Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Selikali pumbavu ya ccm haiwezi kuelewa maana tujiulize tu hao walimu watakao kuwa kwenye hayo.mashule wenye kufundisha dini je awatalazimisha mambo yao ya kidini kuanzia uvaaji itikadi na utabaka mfano mwanafunzi wa kiislama akifanyiwa kitu awezi kwenda kwa mwalimu wa dini yake kuki lalamikia kidini na kuleta tatizo ...mwisho wa siku mambo kama ya zanzibar yataingia mashuleni kuwalazimisha watu wengine wasionekane wanakula chakula kisa mfungo wa ramadhani
 
Wacha watoto wasome wanacho taka Dunia imebadirika,watafanya kazi katika bank zao(Islamic banking) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🪑[emoji575][emoji445][emoji445][emoji7]
Kusoma unachotaka siyo kosa tatizo wanasomea wapi ...dini ifundishwe sehemu usika mambo ya mwezi kuandama lini na kufungua lini baina ya madhehebu yataleta tatizo
 
Mbona Masomo ya dini yapo kitambo na hata kidato cha nne Taifa wanafanya mtihani. Basi Hilo somo la Dini lifutwe kabisa lisiwepo huko mashuleni.
 
Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Upo sahihi. Wanamlazimisha mwanafunzi kuamini mambo mawili kwa wakati mmoja. Waamini katika siasa na waamini katika sayansi.

Kwa namna tulivyo wapumbavu, ni lazima tutaipuuza tu elimu dunia!! Tatizo ni kwa hawa wenzetu wakipewa kutawala kila kitu kwao ni Ruksa ili mradi mkono uende kinywani.

Siku tutashituka tukijua haya yote ni kutekeleza masharti ya Waarabu tuliowauzia vipande vya nchi
 
Wazazi wengi wanachotaka ni "kufaulu" Kwa, watoto wait ma A kibao, na kamserereko ni huko kwenye masomo ya dini,
Mtoto atapata ma D matupu,lakini mashekh na maustadh watampa As tupu kwenye islamic knowledge! Hakuna wakupinga! Huyooo anapata mkopo akachezee, sasa unasoma bible knowledge, au islamic Studies, unataka kuwa mchungaji au shekh wa msikiti!?
Yaani upoteze miaka minne ya chuo kusomea dini?!
Kuna mchepuo serikali imecheza kama Pele,
Zamani tulikuwa na PCM, physics chemistry na maths, sasa kutwkuwa na PMC, physics, maths, na computer studies, hii safi Sana, ila tungeweka zaidi masomo ya IT, kilimo, political sayansi,
Sahihi
 
Hujajibu swali madrasa ina fanya kazi gani? Unajua kwamba kila elimu ni muhimu kwa mlengo wa jamii husika?
Vipi kama elimu ya uchawi na yenyewe ikiwekwa kwenye mtahala wa elimu? Unajua maana ya katiba ya nchi kutokufungamanisha masuala ya kidini katika nchi?
Kijanaa masomo ya dini yana level zake.kama unavyoona masomo ya secular. madrasa ni level ndogo tu na mwanzo ila kuna zaidi ya masomo yanayofundishwa madrasa.
 
Back
Top Bottom