njia zote za uchumi. Watanzania watafanywa kuwa kama akina Mwosha mbwa, wawe wamiliki wa uchawa tu.Wamasai wanajua kuwa wanaondolewa ili Samia awagawie maeneo hayo wajomba zake ; kama alivyofanya kwa Bandari za Tanganyika!
Hao hao waarabu wa UAE ndio wanao toa mapesa ya kufanikisha operation ya kuwahamisha Masai!
lile bunge nikibogoyo ule ni mkutano mkuu wa ccm kujadili mambo ya chama,hakuna bunge paleNisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.
Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.
Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Bunge liko kimyalile bunge nikibogoyo ule ni mkutano mkuu wa ccm kujadili mambo ya chama,hakuna bunge pale