Serikali tangazeni tar 27 na 28 kuwa siku za mapumziko kwa wote na wanafunzi wakae nyumbani kuondoa kabisa huo 'usumbufu' mnaosema

Serikali tangazeni tar 27 na 28 kuwa siku za mapumziko kwa wote na wanafunzi wakae nyumbani kuondoa kabisa huo 'usumbufu' mnaosema

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Kusema watumishi wa umma wafanyie kazi nyumbani huku sekta nyingine zinafanya kazi kama kawaida ndio mmepunguza nini?

Kwanza tunajua serikali hainaga utaratibu wa ku-work from home. Hiyo ni holiday ya moja kwa moja. Akifunga vitu ijumaa atakuja kuendelea jtatu pale alipoishia.

Lengo la kufunga barabara na kuambia watumishi wafanyie kazzi nyumbani ni kupunguza usumbufu siku hiyo au mnataka kuficha aibu kwa viongozi hao wanaokuja ilo wasione huduma mbovu tulizonazo nchini, na kuacha sekta binafsi ambayo tunajua iko vizuri na haduma zao hazina longo longo? Kama lengo ni kupunguza usumbufu kesho na keshokutwa iwe public holiday.

Kwenye hili naashumu wanafunzi pia hawataenda shule upande wa serikali. Kwanini wa binafsi waende, maana kama ni usumbufu nao utawagusa ukizangatia baadhi ya barabara zinafungwa.

Kuepusha hayo yote serikali itangaze kesho na keshokutwa kuwa siku za mapumziko isipokuwa kwa kada zile ambazo kazi haziwezi kusimama kama Afya na vyombo vya usalama. Wengine wapunge upepo majumbani mwao.
 
Waalimu ni serikali hawataenda shule, autonatically na wanafunzi pia. Au wanafunz wataenda kufundishwa online?
 
Wakuu,

Kusema watumishi wa umma wafanyie kazi nyumbani huku sekta nyingine zinafanya kazi kama kawaida ndio mmepunguza nini?

Kwanza tunajua serikali hainaga utaratibu wa ku-work from home. Hiyo ni holiday ya moja kwa moja. Akifunga vitu ijumaa atakuja kuendelea jtatu pale alipoishia.

Lengo la kufunga barabara na kuambia watumishi wafanyie kazzi nyumbani ni kupunguza usumbufu siku hiyo au mnataka kuficha aibu kwa viongozi hao wanaokuja ilo wasione huduma mbovu tulizonazo nchini, na kuacha sekta binafsi ambayo tunajua iko vizuri na haduma zao hazina longo longo? Kama lengo ni kupunguza usumbufu kesho na keshokutwa iwe public holiday.

Kwenye hili naashumu wanafunzi pia hawataenda shule upande wa serikali. Kwanini wa binafsi waende, maana kama ni usumbufu nao utawagusa ukizangatia baadhi ya barabara zinafungwa.

Kuepusha hayo yote serikali itangaze kesho na keshokutwa kuwa siku za mapumziko isipokuwa kwa kada zile ambazo kazi haziwezi kusimama kama Afya na vyombo vya usalama. Wengine wapunge upepo majumbani mwao.
Waalimu wa serikali hawataenda shule, autonatically na wanafunzi pia. Au wanafunz wataenda kufundishwa online?
 
Wakuu,

Kusema watumishi wa umma wafanyie kazi nyumbani huku sekta nyingine zinafanya kazi kama kawaida ndio mmepunguza nini?

Kwanza tunajua serikali hainaga utaratibu wa ku-work from home. Hiyo ni holiday ya moja kwa moja. Akifunga vitu ijumaa atakuja kuendelea jtatu pale alipoishia.

Lengo la kufunga barabara na kuambia watumishi wafanyie kazzi nyumbani ni kupunguza usumbufu siku hiyo au mnataka kuficha aibu kwa viongozi hao wanaokuja ilo wasione huduma mbovu tulizonazo nchini, na kuacha sekta binafsi ambayo tunajua iko vizuri na haduma zao hazina longo longo? Kama lengo ni kupunguza usumbufu kesho na keshokutwa iwe public holiday.

Kwenye hili naashumu wanafunzi pia hawataenda shule upande wa serikali. Kwanini wa binafsi waende, maana kama ni usumbufu nao utawagusa ukizangatia baadhi ya barabara zinafungwa.

Kuepusha hayo yote serikali itangaze kesho na keshokutwa kuwa siku za mapumziko isipokuwa kwa kada zile ambazo kazi haziwezi kusimama kama Afya na vyombo vya usalama. Wengine wapunge upepo majumbani mwao.
Mbona Imeshatangazwa Wewe Unakaa wapi??
Screenshot_20250126_161550_Instagram.jpg
 
Hili jambo silingefanyika Ikulu ya Chamwino

Maana sifa tulizomwagiwa kuwa Ikulu kubwa na facility za maraisi kibao

Au tulipigwa mchanga wa macho!!
 
Ni wakati wa ku book lodge sasa, hii taarifa ingetoka mapema leo ningepata wakati wa kujipumzisha na binti wa croatia. SAD
 
Back
Top Bottom