YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Yaaaa wazingatie usafi lakini sio kukata nyama juu ya gogo direct waweke hata nailoni juu ya gogo wakikata damu iishie kwenye nailoni liwezalo safishika kirahisiKila kitu ukitaka kukikosoa kinakosolewa tu.
Vipi kuhusu mashine za kusaga mahindi, vile vyuma huisha mara kwa mara, n.k.
Ya ngoso mwachie - - -
Hiyo ya magogo sioni madhara, cha kuzingatia ni usafi.