Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mkuu hizi roho za kwanini tunazo huku kwetu uswahilini kwenye kuuza bagia na maandazi na bidhaa zingine za dukani, utamzuiaje Zambia asipitishe mahindi kupeleka Kenya wakati ya kwako yapo bei juu? Kinachotakiwa ni kujifunza kwanini mahindi ya Zambia na umbali wote yanakuwa bei rahisi kuliko sie ambao tupo pua na mdomo na Kenya bei inakuwa juuTaarifa umeipata wapi ndugu?
Na mahindi ya Zambia si lazima yapitie Tanzania ndipo yaende Kenya?
Iwapo na sisi tukizuia yasipite itakuwaje?
Nadhani umefika wakati wawakilishi wa mataifa haya wakae na kuzungumza. Hizi "stunts" hazitamfaidisha yeyote yule.
Ahsante kwa ufafanuzi..badala yake watu tusilalamike tuangalie namna ya kujifunza kutoka Zambia maana sie Kilimo hatukipi uzito unaostahili, watu wanaofanya biashara ya mazao wanaweza wakawa mashahidi kwa hili hasa inavyofika msimu wa mavuno yaani wanakusanya kidogo kidogo mpaka fuso inajaa ni wakulima wachache unaweza ukampelekea gari na likajaa moja kwa mojazambia kuna settlers wanaozalisha mahindi mengi na yanaubora mkubwa hao ni wale mugabe aliowafukuza zimbabwe walienda zambia kuendelea na shughuli zao
Mkuu kwa mujibu wa mleta mada anasema wamekataa sababu hawataki mahindi ya Tanzania. Labda tu nitaomba ufahamu wako kuhusu bei za mahindi yetu na Zambia kwa kwa kilo au gunia au vyote.Mkuu hizi roho za kwanini tunazo huku kwetu uswahilini kwenye kuuza bagia na maandazi na bidhaa zingine za dukani, utamzuiaje Zambia asipitishe mahindi kupeleka Kenya wakati ya kwako yapo bei juu? Kinachotakiwa ni kujifunza kwanini mahindi ya Zambia na umbali wote yanakuwa bei rahisi kuliko sie ambao tupo pua na mdomo na Kenya bei inakuwa juu
Africa zipo ngapi au zambiaAntonov An225 inabeba tani 640 na inauwezo wa kuimeza boeing 737
Sidhani kama 2017 tunahitaji kujifunza namna ya kuuza raw materials,Mkuu hizi roho za kwanini tunazo huku kwetu uswahilini kwenye kuuza bagia na maandazi na bidhaa zingine za dukani, utamzuiaje Zambia asipitishe mahindi kupeleka Kenya wakati ya kwako yapo bei juu? Kinachotakiwa ni kujifunza kwanini mahindi ya Zambia na umbali wote yanakuwa bei rahisi kuliko sie ambao tupo pua na mdomo na Kenya bei inakuwa juu
Unafungashia na magunia yameandikwa zambia maize export.Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
Unakaba penaltyYakipita kwetu kwenda kenya tunazidisha kodi mara dufu wakawauzie aghali.
Kama nguo, made in China kumbe hapo hapo Dar zimetengenezwaUnafungashia na magunia yameandikwa zambia maize export.
Ukizuia watapitisha beira port hayooo mpaka Mombasa port, pia kuna ndege za mizigo, mnatuharibia sana hii nchi.Taarifa umeipata wapi ndugu?
Na mahindi ya Zambia si lazima yapitie Tanzania ndipo yaende Kenya?
Iwapo na sisi tukizuia yasipite itakuwaje?
Nadhani umefika wakati wawakilishi wa mataifa haya wakae na kuzungumza. Hizi "stunts" hazitamfaidisha yeyote yule.
Yakipita kwetu kwenda kenya tunazidisha kodi mara dufu wakawauzie aghali.
Sisi tutawauzia Zambia !We umefikiria nini?kwa hiyo tuzuie mahindi ya Zambia na yetu hayatakiwi?
Somalia, South Sudan, DR Congowanaongea tu hawajui soko la mahindi ya tanzania kubwa liko kenya
Napo sema kujifunza sijamaanisha namna ya kuuza raw materials bali kujitathimini wenyewe kwa kuhoji kwanini mahindi ya Zambia ni bei nafuu kuliko yetu pamoja na umbali wanaosafiri plus delay za mipakani (tukifanya hivyo tutakuja na wayforward) ...ndicho nilichofikiria zaidi ya hapo mkuu wangu game overSidhani kama 2017 tunahitaji kujifunza namna ya kuuza raw materials,
Fikiria zaidi ya hapo mkuu!
ushawahi kuuza huko mahindi?Somalia, South Sudan, DR Congo
Tatizo kubwa ni mikataba ya kimataifa tunayoingia kama taifa. Unakumbuka Tanzania ilijitoa COMESA wakati wa utawala awamu ya 3 wakat Waziri wetu alikuwa Mh. Idd Simba. Zambia na Kenya bado wako COMESA. Tanzania na Zambia wako SADC. Kenya na Tanzania wako EAC.Taarifa umeipata wapi ndugu?
Na mahindi ya Zambia si lazima yapitie Tanzania ndipo yaende Kenya?
Iwapo na sisi tukizuia yasipite itakuwaje?
Nadhani umefika wakati wawakilishi wa mataifa haya wakae na kuzungumza. Hizi "stunts" hazitamfaidisha yeyote yule.
Mkuu ngoja nifuatilie kuhusu bei mie nimedandia uzi tu kwa kusoma mada nikakuta mstari wa mwisho amezungumzia kuhusu unafuu wa bei ya mahindi ya Zambia na ndipo ilikuwa msingi wa comment yangu ya awali (labda cha msingi ni kupata bei ya mahindi wanayouza Zambia na bei ya mahindi ya kwetu)Mkuu kwa mujibu wa mleta mada anasema wamekataa sababu hawataki mahindi ya Tanzania. Labda tu nitaomba ufahamu wako kuhusu bei za mahindi yetu na Zambia kwa kwa kilo au gunia au vyote.
Siyo rahisi kivile. Hivi unawajua Wazambia? Pia ujue bei yao ni ndogo kuliko yetu kwa sababu ya Economy of scale,wana mashamba makubwa ya kufa mtu.Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
Ndugu, kwanza fahamu kwamba na mimi ni mkulima ambae nina mahindi ndani yanasubiri bei ipande yauzwe ili pesa iingizwe kwenye kilimo tena.Ukizuia watapitisha beira port hayooo mpaka Mombasa port, pia kuna ndege za mizigo, mnatuharibia sana hii nchi.