Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
- Thread starter
- #21
Kazi kwelikweliNi wakati wa ku book lodge sasa, hii taarifa ingetoka mapema leo ningepata wakati wa kujipumzisha na binti wa croatia. SAD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwelikweliNi wakati wa ku book lodge sasa, hii taarifa ingetoka mapema leo ningepata wakati wa kujipumzisha na binti wa croatia. SAD
Kabisa, itakuwa usumbufu mkubwa kwaoHasa wa shule za katikati ya mji.
Hili swala serikali hawakutafakari kwa kina
Naona umetangaza kwa wanafunzi Mkuu 😂😂😀Sawa ngoja nitangaze sasa iv
Wamesikia, wanafunzi wamepata likizo fupi ya siku 2Hasa wa shule za katikati ya mji.
Hili swala serikali hawakutafakari kwa kina
Dah nimecheka sana😂😂🤣🤣Ni kweli haliwahusu maana sio rahisi Marais zaidi ya 10 waje Tz halafu washukie Lindi au Singida
Dar itabaki kuwa Dar😀😀😀Hili jambo silingefanyika Ikulu ya Chamwino
Maana sifa tulizomwagiwa kuwa Ikulu kubwa na facility za maraisi kibao
Au tulipigwa mchanga wa macho!!
Umesoma vizuri? Ilikuwa watumishi wa umma, halafu wakaacha wanafunzi, tangazo la wanafunzi ndio limetoka muda si mrefu, hapo na binafsi kote wameguswaMbona Imeshatangazwa Wewe Unakaa wapi??View attachment 3214804
Croatia ya Mbagala sio?Ni wakati wa ku book lodge sasa, hii taarifa ingetoka mapema leo ningepata wakati wa kujipumzisha na binti wa croatia. SAD
Sasa moja ya watumishi wa Umma walikuwa ni walimu maana hawakuguswa na Exeptional Iliyotoka..Umesoma vizuri? Ilikuwa watumishi wa umma, halafu wakaacha wanafunzi, tangazo la wanafunzi ndio limetoka muda si mrefu, hapo na binafsi kote wameguswa