Serikali (TANROAD NA TARURA) tusaidieni namna ya kuboresha barabara kutoka Kinyanambo C (Mafinga ) - Mlimba

Serikali (TANROAD NA TARURA) tusaidieni namna ya kuboresha barabara kutoka Kinyanambo C (Mafinga ) - Mlimba

kangesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2023
Posts
551
Reaction score
1,063
Kwa heshima na taadhima niiombe serikali kupitia TANROADS NA TARURA kuangalia namna ya kujenga barabara kutoka mafinga,kinyanambo c mpaka mlimba hata kwa kurekebisha au kujenga hata kwa changarawe hasa sehemu zile korofi ili kuwasaidia wananchi kuepuka na adha ya usafiri hasa kipindi cha masika.

Nmeandika ujumbe huu kwa serikali kwasababu barabara hii ilikuwa kwenye mpango wa kujengwa tangu mwaka 2012 mapaka watu wa barabara kwa maana ya TANROADS wakaweka alama za "X" kwenye nyumba za watu amabzo ziko karibu na barabara hivyo wananchi pamoja na makampuni yalianza uwekezaji kwenye upandaji wa miti ya mbao na mashamba mbalimbali ya mazao tofauti na hivi sasa ni wakati wa kuvuna kwahyo magari makubwa yanayobeba mizigo yanafanya barabara inayotumika kwa sasa ionekane haifai kutoka na kuzidiwa katika suala zima la matumizi.

Pia barabara hii ikijengwa wawekezaji watajenga viwanda vya kuchakata pamoja na kuzalisha mazao mbalimbali ya mazao ya miti.

Tofauti na hilo pia ujenzi wa barabara hii pindi itakapojengwa wananchi watapata ahuweni na nauli kutoka mjini mafinga kwenda vvijiji tofauti vinavyopitiwa na barabar hyo. Mfano kutoka mafinga mpaka mapanda kuna kilomita zisizozidi 100 lakini nauli ni sh.10,000/=ambapo kiwango cha nauli hyo kinachangiwa na ubovu wa barabara yenyewe.

Lakini pia ujenzi wa barabar hii utachangia pakubwa sana kwenye kupandisha thamani ya mazao yanayolimwa hasa mazao ya miti.

Kingine pia,jimbo la mufindi kaskazini linaonekana kama limetengwa kwenye suala zima la maendeleo licha ya kuchangia pato la taifa kwa kiasi kikubwa sana jambo ambalo sisi watumiaji wa barabara hii korofi tunaona kama kuna hujuma za watu wachache wanaochelewesha kujengwa hii barabara.

Yakwangu ni hayo tu..
 
Kwa heshima na taadhima niiombe serikali kupitia TANROADS NA TARURA kuangalia namna ya kujenga barabara kutoka mafinga,kinyanambo c mpaka mlimba hata kwa kurekebisha au kujenga hata kwa changarawe hasa sehemu zile korofi ili kuwasaidia wananchi kuepuka na adha ya usafiri hasa kipindi cha masika.

Nmeandika ujumbe huu kwa serikali kwasababu barabara hii ilikuwa kwenye mpango wa kujengwa tangu mwaka 2012 mapaka watu wa barabara kwa maana ya TANROADS wakaweka alama za "X" kwenye nyumba za watu amabzo ziko karibu na barabara hivyo wananchi pamoja na makampuni yalianza uwekezaji kwenye upandaji wa miti ya mbao na mashamba mbalimbali ya mazao tofauti na hivi sasa ni wakati wa kuvuna kwahyo magari makubwa yanayobeba mizigo yanafanya barabara inayotumika kwa sasa ionekane haifai kutoka na kuzidiwa katika suala zima la matumizi.

Pia barabara hii ikijengwa wawekezaji watajenga viwanda vya kuchakata pamoja na kuzalisha mazao mbalimbali ya mazao ya miti.

Tofauti na hilo pia ujenzi wa barabara hii pindi itakapojengwa wananchi watapata ahuweni na nauli kutoka mjini mafinga kwenda vvijiji tofauti vinavyopitiwa na barabar hyo. Mfano kutoka mafinga mpaka mapanda kuna kilomita zisizozidi 100 lakini nauli ni sh.10,000/=ambapo kiwango cha nauli hyo kinachangiwa na ubovu wa barabara yenyewe.

Lakini pia ujenzi wa barabar hii utachangia pakubwa sana kwenye kupandisha thamani ya mazao yanayolimwa hasa mazao ya miti.

Kingine pia,jimbo la mufindi kaskazini linaonekana kama limetengwa kwenye suala zima la maendeleo licha ya kuchangia pato la taifa kwa kiasi kikubwa sana jambo ambalo sisi watumiaji wa barabara hii korofi tunaona kama kuna hujuma za watu wachache wanaochelewesha kujengwa hii barabara.

Yakwangu ni hayo tu..
Umeongea ukwel mtupu shida ni utekelezaji ila kwa Sasa naona yenye bajeti ni ya mgololo mafinga ,Kuna ya mtili ifwagi na nyororo hadi mtwango kaka hii ingekuwa MLIMBA hakuna njia nyingine ya usafiri wangeipa kipaumbele shida saiz kule njia nyingi wamefungua na wanazidi kufanya hivyo pia kumbuka tayari wachina wapo hatua ya mwisho kuichukua tazara wanataka waibadili iwe SGR iende kibiashara zaidi na tayar wamesha fanya survey ko mabus ya MLIMBA yanaenda kufa na Barabara yetu ya tazam magari yanaenda kupungua maana mizigo mingi itaenda huko ndo maana mkoa wa njombe tayari wamesha andaa maeneo ya kutosha kwaajili bandari kavu parking za maroli na maeneo ya viwanda na wameteua mji wa makambako uwe wa kibiashara na viwanda na wachina tayar wameanza kwenda kuwekeza huko kutokana na urahisi wa kusafirisha bidhaa zao
1702914137702.jpg
1703346117385.jpg

1703037483324.jpg
 

Attachments

  • 1703037483324.jpg
    1703037483324.jpg
    30.3 KB · Views: 5
HILO NDO KAMPUNI LA WACHINA AMBALO RELI YA TAZARA INAKWENDA KUWA CHINI YAO. Dar es Salaam, Tuesday, 12 December 2023 – Following the appointment of China Civil Engineering and Construction Corporation (CCECC) as the negotiator for the prospective engagement of a Chinese operator in the revitalization of TAZARA, CCECC has formed and dispatched a Task Force to conduct a comprehensive business and technical inspection of the Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA).

The inspection is to be carried out from Dar es Salaam in Tanzania to Kapiri-Mposhi in Zambia, with the aim being to assess TAZARA's operational and business model, setting the stage for the submission by CCECC of an optimized TAZARA Revitalization Proposal to the Shareholders of TAZARA.
--------------------------------------------
Dar es Salaam, Jumanne, 12 Desemba 2023 - Kufuatia kuteuliwa kwa Shirika la Uhandisi na Ujenzi la China (CCECC) kuwa msuluhishi wa ushiriki wa kampuni ya China katika ufufuaji wa TAZARA, CCECC imeunda na kutuma Kikosi Kazi ukaguzi wa kina wa biashara na kiufundi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania-Zambia (TAZARA).

Ukaguzi huo utafanyika kutoka Dar es Salaam nchini Tanzania hadi Kapiri-Mposhi nchini Zambia, lengo likiwa ni kutathmini mfumo wa uendeshaji na biashara wa TAZARA, kuweka mazingira ya kuwasilishwa na CCECC kuhusu Pendekezo lililoboreshwa la Ufufuaji wa TAZARA kwa Wanahisa. Imetafsiriwa na Google Translate.

#tazaramustrevive #tazara #tanzaniazambia #tanzania #zambia #RailwayDevelopment #InfrastructureInvestment #ChineseInvestment #TAZARARevitalisation #tanzaniasafari #treni #trainjourney
1703383410234.jpg
 
Mwezi wa nne mwakani kazi inaanza saiz wapo kwenye survey Revitalisation of TAZARA Operations:
🤝 We're proud to acknowledge the commitment of the Heads of State from Tanzania and Zambia, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan and H.E. Mr. Hakainde Hichilema, to revitalize TAZARA operations. 🌍
🇨🇳 We're excited to involve Chinese investors, and China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), a subsidiary of China Railway Construction Corporation (CRCC), who are poised to play a significant role. A proposal from CCECC is expected imminently. 🚄
🙏 We thank you for your support as we move forward with revitalizing TAZARA operations! 🚆

#TAZARARenewal #ChineseInvestment #RailwayRevival #TAZARAMustRevive #TAZARARevitalisation #TAZARA #RailwayDevelopment #InfrastructureInvestment #Tanzania #Zambia #ikulumawasilianotanzania #statehousezambia
1703384213276.jpg
 
Back
Top Bottom