Yaaaa wazingatie usafi lakini sio kukata nyama juu ya gogo direct waweke hata nailoni juu ya gogo wakikata damu iishie kwenye nailoni liwezalo safishika kirahisiKila kitu ukitaka kukikosoa kinakosolewa tu.
Vipi kuhusu mashine za kusaga mahindi, vile vyuma huisha mara kwa mara, n.k.
Ya ngoso mwachie - - -
Hiyo ya magogo sioni madhara, cha kuzingatia ni usafi.
Na ndio yametukuza hayo mpaka tuna familia na wajukuuHii asome Mshana Jr tu, kwenye sherehe za Machifu jana kulikuwa na akinamama watatu hivi, mmoja akipeta nafaka kwenye ungo na wawili wakisaga nafaka kwenye mawe, mawe yale wanayosagia huisha, unga unaosagwa huwa na unga wa jiwe la kusagia hivyo taratibu familia inayotumia jiwe hilo hulimaliza kwa kulila bila kujua na maisha yanaendelea bila kudhurika! Ina maana unazaliwa mpaka unazeeka utakuwa umekula huenda robo ya jiwe lako la kusagia.
Ila gogo lililochakaa huleta kero kwenye nyama kwani muoshaji hubidi avinyofoe vipande vya gogo mpaka viishe siyo kama jiwe.Na ndio yametukuza hayo mpaka tuna familia na wajukuu
Kila kitu kinahitaji utunzaji na usafi sio gogo tu hata mazingira ya bucha piaIla gogo lililochakaa huleta kero kwenye nyama kwani muoshaji hubidi avinyofoe vipande vya gogo mpaka viishe siyo kama jiwe.
Ndio maana akili ziko kidogo shauri ya kula nyama za kukatwa kwenye magogo kukua sio shida afya ya akili ndio manenoNa ndio yametukuza hayo mpaka tuna familia na wajukuu
Haya kakojoe ulale sasaNdio maana akili ziko kidogo shauri ya kula nyama za kukatwa kwenye magogo kukua sio shida afya ya akili ndio maneno
Umeumlizwa nyama unakula mbichi?Gogo unaoshaje likatakata linakuwa na vishimoshimo pia damu Inaingia kwenye vishimo na ndani ya gogo lenyewe sababu linafyonza damu linafyonza unaoshaje?
Ndio
Dodoma Manispaa mwaka 2016 nilikuwa huko, tulisimamia kikamilifu kila mwenye butcher kuhakikisha ana mashine.Mkuu Dodoma kuna butcher Safi bhana! Japo chafu hazikosekani nawapongeza kwa kweli.
Mm siungi mkono hoja kwa sababu. Ukitoa gogo unawekewa plastiki ya kukatia nyama ile plastini nayo inakwisha kama gogo na vie vupande vinakuwepo ktk nyama, sasa hatari iliokuwapo kwenye plastik ni kwamba haiyozi kwa hiyo ukila plastik inakaa tumboni milele je kati ya gogo na plastini nipi kiwepo buchani?Habari za mda huu
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Serikali tumekuwa tukikatiwa nyama kwenye magogo toka enzi za uhuru. Bucha nyingi hasa mikoani ni magogo.
Binafsi sijaona madhara au kusikia madhara ila ukweli ni kwamba kutokana na mabadiliko ya teknolojia yanayoenda kasi dunian kote na pia hulka ya binadamu, kila mtu anapenda kitu kizuri.
Tunaomba mtutolee haya magogo buchani kama mliweza mifuko ya Rambo hili sidhani kama kwenu ni shida. Tunaomba msamini pia kipato chetu tunapata kwa shida sana bado kodi kama zote basi tunaomba na sisi tupate anagalau kitu bora, isue ya mizani buchani hiyo imewashinda kucheki kama inapima sawa au sio sawa, ila hilo la magogo lipo ndani ya uwezo wenu.
Kuna kipindi nilisikia mnataka kutoa magogo badae ikawa kimya. Ila hongeren sana kuweza kusimamia ili la usafi jumamosi za mwisho wa mwezi hapa mkoani kwangu panarizisha sana.
Asanteni
Siyo kweli nini! Hakuna maeneo umeme hukatika kila siku? Kuna wakati maeneo ya Kariakoo kila siku ni majenereta yanaunguruma, Kigoma ilikuwa haina umeme kwa siku kadhaa, usipende kukataa kitu usichokijua.Si kweli mtaani kwetu mabucha mengi vigogo tumesahau kabisa. Vile vigogo kwa kuwa hawavisafishi vizuri kwa maji ya moto kabisa vina uchafu mwingi sanaa...
Mkuu sijakuelewa plastic gan unaongelea?Mm siungi mkono hoja kwa sababu. Ukitoa gogo unawekewa plastiki ya kukatia nyama ile plastini nayo inakwisha kama gogo na vie vupande vinakuwepo ktk nyama, sasa hatari iliokuwapo kwenye plastik ni kwamba haiyozi kwa hiyo ukila plastik inakaa tumboni milele je kati ya gogo na plastini nipi kiwepo buchani?