Serikali, TFF, Bodi ya Ligi na TAKUKURU; Kwa uhuni huu wa GSM ile "Fair Competition" inayotakiwa na FIFA ipo wapi?

Wambie na Simba ikikutana na "vitimu vidogovidogo" according to you nayo ikaze ili iwapunguze sukari na pressure mashabiki Kama wewe mleta uzi
 
Sportpesa ... Simba, Yanga, Namungo ...
Sportpesa ni kits Sponsor tu lakini

GSM kwenye timu ya Yanga anahusika kwenye management ya Yanga ikiwemo kufanya mchakato wa mabadiliko katika klabu, kufanya usajili na kulipa mishahara.

Mwanzo nilisema GSM wanataka kununua ubingwa kwenye vilabu vidogo kwa mgongo wa udhamini.
 
Sasa ilikuje Coast ambao mdhamini wao GSM alimfunga Yanga katika mechi Muhimu msimu ulio isha,Simba Acheni kulialia hakutawasaidia mmesajili magarasa Sasa pambaneni na Hali yenu.
 
Msimu ulopita mo alizamini namungo mbona hoja kama hizi hamkuleta?
 
Sasa ilikuje Coast ambao mdhamini wao GSM alimfunga Yanga katika mechi Muhimu msimu ulio isha,Simba Acheni kulialia hakutawasaidia mmesajili magarasa Sasa pambaneni na Hali yenu.
Msimu ulopita mo aliizamini namungo na hakukuwa na malalamiko yoyote ila sasa wanaona Yanga iko imara wanatafuta pa kutokea
 
jikaze ww, nani ana muda wa kuhonga hizo team banaaa!!!ww msimu huu team huna ndo maana unalalamikalalamika!!mwamedi alikua anahonga kila mechi now kajiweka pembeni mnalalamika!!makolo banaaa!!ulibwanji makolo
 
Mimi nadhani kama Simba ikicheza kwa ushindani ikashinda mechi zake zote dhidi ya wapinzani wanaohongwa, hii biashara itakufa automatically. Ni kweli timu yetu mwaka huu bado inajitafuta. Lakini je tunataka wapinzani dhaifu ili tuokote pointi? Mimi nasema GSM waendelee kuhonga tena wapandishe dau timu zipate morali zicheze vizuri zije zifungwe zikiwa vizuri bila kisingizio
 
Msimu ulopita mo alizamini namungo mbona hoja kama hizi hamkuleta?
Mo alidhamini Namungo kwa bidhaa gani ?

Kama Mo msimu uliopita alifanya makosa unataka kuhalalisha makosa ya GSM kupitia makosa ya Mo ?

Sisi tunataka fair competition badala hii ya sasa unaenda kununua vilabu karibu vyote vya ligi kuu na vikicheza na hasimu wako unaahidi million 10 ili iweje ?
 
vp kuhusu Azam
 
SPPRTPESA INADHAMINI SIMBA, YANGA, NAMUNGO

Msiwe wapumbavu. Wakati ligi haina wadhamini tulikua tunalalamika , timu zinashindwa hata kulipia gest house. Leo wanakuja mnaleta nongwa??
 
NENDA WEWE COASTAL AU YANGA UKAWEKE HELA NYINGI KULIKO GSM ILI GSM ATOKE UDHAMINI WEWE[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acheni upumbavu nyie Mikia, Azam anadhamini haki za matangazo mbona anatimu? Fly Emirates anadhamini timu ngapi? Sportspesa anadhamini timu mpaka Simba na boss wake ni Tarimba Abass, mwenyekiti wa zamani wa Yanga hilo linaleta mgongano wa maslahi.......acheni kutafuta visababu, tengenezeni timu na hizo propaganda zenu mnapoteza muda tu
 
Tatizo ni njaa kali

TFF njaa
Takukuru njaa
Serikali njaa/Omba omba
Vilabu njaa
Wanasiasa njaa
Marefa njaa
Wachambuzi njaa
Mashabiki njaa

Nchi hii maskini jameni.
Hata mikia njaa maana Sportspesa inawadhamini, na boss wake ni mwenyekiti wa zamani wa Yanga
 
Umeongea kwa kutumia akili kubwa sana na kuweka ushabiki wako pembeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…