Serikali: Toeni tamko Land Rover Festival liwe tukio rasmi la kufanywa kila mwaka kama tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Kanda ya Kaskazini

Kiwanda cha nyumbu tangu kiumbwe kimeshatengeneza magari mangapi?

Unaeza ukakuta labda wameshatengeneza labda magari 20.

Sasa magari 20 uyapeleke Festival? Hiyo itakua Festival ama jogging???
Hata kama magari ya nyumbu yapo matano, lakini ni yetu.
Landrover ni za beberu na mkoloni mwingereza.

Sasa baada ya landrover kitakachofuata ni land cruiser festival? Maana nazo ni nyingi huko mbugani na kwingineko.
 
Ushamba tu ndo unakusumbua.

Nenda Dubai kajionee jinsi wanavyonunua magari ya Waingereza na wanayatengenezea makumbusho kuvutia Watalii.

Kuna watu wana museums zao za collection ya gari za zamani na watu wanapanda ndege na kulipia kwenda kuziona
Ushamba na ulimbukeni ni wako wewe unayefanya Dubai kama reference kwa mambo ya Chuga.
 
Mmepata kwanza idhini ya Land Rover wenyewe kutumia brand yao hivyo?
 
Tahadhari na aibu.
Fedhaha hugeuka kuwa maradhi mabaya yasiyotibika kwa haraka
 
Angezaliwa Fisi kuliko wewe mwenye mdomo mchafu kama CHOO,hakuna ubishi kuwa utakuwa unao mtandio wa AKILI
Mtandio wa akili ndiyo nini? Kwahiyo unabisha kuwa Makonda hana chura??
 
Si hata tu mama yako anayo lakini anaishia kupakwa baby care na wahuni wengine inawezekana hata baba yako wa kambo hayajui haya........siku nyingine usije kutuhadithia wahuni
Kwann Makonda ana makalio makubwa wakati yeye siyo mwanamke?
 
Mtandio wa akili ndiyo nini? Kwahiyo unabisha kuwa Makonda hana chura??
Ndio maana nakuambia Ni heri angezaliwa fisi anaekula mizoga kuliko wewe.Hivi ukoo wako nini nani aisee ,kwa kifupi sijawahi kutana na mjinga wa aiana yako tangia nizaliwe ,how a reasonable man can seriously question maumbile ya mwanaume mwenzake ?
 
how a reasonable man can seriously question maumbile ya mwanaume mwenzake ?
Makalio yale yalivyo makubwa hayakupaswa kuwa kwa Makonda. Yawezekana anapekenyuliwa huko nyuma. Au wewe unaona sawa tu?
 
Wewe nadhani una D moja. Wamepeleka magari yao Arusha, hizo ni hela kwa nchi. Kivipi?
Wamenunua insurance, road licence imelipwa, wamelala kwenye mahoteli Arusha, wamenunua petroli, wamekula sehemu tofauti tofauti, wamenunua Mavazi, mapambo,bila shaka, nk,nk.
Unadhani serikali haijapata hela ya kutosha hapo?
 
Nilikua hapo naponunua parts za Land Rover Johannesburg wameweka live kwenye TV yao kupitia U tube pale tukawa tunashangaa tu home inavyoonyeshwa jamaa alifikiri sana na pia jamaa miaka ijayo watajaa sana hapo maana hii wachache ndio walikua na taarifa huko Nje..
 
Ndio maana nakuambia Ni heri angezaliwa fisi anaekula mizoga kuliko wewe.Hivi ukoo wako nini nani aisee ,kwa kifupi sijawahi kutana na mjinga wa aiana yako tangia nizaliwe ,how a reasonable man can seriously question maumbile ya mwanaume mwenzake ?
Mkuu,achana naye huenda wanampididi huyo.
 
Makalio yale yalivyo makubwa hayakupaswa kuwa kwa Makonda. Yawezekana anapekenyuliwa huko nyuma. Au wewe unaona sawa tu?
Ulitaka awe nayo mwenyekiti wako wa Saccos Mbow.e sivyo?
 
Ulitaka awe nayo mwenyekiti wako wa Saccos Mbow.e sivyo?
Uzi wa magari huu ukiona muhuni kayumba mteme tu si unajua wabongo wao wanapinga kila kitu Hata ukiwapa taarifa daraja limevunjika huko mbele yeye ataendelea tu mpaka akatumbukie..
 
Makalio yale yalivyo makubwa hayakupaswa kuwa kwa Makonda. Yawezekana anapekenyuliwa huko nyuma. Au wewe unaona sawa tu?
Ndio mana nasema alikuzaa angezaa fisi kuliko wewe ,hivi unajiita baba … kweli ? Ur simply a disgrace to the society
 
Miskule ya CDM haiwezi elewa huu uchambuzi wako Mkuu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…