Serikali, TFF, Bodi ya Ligi na TAKUKURU; Kwa uhuni huu wa GSM ile "Fair Competition" inayotakiwa na FIFA ipo wapi?

Serikali, TFF, Bodi ya Ligi na TAKUKURU; Kwa uhuni huu wa GSM ile "Fair Competition" inayotakiwa na FIFA ipo wapi?

achu uboya kulialia kama mjane subirini dawa iwaingie mlizoea kununua mechi msimu huu azam kagawa hela timu haziuzi tena mechi wanapigania nafasi bora mwisho wa msimu, fly emirates anadhamini timu kibao huko barani ulaya na watu wanapiga mbungi kama kawa, ushauri wangu mwambieni mwamedi atumie mo protekta kudhamini timu zingine ili ziwe zinawaachia mkicheza nazo
Ivi yule maregemu c ndo alikua mdhamini mkubwa wa Lipuli na pia alikua kiongozi mkubwa wa makolo fc mbona walikua wanashangilia sana wanavo wakazia yanga ila wao wakienda wanajipigia 3... halafu wambieni waache roho mbaya timu za tz shida kubwa uzamin timu zimepata mdhamini hawataki wao wamejaza wadhani kibao Mo9 Moxtra Mo foundation Mo'juicy Mo'chungwa mo'soda na nyingine malizia huko sijui Mo'babra sijui c mpunguze hawa waendw wakadhamini tumu nyingine huko. Kama udhamini ni ushindi Simba ina wadhamini wengiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Mbali na unazi hili jambo litazamwe

View attachment 1999120

Nashauri...Simba Ina Viongozi,Wanasheria,
Watafute Ushahidi Usiotia shaka Sio wa Meneno Maneno...Ushahidi wa Maandishi na Kimazingira,Waanzie TFF Kwanza,Then Mbele,Unasema Takukuru??Haha Yangaa ni serekalii hawawezi fanywa Chochote,Kama TFF ikishindwa wahakikishe wanapata Baraka za TFF ili Wapeleke CAS[emoji3516][emoji91][emoji41]
 
Simba SC wakijipanga vyema kwa Hoja na Ushahidi na kwenda Kushtaki FIFA nakuhakikishia Ndugu Ligi Kuu ya Tanzania NBC inaenda kuingia matatizoni na kuna Balaa Kubwa litatokea katika Soka la Tanzania.

GSM wasidhani Watanzania wote ni Wapumbavu kama walivyowazoea wa Klabu yao ambao wamezoea Kuwahadaa na Kuwadanganya Kutwa huku wakiwadhulumu katika Pesa za Uuzaji wa Jezi zao.
Ama kweli aliyekuita Rais wapumba u hakukosea, haya Anza kukusanya ushahidi uende FIFA.
 
GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.

GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.

GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.

Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.

Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.

Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.

Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.

Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?

Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?

Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?

GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Kuna tofauti kubwa Sana Kati yenu na mashabiki wa Yanga kuhusu matumizi ya akili?
 
GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.

GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.

GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.

Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.

Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.

Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.

Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.

Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?

Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?

Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?

GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Dalili za kukataa hizi, wakati sisi tunasajili kina Aucho na Bangala nyie mnasajili yule mkimbizi na vitoto vya shule! Msimu huu mtalia sana!
 
Kwani GSM mbona mda mrefu alikua akidhhamini vilabu! Msimu uliopita mbona cost alimfunga Yanga, coast si ana dhaminiwa na GSM, Mbumbumbu fc pambaneni na Hali yenu.
Mliambiwa mnasajili magarasa, mpambe wa MO ndugu Magori akasema Simba imesajili wachezaji wa viwango vya juu Sasa mpira ni Mchezo wa wazi endeleeni kudanganyana mkija kustuka mmeshuka daraja.
Achana na wapumbavu Wala wasikupotezee muda wako mkuu
 
Aya tangulia wewe kushitaki umesubili nini, unao ushahidi gani usiokuwa na shaka kuwa gsm wanahonga timu, mbona sportpesa wamedhamini vilabu vyote pamoja na nyie kwanini amkukataa kwakuwa tarimba abbas ni mwanachama wa yanga Ina maana na nyie mlikuwa mnahongwa ili muiachie yanga ndo maana uwa mnaburuzwa kila mkikutana, unapokosa hoja kaa kimya ficha ujinga wako usifikiri kila mtu apa ni poyoyo Kama wewe unaedandia treni kwa mbele unacopy hoja mfu za akina dauda uko unaleta apa, Kama ni kosa gsm kuidhamini coastal union tff yenu si ingewazuia? Kwani mkataba ulisainiwa kwa kificho, amuelewi ata ilikuwaje mpaka gsm ikaidhamini coastal union mnapayuka tu Kama mmekatika vichwa, labda tu niwajuze ambao wanaunga tela kwenye vitu wasivyovijua, usajili wa bakari nondo mwamnyeto moja ya makubaliano ya kimkataba Kati ya yanga na coastal union ni gsm kuidhamini coastal union ikiwa ni kipengele ktk mkataba ule, pamoja na fedha zilizotolewa kwenye usajili, hivyo basi amuwezi kuwapangia wenye timu yao cha kufanya, Na nyie si mlikuwepo na hao coast si tawi lenu kwanini amkwenda nyie kuwadhamini kupitia viberiti vyenu na sabuni zenu? Mlizuiwa, Gsm ni mfanyabishara Kama alivyo mo, awezi kuacha fursa anayoona itamwingizia faida kibiashara eti kwasababu tu kuna wajinga fulani ambao wanatafuta pa kufia na timu yao inayoishi kwa matumaini watasema, alafu cha kujiuliza kwanini gsm alalamikiwe sasa hivi wakati yanga inafanya vizuri, kwanini msimu ulioisha sikusikia izi ngonjera? Kwani namungo na cost wamedhaminiwa jana au juzi, Kabla amjapandisha uzi apa muwe mnashirikisha ubongo kwanza msiwe mnajidhalilisha aisee
Mkuu mpumbavu kumuelewesha huwezi, endelea na majukumu yko achana na wapumbavu
 
Tukubaliane simba imepoteza nguvu kubwa sana kuanzia kwenye benchi la ufundi hadi uwanjani.....mambo ya sijui wanalipwa wakamie ni visingizio ambavyo havina mantiki yoyote

Kwahiyo Yanga wakianza kupoteza game mfululizo tuseme, Simba wameweka dau kubwa kuliko Yanga?
 
GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.

GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.

GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.

Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.

Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.

Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.

Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.

Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?

Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?

Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?

GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Kombe lenyewe na Fedha anazopewe bingwa thamani ya Ni milioni 70,

au wewe ulikuwa hujui?
 
Mbumbumbu katika ubora wako. Kuna tofaut kati ya umiliki na udhamini. FIFA inakataza kumiliki vilabu viwili katika ligi moja sio udhamin

Hawa mbumbumbu/Mikia/Bodaboda mbona vichwa vyao vimejaa maji Rage kuwaita mbumbumbu ni haki kabisa hivi mtu kama una akili timamu unaweza kuposti utumbo huu wale Makirikiri walihingwa na nani kubali tu kwamba timu yenu imejaa wahanga hivi wewe unataka wakuachie tu ufunge wasikukabe umebebwa mwaka mzima wa jana vumulia tu utazidi kubaniwa tu
 
Mbona ligi inadhaminiwa na Azam pia hiyo hiyo Azam inateam yake mbona Hili hawajalitolea povu
Mfa maji haishi kutapatapa mkuu, wakubali wakatae timu yao haiko sawa kwa sasa sijui kwann hawataki kulikubali hilo badala yake wanawaangushia zigo la lawama yanga.
 
Bwege ww, sijui unalialia nn hapa, mpira Hamna mwaka huu unataka uchukuwe ligi kana kwamba mnafungwa na kutoa draw kibao..!!! Kombe si la mamaako kwamba utalilia ukapewa.. Chezeni mpira si kuleta nyokonyoko zisizokuwa na msingi..
Me nawachana live, sina mda wa kupepesa mdomo wala macho ukimaindi kanyonye kwa mamaako
 
Mtoa mada nadhani hujafanya uchunguzi wa kutosha
Mwaka jana msimu uliopita MO Dewji alikuwa mzamini wa Namungo FC kupitia mafuta ya Safi angalia upende wa kushoto mwa jezi ya Namungo Mo Safi wakati Mo ni mwekezaji katika klabu ya Simba happy vipi mbona hamkusema chochote

Screenshot_20211105-163907~3.jpeg
 
Mtoa mada nadhani hujafanya uchunguzi wa kutosha
Mwaka jana msimu uliopita MO Dewji alikuwa mzamini wa Namungo FC kupitia mafuta ya Safi angalia upende wa kushoto mwa jezi ya Namungo Mo Safi wakati Mo ni mwekezaji katika klabu ya Simba happy vipi mbona hamkusema chochote

View attachment 1999702
Hao kenge unafikiri wanayo kumbukumbu wamebaki kukurupuka tu na ajenda za kipuuzi baada ya kuona maji yanazidi unga, kusajili usajili wachezaji wa laki laki alafu lawama uanze kuwatupia waliosajili vizuri iyo ni akili ya wachawi tu, Mwamed alishachukua ela yake akakaa pembeni akaenda kuokota wachezaji 12 na nyongeza juu, unategemea nini apo Kama sio kuugua ugonjwa wa sonona
 
Back
Top Bottom