Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

View attachment 2940565Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera .....
View attachment 2940566
Wazazi wengi wanachotaka ni "kufaulu" Kwa, watoto wait ma A kibao, na kamserereko ni huko kwenye masomo ya dini,

Mtoto atapata ma D matupu,lakini mashekh na maustadh watampa As tupu kwenye islamic knowledge! Hakuna wakupinga! Huyooo anapata mkopo akachezee, sasa unasoma bible knowledge, au islamic Studies, unataka kuwa mchungaji au shekh wa msikiti!?

Yaani upoteze miaka minne ya chuo kusomea dini?!
Kuna mchepuo serikali imecheza kama Pele,

Zamani tulikuwa na PCM, physics chemistry na maths, sasa kutwkuwa na PMC, physics, maths, na computer studies, hii safi Sana, ila tungeweka zaidi masomo ya IT, kilimo, political sayansi,
 
hakuna kutumika kodi za raia kwenye dini.kwani hao watoto wanaosoma hayo masomo ya dini si ndo wazazi wao wanalipa hizo kodi?
Hoja ya muda. Nakataa sababu hata elimu ya dini nayo ni elimu inayotakiwa ipewe muda tena wa kutosha.kusoma dini sio kupoteza muda.
Kama elimu ya dini Basi isibague dini tofauti. Isomwe kama religious studies na sio uislam, ubudha au Christianity
 
Wazazi wengi wanachotaka ni "kufaulu" Kwa, watoto wait ma A kibao, na kamserereko ni huko kwenye masomo ya dini,
Mtoto atapata ma D matupu,lakini mashekh na maustadh watampa As tupu kwenye islamic knowledge! Hakuna wakupinga! Huyooo anapata mkopo akachezee, sasa unasoma bible knowledge, au islamic Studies, unataka kuwa mchungaji au shekh wa msikiti!?
Yaani upoteze miaka minne ya chuo kusomea dini?!
Kuna mchepuo serikali imecheza kama Pele,
Zamani tulikuwa na PCM, physics chemistry na maths, sasa kutwkuwa na PMC, physics, maths, na computer studies, hii safi Sana, ila tungeweka zaidi masomo ya IT, kilimo, political sayansi,
Wakati wenzetu wa Saudi wakiongeza elimu ya kufanya ng'ombe wa wamaziwa kuishi jangwani na kuleta mfumo wa mvua sisi Huku shemeji anamfurahisha mama mkwe
 
View attachment 2940565Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera .....
View attachment 2940566
Hii nchi nahisi imelaaniwa kwa kutokuwa na viongozi wasio na akili kwa kweli. Hivi somo la dini za Watu zisizo tuhusu sie Watanzania zinamsaidia nini mtoto au hata Tanzania tu? Yani viongozi wetu maka leo hii hawajuwi kuwaití dini hihi za Watu ndizo zinafanya Watoto wetu kiwa wajinga? Kama picha hapo juu inavyojionyesha, wenzao wako bizę kwenye sayansi się wanetu wanakariri Qur'an na kujifunza ujinga na wengine wanahubiri vitu wasivyovijuwa kwenye vituo vya madaladala. Kwa kweli CCM has failed this nation.
 
Kuna uislam na ukristo. Hayo mambo ya madhehebu yapo ndani ya dini hizo.kikubwa watoto wamjue mungu na wawe na hours ya mungu. Tusije kuwa na kizazi kibaya
Kwahiyo kwa akili yako unadhani dini ni 2 tu? What about Budhist? Sickhism, Hinduism, African Religions? Au unadhani hawa waamini hawapo na pia wao wangependa wapate masomo juu ya dini zao. Huu Ukristo na Uislam ni kujenga matabaka yasiyo na msingi na sio muhimu. Taasisi za kidini zijitegemee kwa mifumo yao ya kielimu
 
View attachment 2940565Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera .....
View attachment 2940566
Wewe ni mjumbe wa shetani.
 
Serikali inahitajika kuwekeza zaidi kwenye elimu za kisayansi kwa maendeleo zaidi ya nchi sio kwenye hizi elimu zinazoleta matabaka kwenye jamii by default hizi dini zililetwa huku Africa ili kurahisisha unyonyaji nashaangaa wenye mamlaka kuendekeza upumbavu Kama huu hawaoni nchi zingine zinazojitahidi kwenye Sayansi na teknolojia
 
Wanataka kutufundishia watoto wetu ule ugaidi wa Somalia na Nigeria kwa vitendo madarasani ili waelewe zaidi.

TUnachokitafuta tutakipata.
 
Kwahiyo kwa akili yako unadhani dini ni 2 tu? What about Budhist? Sickhism, Hinduism, African Religions? Au unadhani hawa waamini hawapo na pia wao wangependa wapate masomo juu ya dini zao. Huu Ukristo na Uislam ni kujenga matabaka yasiyo na msingi na sio muhimu. Taasisi za kidini zijitegemee kwa mifumo yao ya kielimu
Hizo ulizotaja. Ni dini za wapi?
 
hakuna kutumika kodi za raia kwenye dini.kwani hao watoto wanaosoma hayo masomo ya dini si ndo wazazi wao wanalipa hizo kodi?
Hoja ya muda. Nakataa sababu hata elimu ya dini nayo ni elimu inayotakiwa ipewe muda tena wa kutosha.kusoma dini sio kupoteza muda.
Madrasa ina kazi gani?
 
Ukiuliza hivyo.na uulize kwanini watu wanakwenda chuo kikuu wakati kuna shule ya msingi na sekondari zingetosha.
Hujajibu swali madrasa ina fanya kazi gani? Unajua kwamba kila elimu ni muhimu kwa mlengo wa jamii husika?
Vipi kama elimu ya uchawi na yenyewe ikiwekwa kwenye mtahala wa elimu? Unajua maana ya katiba ya nchi kutokufungamanisha masuala ya kidini katika nchi?
 
Back
Top Bottom