Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sawa kabisa lakini sio chuma cha chembechembe za msumenoChuma ni madini na mwili wa binadamu huhitaji madini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kabisa lakini sio chuma cha chembechembe za msumenoChuma ni madini na mwili wa binadamu huhitaji madini.
Mbona wanawake wanakula udongo! Si ili wapate madini ya chuma.Sawa kabisa lakini sio chuma cha chembechembe za msumeno
Mkuu ni kweli...ila hata kwenye mashine za kusaga nafaka.....kuna vyuma mule huwa vinabadilishwa na kuwekwa vipya kila baada ya muda fulani...navyo hutumika kuponda nafaka na kuwa unga......hakuna tulipo salama mkuu.....Mungu ndie mlinzi mkuu....Watetezi wa matumizi ya magogo wao ututaka kujiuliza kwa nini visu vya mashine ya kukatia nyama uisha na kutakiwa kubadilisha na kuweka kisu kipya. Wakimaanisha nyama iliyokatwa kwa kisu cha mashine ubaki na chembechembe za chuma kilichotumika kutengenzea kisu ambazo tunazila kupitia nyama hizo na mwisho wa siku tunapata madhara ya kiafya.
Haya naona tunajadiliana vitu viwili tofautiMbona wanawake wanakula udongo! Si ili wapate madini ya chuma.
Sure asee hii tabia ya kucharanga nyama kwa shoka kwenye magogo ni ya enzi za ujima. Ukinunua nyama inakiwa na vimifupa vidogo vidogo ukipika chakula unaweza kuvunjika jino wakati wa kula.
Watumie mashine za kukatia nyama zinakata mpaka mfupa vizuri tu. Hii ya kucharanga inakera sana. Inaharibu nyama.
Mashoka na magogo anatumika bila kubalishwa? hayaishi?Naunga mkono hoja.. Huu usasa unatuletea madhara na maradhi mengi bila kujua
Kwa mizani ni sahihi kabisa nakubaliana naweMashoka na magogo anatumika bila kubalishwa? hayaishi?
Kwangu Mimi kero kubwa ni mizani za enzi za ukoloni. Twende na digitali sasa
Eti shekh Mshana, nasikia Yale mashoka na visu vikipotea mwenyebucha anaweza ugua uchizi kwa fikraa! Kunani?Kwa mizani ni sahihi kabisa nakubaliana nawe
Hakuna kitu kibaya kukatia nyama kwenye plastic bora magogo ni organic.Habari za mda huu
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Serikali tumekuwa tukikatiwa nyama kwenye magogo toka enzi za uhuru. Bucha nyingi hasa mikoani ni magogo.
Binafsi sijaona madhara au kusikia madhara ila ukweli ni kwamba kutokana na mabadiliko ya teknolojia yanayoenda kasi dunian kote na pia hulka ya binadamu, kila mtu anapenda kitu kizuri.
Tunaomba mtutolee haya magogo buchani kama mliweza mifuko ya Rambo hili sidhani kama kwenu ni shida. Tunaomba msamini pia kipato chetu tunapata kwa shida sana bado kodi kama zote basi tunaomba na sisi tupate anagalau kitu bora, isue ya mizani buchani hiyo imewashinda kucheki kama inapima sawa au sio sawa, ila hilo la magogo lipo ndani ya uwezo wenu.
Kuna kipindi nilisikia mnataka kutoa magogo badae ikawa kimya. Ila hongeren sana kuweza kusimamia ili la usafi jumamosi za mwisho wa mwezi hapa mkoani kwangu panarizisha sana.
Asanteni
Watu wanaona ufahari tu nyama ikatwe na mashine wajione washua😅!!! Bucha ilikata nyama kwa gogo na shoka toka uko kinda na ulikula bila kelele leo una kikazi chako na unafuu wa maisha unadharau bucha linalokata nyama kwa shoka na gogoNaunga mkono hoja.. Huu usasa unatuletea madhara na maradhi mengi bila kujua
Safi sana bro. Nilikua najaribu kuwaelimisha watu kwamba gogo ni organic kwa maana linaweza kuoza ila plastic au chuma wanavopigia kampeni ndo vibaya zaidi kiafya. Alietoa mada nafikiri ni mjinga ambae hana elimu ya organic na inorganic matter. Ye anachofikiria ni kuona nyama inakatiwa kwenye plastic nzuri zilizopakwa rangiKwa taarifa yako gogo linaoshwa na bucha lote pia.. Usipofanya hivyo nyama ya the next day haitauzika au haitalika kwa harufu..damu iliyooza ina harufu kali na mbaya
Damu iliyokauka kwenye gogo au chembechembe za gogo havina athari kama chembechembw za chuma toka kwenye msumeno wa umeme
Chuma haina kwere sababu ikipungua mwilini pia lazma ulazwe! Mwili wako una chuma kwenye damuMe siamini kabisa, chuma ipo ila kiasi kidogo sana hata kisu cha jikoni kinaisha. Visu vyenyewe vya buchani vinaisha. Sufuria zenyewe zinaisha na kutoboka.
Vile vingi huchanja watu kwanza na kufanyiwa makafara ya damu kwanza kabla ya kutumika buchani..hivyo likipotea ni ishuEti shekh Mshana, nasikia Yale mashoka na visu vikipotea mwenyebucha anaweza ugua uchizi kwa fikraa! Kunani?
Very well said...! Usasa unatusahaulisha thamani ya ukale iliyotulea kufikia huo usasaWatu wanaona ufahari tu nyama ikatwe na mashine wajione washua[emoji28]!!! Bucha ilikata nyama kwa gogo na shoka toka uko kinda na ulikula bila kelele leo una kikazi chako na unafuu wa maisha unadharau bucha linalokata nyama kwa shoka na gogo
Heheheheh cha ajabu wanaokula nyama za mabucha ya vioo ndio wanaoongoza kwa cancer! Organic lifestyle imetubeba sana vizazi kwa vizazi mpaka leo tuko strong ila chunguza kwa makini kizazi cha 2000’s kilivyo dhaifu!Yale magogo hatari kiafya damu ya miaka nenda rudi huozeana kwenye gogo hivyo huwemo wadudu usioona kwa macho.
Dawa wananchi tuanze kususa kununua nyama yenye gogo na tuwaambie kabisa wenye hizo bucha
Serikali izifunge tu hizo bucha zenye magogo
Sasa hivi ulaya baada ya kupata athari kubwa zitokanazo na usasa wanarudi kwenye organic.. Sisi ndio kwanza tunautaka usasa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Safi sana bro. Nilikua najaribu kuwaelimisha watu kwamba gogo ni organic kwa maana linaweza kuoza ila plastic au chuma wanavopigia kampeni ndo vibaya zaidi kiafya. Alietoa mada nafikiri ni mjinga ambae hana elimu ya organic na inorganic matter. Ye anachofikiria ni kuona nyama inakatiwa kwenye plastic nzuri zilizopakwa rangi
Huu usasa ndio unalemaza miili yetu kuanzia lifestyle, vyakula na utegemezi wa madawa! Wenzetu wa ulaya washagundua processed foods sio salama na sedentary lifestyles!Very well said...! Usasa unatusahaulisha thamani ya ukale iliyotulea kufikia huo usasa
Utasusa peke yako.... dawa ni kuangalia namna gani ya kubadili sio kususa.Yale magogo hatari kiafya damu ya miaka nenda rudi huozeana kwenye gogo hivyo huwemo wadudu usioona kwa macho.
Dawa wananchi tuanze kususa kununua nyama yenye gogo na tuwaambie kabisa wenye hizo bucha
Serikali izifunge tu hizo bucha zenye magogo