Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

zama za Beijing kushika hatamu kila rangi ya wizi na ufisadi tutaiona! hii ni trela tu muvi kamili baada ya uchaguzi 2025. kweli Mungu ni wa kipekee kukausha mti wa mpingo na kuchipua mpodo! ashukuriwe sana
 

Pindi Chana: asitisha uuzaji wanyama Hai nje ya nchi. Kinana akasirishwa na kauli ya waziri​

 
Urithi kwa namna gani? Wanyama wanazaliana kila mwaka.

Mimi nimekuwa positive kwasababu unless kufanyike utafiti utakaotoa majibu negative, sioni ubaya wa kuuza na kutengeneza fedha za kuboresha huduma kwa jamii.
Uliwahi kusikia Australia wanauza Kangaroo? au huwa hawazaliani?
 
Acha ujinga. Wanyama huwa wanaongezeka Sana hivyo huhitaji kuvunwa. Wakivunwa wakauzwe huko duniani. Wewe wa Kantalamba huko huna hata faida kwenye mbuga kwenyewe huwa huendi
Umewaona wakiongezeka..? Vipi faru wanaopungua kwa kasi..?, Vipi twiga, vipi vipepeo, vipi.... Yani dah
 
Kama Serikali imetoa go ahead unataka utafiti upi mwingine ufanyike
 
Mbona tumeshakwambia wanaouzwa ni wale waliozidi? Halafu Bahamas hakuna wanyama na watu wanaenda.

Hospitality industry sio suala la maliasili, ni suala la ubunifu wa kiakili.
Leta takwimu za wanyama waliokuwepo 5 years ago vs waliopo mpaka may 2022 tujue walioongezeka ni wangapi basi, naona unabweka sana
 
Yaani sisi Waafrika ni manyang'au kweli...

Sasa ukishapeleka hao wanyama huko nje, hao wazungu watakuja kwetu kweli wakati huko kwao watakakuwa tayari wana hao wanyama!!!
Tena watawazalisha kwa wingi kwa matumizi ya baadae
 
Leta takwimu za wanyama waliokuwepo 5 years ago vs waliopo mpaka may 2022 tujue walioongezeka ni wangapi basi, naona unabweka sana
Huu mjadala niliamua kuuacha kwasababu exposure yangu nadhani iko juu kidogo kuliko watanzania wa kawaida.

Utalii sio maliasili wala wanyama. Utalii ni hospitality industry na ndio maana nchi zinazoongoza kwa utalii duniani hazina hivyo mnavyoita maliasili.

Ukijaliwa fika Spain, Bahamas, Mauritius nk then utakuwa na mtazamo mpana kuhusu hii sector.

Hawa wanyama tulionao Tanzania nimewahi kuwaona kwenye zoo kule Switzerland, France, Thailand, US, Dubai, Qatar etc hivyo kama ni kuwaona wanyama tàyari wapo kule.

Hii mitazamo general na ya kijamaa ndio inafanya hii nchi wakenya wananufaika nayo. Watanzania wanalima halafu wanauza kwa bei ya kutupa kwa wakenya ambao wanafanya packaging na kuuza masoko ya dunia ya kwanza.

Hii mitazamo isipobadilika tukajua nini hasa ni tourism leo hii fukwe tu za bahari ya hindi zingeweza kuleta watalii milioni 20 kwa mwaka kama tungewekeza kwenye huduma zinazofanya mtalii aje.

Naishia hapa.
 
Uko sahihi mkuu,huko zanzibar wamepiga marufuku wanyama aina ya mbega kuwindwa ili kudhibiti kutoweka maana ni kitoweo huko wenye nchi wameona hawatakuwa na cha kujivunia.Mwenye shamba ndiye mwenye uchungu nalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…